Kumbukumbu (Legacy) ya Dkt. John Pombe Magufuli
Advocate Madeleka aliyetekwa juzi ametekwa na JPM? Kuna shekh huko babati kama sikosei hajulikani alipo miezi sasa! Wale madogo wa Kariakoo nao zaidi ya wanne wako wapi? Hivi Mbowe pia alibabikwa kesi na JPM?

Kabla ya JPM yalikuwepo hayo na yataendelea hadi mumjue adui yenu halisi muachane na chuki kwa mtu isiyobadili chochote.
Thread inamwongelea Magufuli. Sasa hao unaowataja anzisha thread yako kuwahusu pia tutaongezea kwenye list yao.
 
1.Wakati wa JPM, hakukuwa na ubabaishaji katika taasisi za Serikali, sasa ni balaa tupu.

2. Wakati wa JPM bei za vitu hazikuwa zikipanda ovyo ovyo, sasa ni balaa tupu.

3. Wakati wa JPM, hakukuwa na kata kata ya umeme, sasa ni balaa tupu.

4. Wakati wa JPM hakukuwa na upigaji, lakini sasa ni balaa tupu.

5. Wakati wa JPM hakukuwa na vibaka wala PANYAROADS lakini sasa ni balaa tupu.
RIP, JPM, Mwana Afrika na mzalendo wa kweli.
Mzee magufuli ameiachia tanzania ukiwa

Hakika JPM ni Rais bora kabisa wa kizazi chetu. Apumzike kwa amani mbinguni.

Advocate Madeleka aliyetekwa juzi ametekwa na JPM? Kuna shekh huko babati kama sikosei hajulikani alipo miezi sasa! Wale madogo wa Kariakoo nao zaidi ya wanne wako wapi? Hivi Mbowe pia alibabikwa kesi na JPM?

Kabla ya JPM yalikuwepo hayo na yataendelea hadi mumjue adui yenu halisi muachane na chuki kwa mtu isiyobadili chochote.

wape maneno yao wanaompinga jpm wengi ni chadema domo tusi

JPM daaaaaah.!!! kufa kufaaana imewaachia nchi wala Bata wanaekti movie na ruby zinapotea
1. Wakati wa Magufuli alizuia kupandishwa kwa madaraja watumishi wa Umma, yaani akakanyaga sheria za Utumishi na watu wakakosa haki zao na hakuna wa kuwatetea, UKISEMA UNATUMBULIWA..!!!

Rafiki yangu alitakiwa kupanda madaraja mawili (2015 na 2019) ila baada ya kifo cha Magu akaja kupanda 2021 kwa daraja moja.
Ina maana bila Magu kufa ASINGEPANDA?
MUNGU ALILIONA HILI NINI?

2. Wakati wa Mafuguli kukazuiwa "Annual increament" ambayo ipo kisheria.
Yaani Magu aliamua kuvunja sheria iliyopitishwa na bunge.
YE ALIKUWA NANI?

3. Wakati wa Magufuli Vibali vingi vya ruhusa vilizuiliwa.
Kwakuwa yeye alikuwa Raisi na wanae wakaajiriwa REA na u-DAS huko, basi hakuona umuhimu wa kuajiri watoto wa wenzake?

KIFUPI ALININYIMA WATU WENGII HAKI ZAO na hasa zile za USTAWI WA UCHUMI.

Kokote alipo ajue kabisa ""ALIKANYAGA SANAA SHERIA TENA KWA MASLAHI YAKE NA MAWAZO YAKE MWENYEWE""

#YNWA
 
KWA Sasa karibu KILA taasisi wanakwea mwewe tu angani kwenda nje sijui kwenye visemina,kinachouma ni kodi zetu tunakamuliwa kinoma Ili watu wapige per diem.

KILA taasisi Sasa hivi ina semina na vikao,Daah hatari sana hii.
 
Michezo ya kufuturisha hovyo hovyo imeanza upya kwenye taasisi za serikali(wakuu wa mikoa na taasisi zake).

