Kumbukumbu (Legacy) ya Dkt. John Pombe Magufuli
Hakuna aliyebisha,watu wanazidiana.
Ila hizo ni mifumo ambayo ni systematically document inayofatiwa na teuzi za kuzisimamia pamoja na budget zake TOKA serikalini mwanzo baada ya kuundwa na ni kitu kimefanyika Dunia nzima.

Ila jua kutofautisha kujenga nchi kimiundombinu,miradi ya kimkakati,kukemea ufisadi,utumishi wenye kujali utu na haki za raia na kuepusha kuulizana 'UNANIJUA MIMI NANI",Kudhibiti wa mali ya umma kama madini na wanyama(meno ya tembo na ongezeko la tembo n.k),Fursa sawa KWA wote.



TUNA MENGI YA JPM HUYU,TUKANENI NASI TUMEMUHIFADHI MOYONI.nukta
Usisahau ukabila na ubinafsi, na double standards
 
Formula inayowapa nafuu wananchi ndio Formula bora.
Nafuu ilipatikana baada ya kuvamia maghala? Kipi ni bora kati nafuu ya muda mfupi ya kutafuta umaarufu wa muda mfupi au kutafuta nafuu ya kudumu bila kujali outcomes za kisiasa?
 
Kila awamu huacha kumbukumbu zake muhimu wengine hutumia neno "Legacy". Kwangu mimi ninaamini wananchi na Taifa litamkumbuka Rais Dr JPM kwa mambo yafuatayo baada ya muda wake kuisha:

1. Nidhamu maofisini haijawahi kutokea maadili na nidhamu kurejeshwa hivi hata kama bado kuna changamoto ya rushwa maeneo kadhaa.

2. Kuhamishia serikali makao makuu Dodoma na ujenzi wa Ikulu na mji wa serikali. Na uendelezaji wa jiji hilo kwa kasi i.e miundo mbinu barabara na uwanja ndege Msalato etc.Amevunja mwiko ulioshindikana.

3. Kufufua shirika la ndege la ATCL "the national flag bearer".hili lilishindikana huko nyuma.changamoto nyingine zozote za kiuendeshaji za kampuni ni sehemu ya mapambano kama ilivyo biashara yoyote,rada 4 viwanja vya ndege vikuu nk.

4. Daraja la Busisi Kigongo "generational Miracle" ni alama ya kudumu milele.

5. Reli ya SGR ni alama na kumbukumbu kubwa mno.

6. Daraja la Tanzanite na flyovers.

7. Umeme wa Stiglers Gorge JKNHP.

8. Mifumo ya ukusanyaji mapato ya serikali na mageuzi kwenye madini.Haya ni mambo makubwa sana vizazi vitamkumbuka. Yapo mambo mengi ila haya ni kielelezo na alama ya kudumu. Mungu ambariki

Soma pia Hayati Magufuli ameacha legacy ya kuthubutu kufanya kitu bila ya kuomba ruhusa kwanza kwa mfadhili yeyote
Kuua wapinzani wake.
Kuteka watu
Kupiga watu risasi
Kubambikizia watu cases . Kabendera no
Kuharibu uchaguzi.
Kupora korosho.
 
1. Wakati wa Magufuli alizuia kupandishwa kwa madaraja watumishi wa Umma, yaani akakanyaga sheria za Utumishi na watu wakakosa haki zao na hakuna wa kuwatetea, UKISEMA UNATUMBULIWA..!!!

Rafiki yangu alitakiwa kupanda madaraja mawili (2015 na 2019) ila baada ya kifo cha Magu akaja kupanda 2021 kwa daraja moja.
Ina maana bila Magu kufa ASINGEPANDA?
MUNGU ALILIONA HILI NINI?

2. Wakati wa Mafuguli kukazuiwa "Annual increament" ambayo ipo kisheria.
Yaani Magu aliamua kuvunja sheria iliyopitishwa na bunge.
YE ALIKUWA NANI?

3. Wakati wa Magufuli Vibali vingi vya ruhusa vilizuiliwa.
Kwakuwa yeye alikuwa Raisi na wanae wakaajiriwa REA na u-DAS huko, basi hakuona umuhimu wa kuajiri watoto wa wenzake?

KIFUPI ALININYIMA WATU WENGII HAKI ZAO na hasa zile za USTAWI WA UCHUMI.

Kokote alipo ajue kabisa ""ALIKANYAGA SANAA SHERIA TENA KWA MASLAHI YAKE NA MAWAZO YAKE MWENYEWE""

#YNWA
Sasa hayupo kwa hiyo umeajiriwa wapi TRA ?au wapi
 
Kila awamu huacha kumbukumbu zake muhimu wengine hutumia neno "Legacy". Kwangu mimi ninaamini wananchi na Taifa litamkumbuka Rais Dr JPM kwa mambo yafuatayo baada ya muda wake kuisha:

1. Nidhamu maofisini haijawahi kutokea maadili na nidhamu kurejeshwa hivi hata kama bado kuna changamoto ya rushwa maeneo kadhaa.

2. Kuhamishia serikali makao makuu Dodoma na ujenzi wa Ikulu na mji wa serikali. Na uendelezaji wa jiji hilo kwa kasi i.e miundo mbinu barabara na uwanja ndege Msalato etc.Amevunja mwiko ulioshindikana.

3. Kufufua shirika la ndege la ATCL "the national flag bearer".hili lilishindikana huko nyuma.changamoto nyingine zozote za kiuendeshaji za kampuni ni sehemu ya mapambano kama ilivyo biashara yoyote,rada 4 viwanja vya ndege vikuu nk.

4. Daraja la Busisi Kigongo "generational Miracle" ni alama ya kudumu milele.

5. Reli ya SGR ni alama na kumbukumbu kubwa mno.

6. Daraja la Tanzanite na flyovers.

7. Umeme wa Stiglers Gorge JKNHP.

8. Mifumo ya ukusanyaji mapato ya serikali na mageuzi kwenye madini.Haya ni mambo makubwa sana vizazi vitamkumbuka. Yapo mambo mengi ila haya ni kielelezo na alama ya kudumu. Mungu ambariki

Soma pia Hayati Magufuli ameacha legacy ya kuthubutu kufanya kitu bila ya kuomba ruhusa kwanza kwa mfadhili yeyote
Mtu kafa na covid kwa mujibu wa royotua hiyo legasi itoke wapi!?
 
Back
Top Bottom