Tutegemee mwakani sherehe na tafrija za kuukaribisha mwaka kama kawaida,huku tukichapisha ma T-shirt na makofia ya kuukaribisha mwaka KILA taasisi huku miti ya X-mass ikijaa tele kwenye maofisi KWA budget kubwa kubwa
 
Tupo tunapambana na ROYO TUA,week Mbili nzima nchi ipo America,tukilamba posho za kutosha na msafara ulosheheni watu wa kutosha,Afu TOZO nakamuliwa mimi ninayemtumia hela ya dawa dada yangu mgonjwa
 
Halafu mnataka watu wasiongee KWA kuogopa kuitwa SUKUMA GANG,nyinyi ni empty tank kabisaa.

Tutaongea na kuzidi kuongea kijiti wamekabiziwa wahuni wanao pata uungwaji mkono na CHadema.
 
Kwani kikwete anaitwa Juma? Au Mwinyi anaitwa Mushi? Au mama samia anaitwa Rose? Eti muacheni Magufuli aitwe Magufuli, kumbe angeitwa nani sasa? Yesu? Au Muhammad?
Walishawahi kumfananisha na Mungu na kumuandalia mazingira ya kutawala milele.... Mungu mwenyewe kaona matusi yamezidi kamvuta fastaaaa. Yaani jiwe lingekuwa ndio limeanzisha mifumo mingi kama mkapa (TRA, NSSF, PCCB, TANROADS nk) sijui wangejisifuje
 
1.Wakati wa JPM, hakukuwa na ubabaishaji katika taasisi za Serikali, sasa ni balaa tupu.

2. Wakati wa JPM bei za vitu hazikuwa zikipanda ovyo ovyo, sasa ni balaa tupu.

3. Wakati wa JPM, hakukuwa na kata kata ya umeme, sasa ni balaa tupu.

4. Wakati wa JPM hakukuwa na upigaji, lakini sasa ni balaa tupu.

5. Wakati wa JPM hakukuwa na vibaka wala PANYAROADS lakini sasa ni balaa tupu.
RIP, JPM, Mwana Afrika na mzalendo wa kweli.
Hakuna utawala uliojaa wizi kama wa JPM
 
Hakuna utawala uliojaa wizi kama wa JPM
Andika hii>>>17/03 ni siku yenu ya maadhimisho ya sherehe za mafisadi TZ.


Hii mtaendelea kuadhimisha mpaka siku anakuja mwana mwengine wa kiAfrica kuleta ukombozi
 
Walishawahi kumfananisha na Mungu na kumuandalia mazingira ya kutawala milele.... Mungu mwenyewe kaona matusi yamezidi kamvuta fastaaaa. Yaani jiwe lingekuwa ndio limeanzisha mifumo mingi kama mkapa (TRA, NSSF, PCCB, TANROADS nk) sijui wangejisifuje
Hakuna aliyebisha,watu wanazidiana.
Ila hizo ni mifumo ambayo ni systematically document inayofatiwa na teuzi za kuzisimamia pamoja na budget zake TOKA serikalini mwanzo baada ya kuundwa na ni kitu kimefanyika Dunia nzima.

Ila jua kutofautisha kujenga nchi kimiundombinu,miradi ya kimkakati,kukemea ufisadi,utumishi wenye kujali utu na haki za raia na kuepusha kuulizana 'UNANIJUA MIMI NANI",Kudhibiti wa mali ya umma kama madini na wanyama(meno ya tembo na ongezeko la tembo n.k),Fursa sawa KWA wote.



TUNA MENGI YA JPM HUYU,TUKANENI NASI TUMEMUHIFADHI MOYONI.nukta
 
Magu kafa na harudi tena, utawala mpya, take it like a man, mambo ya udikteta na uhuni yeshapita, UCHUMI wa kishamba haupo tena, kuna formula za kurun uchumi, siyo kuvamia maghala ya watu kuwaambia wameficha sukari, ujinga mtupu
Wewe ni mshamba mara mbili usiyejua chochote kuhusu uchumi,umejazwa chuki na wivu tu kama mchawi.Huyo unayemuona hajui uchumi ndo alituvusha kiuchumi Tangu nchi hii inapata uhuru.
 
1. Nidhamu ya woga iliyojengwa katika msingi wa vitisho na wafanyakazi kulia hawajapandishiwa mishahara kwa miaka si kitu cha kujivunia. Kwa kiasi kikubwa huu ni woga na si nidhamu.

2. Wazo zima la kuhamisha makao makuu ya serikali kwenda Dodoma ni wazo la kisiasa lisilo na tija kubwa kiuchumi.

Ni mazingaombwe ya mtu aliyeshindwa kazi ya kuboresha uchumi wa Mtanzania masikini. Ni habari ya mtu aliyeshindwa kufanya kazi ya umuhimu aliyopewa kufanya, akaamua kujitungia kazi nyingine tofauti ambayo hajapewa.

Nyerere nampenda kwa mengi sana. Hususan zama hizi za uongozi mbovu, nikimkumbuka from all those Ikulu parties - my mom used to work in the Nyerere Ikulu, so, I ate some of Miss Wicken's famous apples. That is to say, Nyerere is a personal figure to me, not just a mythical politician- nikimkumbuka na kumsoma, namuona ni political giant.

Lakini, mimi ni mtu wa ideas. Siangalii mtu. Nilikuwa nabishana na mama yangu kuhusu makisa ya Nyerere - she could see no wrong in the man- mpaka naona inataka kuwa ugomvi mbaya. Namtuliza bi mkubwa kisiasa.

And the man knew how to take care of his immediate staff. Very humane gentleman. Something I cannot say for the current occupant.

So, that is the personal context of how Nyerere was held high in my household.

Lakini.

Kwenye kuhamisha makao makuu ya serikali kwenda Dodoma Nyerere alikosea sana.

Alikuwa anatatua tatizo ambalo halipo, katika nchi ambayo ina matatizo mengi sana ambayo yanahitaji utatuzi.

Hakuna Mtanzania aliyelia anataka makao makuu ya serikali yahamie Dodoma.Hii haikuwa kero ya wananchi.

Nyerere alijitungia tu hii habari. Hii habari haina tija kiuchumi. Kwa kweli ni habari ya anasa inayotugharimu tu.

Kwa hivyo, mimi sioni kama ni kitu cha kujivunia.

It is one of the biggest white elephant projects, economically speaking.

Makao makuu ya serikali tayari yalikuwapo Dar. Kulikuwa na haja gani ya kuhamisha kwenda Dodoma?

Muandiahi mmoja- Nafikiri Jenerali Ulimwengu- alisema akikejeli habari hii, na kusema kwamba makao makuu ya serikali ya Tanzania sasa si Dar wala Dodoma. Ni barabara ya kuiunganisha miji miwili hii.

Viongozi mpaka leo wanatumia muda mwingi sana, mafuta mengi sana, allowances nyingi sana, kwa safari za Dar- Dodoma and back.

Ni anasa ya ajabu sana kwa nchi ambayo ina upungufu wa fedha za kigeni.

3 Habari nzima za "national flag bearer" zimepitwa na wakati. Biashara ya ndege ni ngumu sana, inabadilika kwa haraka sana. Na haiendani na dhana nzima ya serikali kujitoa kwenye biashara na kuweka mazingira ya biashara yawe mazuri. Tulishafika pazuri sana na Fastjet, Precision Airlines etc. Hakukuwa na haja ya serikali kujiingizq katika biashara ya ndege yenye risk kubwa na colossal losses.

Again, we are trying to solve non existent problems, while real and existing problems qre not solved!

Ndege zimeanzia Marekani. Kitty Hawk hapo North Carolina ndipo Wright Brothers waliporusha ndege mara ya kwanza duniani mwaka 1903.

David McCullough, muandiahi wangu mmoja mshindi wa nishqninya Pulitzer ninayempenda sana kaandika kitabu kizuri sana kuhusu historia ya ndege ya kwanza kuruka. Kitabu kinaitwa "The Wright Brothers". Nimekisoma. Kitabu kizuri sana kwa wanaotaka kujua historia ya ndege.

Wamarekani wanajua sana biashara.Ila serikqli yao imekataa habari za "national flag carrier". Kwao ukiongelea flag carriers unaongelea US Air Force. Ndege za kijeshi.

Huku kwenye biashara, serikali imejitoa. Inaweka mazingira ya biashara yawe mazuri tu.

Private companies zinashindana.

Unafikiri Wamarekani ni wajinga kufanya hivyo? Serikali ya Marekani haitaki faida kutika biashara ya ndege?

Wanajua biashara hii iko very tricky. Serikali imeiachia sekta binafsi.

Sisi mpaka leo tunatamba na habari za national flag carrier?

Tunaitaka "national flag carrier" kwa ujiko wa kisiasa au ufanisi wa kibiashara?

If it is the former, how much are we ready to throw down a bottomless pit for this foolish extravagance?

If it is the latter, is this avaricious?

Hivi watu wanajua hata ATCL ina operate at what loss or profit? Woth all this Ikulu interference and audit blocks? All these purchases that are totally outside of the open tender process?

Is this something to be proud of as a legacy?

4. Daraja, hata kama lina tija, halidumu milele.

Hapa tunarudi kwenye mjadala wa maendeleo ya vitu na watu. Granted. Tunahitaji madaraja na vitu. Lakini ukiona kiongozi anasifiwa sana kwa kuleta maendeleo ya vitu lakini hana accomplishment kwenye kuendeleza mawazo ya watu, hapi ujue kuna tatizo.

Nyerere hakuleta maendeleo ya vitu sana. Lakini aliwapa watu maendeleo ya watu. Kuna Bibi alizaliwa kabla ya Nyerere (1920), alikuwa mtu wa dini sana. Lakini alisikitika sana kutojua kusoma.

Nyerere alivyoleta habari za "Elimu ya Watu Wazima", huyu Bibi alipata nafasi ya kusoma. Aliweza kusoma Biblia yake mwenyewe bila ya kusaidiwa na mtu. Alisoma barua zake mwenyewe bila ya kusaidiwa na mtu. Hayo yalikuwa maendeleo makubwa.

Kipindi hicho, Tanzania ilikaribia 100% literacy rate.

Karibu kila mtu wa umri wa kujua kusoma alijua kusoma.

Kwa sasa nafikiri tumeshuka kutoka literamacy rate hizo za enzi za Nyerere.

Watu wengi zaidi, kwa asilimia, hawajui kusoma.

Sasa unaweza vipi kuwa na demokrasia na uhuru wa kuchagua katika nchi ambayo watu wasiojua kusoma wanazidi?

Hiki ni kitu cha kujivunia?

Ukiwa na daraja zuri jipya, halafu watu hawajui kusoma alama za darajani, hilo ni jambo la kujivunia?

6. Unarudia madaraja. Inaonekana huna kitu tofauti. Maneno yangu ya hapi juu jibu namba 5 yanahusika hapa pia.

7. Umeme wa Stiglers Gorge utamsaidia vipi mtu asiyeweza kumudu kuununua na serikali ambayo haiko investor friendly kuweza kuleta investors wengi walete ajira na kuutumia vilivyo? Unajua terms za finacing of the projects? Unajua Return on Investment Projections?

8 Mifumo ya ukusanyaji wq mapato iliwekwa tangu enzi za Makapa alipoanzisha TRA. Sioni kipya alichofanya JPM zaidi ya kuiingilia kisiasa na kusababisha TRA iweke unrealistic goals zinazofanya watendaji wake wabambikie watu kodi za juu kabla hata hawajaanza biashara. Na hili matokeo yake ni watu wengi kuona biashara ni ujinga, kwa sababu wanafanya biashara ili walipe kodi, na faida kwao ni ndogo sana.

Watu wanafunga biashara sasa hivi.

Nina rafiki zangu kadhaa wana biashara zao, wanafunga kwa sababu wamebambikiwa kodi za ajabu.

Watu wanauza nyumba zao Mbezi Beach na Mbweni kwa bei za kutupa, kwa sababu wanadaiwa kodi za ajabu na TRA. Na biashara mbaya, watu hawana hela.

Mimi familia yangu ina nyumba ya biashara prime area Dar (Oysterbay). Rent ilikuwa inapanda tu kila renewal. Kwa sasa rent zimeshuka sana. Hata nyumba zetu za Oysterbqy za kupangisha mabalozi wa nje. Wafanyabiashara wanafunga biashara zao.

Etihad is gone. Exxon Mobil is gone. Dangote is gone. So many more global business brands are gone.

Rafiki zangu wawekezaji wa ndani wanafunga biashara.

Hii ndiyo legacy ya Magufuli.

Rais aliyeua biashara Tanzania.
Sasa umeandika nini hapa
 
1. Nidhamu ya woga iliyojengwa katika msingi wa vitisho na wafanyakazi kulia hawajapandishiwa mishahara kwa miaka si kitu cha kujivunia. Kwa kiasi kikubwa huu ni woga na si nidhamu.

2. Wazo zima la kuhamisha makao makuu ya serikali kwenda Dodoma ni wazo la kisiasa lisilo na tija kubwa kiuchumi.

Ni mazingaombwe ya mtu aliyeshindwa kazi ya kuboresha uchumi wa Mtanzania masikini. Ni habari ya mtu aliyeshindwa kufanya kazi ya umuhimu aliyopewa kufanya, akaamua kujitungia kazi nyingine tofauti ambayo hajapewa.

Nyerere nampenda kwa mengi sana. Hususan zama hizi za uongozi mbovu, nikimkumbuka from all those Ikulu parties - my mom used to work in the Nyerere Ikulu, so, I ate some of Miss Wicken's famous apples. That is to say, Nyerere is a personal figure to me, not just a mythical politician- nikimkumbuka na kumsoma, namuona ni political giant.

Lakini, mimi ni mtu wa ideas. Siangalii mtu. Nilikuwa nabishana na mama yangu kuhusu makisa ya Nyerere - she could see no wrong in the man- mpaka naona inataka kuwa ugomvi mbaya. Namtuliza bi mkubwa kisiasa.

And the man knew how to take care of his immediate staff. Very humane gentleman. Something I cannot say for the current occupant.

So, that is the personal context of how Nyerere was held high in my household.

Lakini.

Kwenye kuhamisha makao makuu ya serikali kwenda Dodoma Nyerere alikosea sana.

Alikuwa anatatua tatizo ambalo halipo, katika nchi ambayo ina matatizo mengi sana ambayo yanahitaji utatuzi.

Hakuna Mtanzania aliyelia anataka makao makuu ya serikali yahamie Dodoma.Hii haikuwa kero ya wananchi.

Nyerere alijitungia tu hii habari. Hii habari haina tija kiuchumi. Kwa kweli ni habari ya anasa inayotugharimu tu.

Kwa hivyo, mimi sioni kama ni kitu cha kujivunia.

It is one of the biggest white elephant projects, economically speaking.

Makao makuu ya serikali tayari yalikuwapo Dar. Kulikuwa na haja gani ya kuhamisha kwenda Dodoma?

Muandiahi mmoja- Nafikiri Jenerali Ulimwengu- alisema akikejeli habari hii, na kusema kwamba makao makuu ya serikali ya Tanzania sasa si Dar wala Dodoma. Ni barabara ya kuiunganisha miji miwili hii.

Viongozi mpaka leo wanatumia muda mwingi sana, mafuta mengi sana, allowances nyingi sana, kwa safari za Dar- Dodoma and back.

Ni anasa ya ajabu sana kwa nchi ambayo ina upungufu wa fedha za kigeni.

3 Habari nzima za "national flag bearer" zimepitwa na wakati. Biashara ya ndege ni ngumu sana, inabadilika kwa haraka sana. Na haiendani na dhana nzima ya serikali kujitoa kwenye biashara na kuweka mazingira ya biashara yawe mazuri. Tulishafika pazuri sana na Fastjet, Precision Airlines etc. Hakukuwa na haja ya serikali kujiingizq katika biashara ya ndege yenye risk kubwa na colossal losses.

Again, we are trying to solve non existent problems, while real and existing problems qre not solved!

Ndege zimeanzia Marekani. Kitty Hawk hapo North Carolina ndipo Wright Brothers waliporusha ndege mara ya kwanza duniani mwaka 1903.

David McCullough, muandiahi wangu mmoja mshindi wa nishqninya Pulitzer ninayempenda sana kaandika kitabu kizuri sana kuhusu historia ya ndege ya kwanza kuruka. Kitabu kinaitwa "The Wright Brothers". Nimekisoma. Kitabu kizuri sana kwa wanaotaka kujua historia ya ndege.

Wamarekani wanajua sana biashara.Ila serikqli yao imekataa habari za "national flag carrier". Kwao ukiongelea flag carriers unaongelea US Air Force. Ndege za kijeshi.

Huku kwenye biashara, serikali imejitoa. Inaweka mazingira ya biashara yawe mazuri tu.

Private companies zinashindana.

Unafikiri Wamarekani ni wajinga kufanya hivyo? Serikali ya Marekani haitaki faida kutika biashara ya ndege?

Wanajua biashara hii iko very tricky. Serikali imeiachia sekta binafsi.

Sisi mpaka leo tunatamba na habari za national flag carrier?

Tunaitaka "national flag carrier" kwa ujiko wa kisiasa au ufanisi wa kibiashara?

If it is the former, how much are we ready to throw down a bottomless pit for this foolish extravagance?

If it is the latter, is this avaricious?

Hivi watu wanajua hata ATCL ina operate at what loss or profit? Woth all this Ikulu interference and audit blocks? All these purchases that are totally outside of the open tender process?

Is this something to be proud of as a legacy?

4. Daraja, hata kama lina tija, halidumu milele.

Hapa tunarudi kwenye mjadala wa maendeleo ya vitu na watu. Granted. Tunahitaji madaraja na vitu. Lakini ukiona kiongozi anasifiwa sana kwa kuleta maendeleo ya vitu lakini hana accomplishment kwenye kuendeleza mawazo ya watu, hapi ujue kuna tatizo.

Nyerere hakuleta maendeleo ya vitu sana. Lakini aliwapa watu maendeleo ya watu. Kuna Bibi alizaliwa kabla ya Nyerere (1920), alikuwa mtu wa dini sana. Lakini alisikitika sana kutojua kusoma.

Nyerere alivyoleta habari za "Elimu ya Watu Wazima", huyu Bibi alipata nafasi ya kusoma. Aliweza kusoma Biblia yake mwenyewe bila ya kusaidiwa na mtu. Alisoma barua zake mwenyewe bila ya kusaidiwa na mtu. Hayo yalikuwa maendeleo makubwa.

Kipindi hicho, Tanzania ilikaribia 100% literacy rate.

Karibu kila mtu wa umri wa kujua kusoma alijua kusoma.

Kwa sasa nafikiri tumeshuka kutoka literamacy rate hizo za enzi za Nyerere.

Watu wengi zaidi, kwa asilimia, hawajui kusoma.

Sasa unaweza vipi kuwa na demokrasia na uhuru wa kuchagua katika nchi ambayo watu wasiojua kusoma wanazidi?

Hiki ni kitu cha kujivunia?

Ukiwa na daraja zuri jipya, halafu watu hawajui kusoma alama za darajani, hilo ni jambo la kujivunia?

6. Unarudia madaraja. Inaonekana huna kitu tofauti. Maneno yangu ya hapi juu jibu namba 5 yanahusika hapa pia.

7. Umeme wa Stiglers Gorge utamsaidia vipi mtu asiyeweza kumudu kuununua na serikali ambayo haiko investor friendly kuweza kuleta investors wengi walete ajira na kuutumia vilivyo? Unajua terms za finacing of the projects? Unajua Return on Investment Projections?

8 Mifumo ya ukusanyaji wq mapato iliwekwa tangu enzi za Makapa alipoanzisha TRA. Sioni kipya alichofanya JPM zaidi ya kuiingilia kisiasa na kusababisha TRA iweke unrealistic goals zinazofanya watendaji wake wabambikie watu kodi za juu kabla hata hawajaanza biashara. Na hili matokeo yake ni watu wengi kuona biashara ni ujinga, kwa sababu wanafanya biashara ili walipe kodi, na faida kwao ni ndogo sana.

Watu wanafunga biashara sasa hivi.

Nina rafiki zangu kadhaa wana biashara zao, wanafunga kwa sababu wamebambikiwa kodi za ajabu.

Watu wanauza nyumba zao Mbezi Beach na Mbweni kwa bei za kutupa, kwa sababu wanadaiwa kodi za ajabu na TRA. Na biashara mbaya, watu hawana hela.

Mimi familia yangu ina nyumba ya biashara prime area Dar (Oysterbay). Rent ilikuwa inapanda tu kila renewal. Kwa sasa rent zimeshuka sana. Hata nyumba zetu za Oysterbqy za kupangisha mabalozi wa nje. Wafanyabiashara wanafunga biashara zao.

Etihad is gone. Exxon Mobil is gone. Dangote is gone. So many more global business brands are gone.

Rafiki zangu wawekezaji wa ndani wanafunga biashara.

Hii ndiyo legacy ya Magufuli.

Rais aliyeua biashara Tanzania.
Kule mwanzo sikukuelewa, mwisho umekitambulisha vizuri na kujipambanua.
Kumbe chuki yako kwa JPM ni maslahi binafsi kuminywa. Kutozwa kodi ulizozikwepa kijanjajanja miaka ya nyuma na kukosa wateja baada ya wahujumu uchumi kusepa kutokana na kuzibwa mianya yao ya upigaji.
Hakika, wezi na walanguzi, wauza unga na wakwepa kodi hawakumpenda wala hawatampenda JPM daima
 
1. Nidhamu ya woga iliyojengwa katika msingi wa vitisho na wafanyakazi kulia hawajapandishiwa mishahara kwa miaka si kitu cha kujivunia. Kwa kiasi kikubwa huu ni woga na si nidhamu.

2. Wazo zima la kuhamisha makao makuu ya serikali kwenda Dodoma ni wazo la kisiasa lisilo na tija kubwa kiuchumi.

Ni mazingaombwe ya mtu aliyeshindwa kazi ya kuboresha uchumi wa Mtanzania masikini. Ni habari ya mtu aliyeshindwa kufanya kazi ya umuhimu aliyopewa kufanya, akaamua kujitungia kazi nyingine tofauti ambayo hajapewa.

Nyerere nampenda kwa mengi sana. Hususan zama hizi za uongozi mbovu, nikimkumbuka from all those Ikulu parties - my mom used to work in the Nyerere Ikulu, so, I ate some of Miss Wicken's famous apples. That is to say, Nyerere is a personal figure to me, not just a mythical politician- nikimkumbuka na kumsoma, namuona ni political giant.

Lakini, mimi ni mtu wa ideas. Siangalii mtu. Nilikuwa nabishana na mama yangu kuhusu makisa ya Nyerere - she could see no wrong in the man- mpaka naona inataka kuwa ugomvi mbaya. Namtuliza bi mkubwa kisiasa.

And the man knew how to take care of his immediate staff. Very humane gentleman. Something I cannot say for the current occupant.

So, that is the personal context of how Nyerere was held high in my household.

Lakini.

Kwenye kuhamisha makao makuu ya serikali kwenda Dodoma Nyerere alikosea sana.

Alikuwa anatatua tatizo ambalo halipo, katika nchi ambayo ina matatizo mengi sana ambayo yanahitaji utatuzi.

Hakuna Mtanzania aliyelia anataka makao makuu ya serikali yahamie Dodoma.Hii haikuwa kero ya wananchi.

Nyerere alijitungia tu hii habari. Hii habari haina tija kiuchumi. Kwa kweli ni habari ya anasa inayotugharimu tu.

Kwa hivyo, mimi sioni kama ni kitu cha kujivunia.

It is one of the biggest white elephant projects, economically speaking.

Makao makuu ya serikali tayari yalikuwapo Dar. Kulikuwa na haja gani ya kuhamisha kwenda Dodoma?

Muandiahi mmoja- Nafikiri Jenerali Ulimwengu- alisema akikejeli habari hii, na kusema kwamba makao makuu ya serikali ya Tanzania sasa si Dar wala Dodoma. Ni barabara ya kuiunganisha miji miwili hii.

Viongozi mpaka leo wanatumia muda mwingi sana, mafuta mengi sana, allowances nyingi sana, kwa safari za Dar- Dodoma and back.

Ni anasa ya ajabu sana kwa nchi ambayo ina upungufu wa fedha za kigeni.

3 Habari nzima za "national flag bearer" zimepitwa na wakati. Biashara ya ndege ni ngumu sana, inabadilika kwa haraka sana. Na haiendani na dhana nzima ya serikali kujitoa kwenye biashara na kuweka mazingira ya biashara yawe mazuri. Tulishafika pazuri sana na Fastjet, Precision Airlines etc. Hakukuwa na haja ya serikali kujiingizq katika biashara ya ndege yenye risk kubwa na colossal losses.

Again, we are trying to solve non existent problems, while real and existing problems qre not solved!

Ndege zimeanzia Marekani. Kitty Hawk hapo North Carolina ndipo Wright Brothers waliporusha ndege mara ya kwanza duniani mwaka 1903.

David McCullough, muandiahi wangu mmoja mshindi wa nishqninya Pulitzer ninayempenda sana kaandika kitabu kizuri sana kuhusu historia ya ndege ya kwanza kuruka. Kitabu kinaitwa "The Wright Brothers". Nimekisoma. Kitabu kizuri sana kwa wanaotaka kujua historia ya ndege.

Wamarekani wanajua sana biashara.Ila serikqli yao imekataa habari za "national flag carrier". Kwao ukiongelea flag carriers unaongelea US Air Force. Ndege za kijeshi.

Huku kwenye biashara, serikali imejitoa. Inaweka mazingira ya biashara yawe mazuri tu.

Private companies zinashindana.

Unafikiri Wamarekani ni wajinga kufanya hivyo? Serikali ya Marekani haitaki faida kutika biashara ya ndege?

Wanajua biashara hii iko very tricky. Serikali imeiachia sekta binafsi.

Sisi mpaka leo tunatamba na habari za national flag carrier?

Tunaitaka "national flag carrier" kwa ujiko wa kisiasa au ufanisi wa kibiashara?

If it is the former, how much are we ready to throw down a bottomless pit for this foolish extravagance?

If it is the latter, is this avaricious?

Hivi watu wanajua hata ATCL ina operate at what loss or profit? Woth all this Ikulu interference and audit blocks? All these purchases that are totally outside of the open tender process?

Is this something to be proud of as a legacy?

4. Daraja, hata kama lina tija, halidumu milele.

Hapa tunarudi kwenye mjadala wa maendeleo ya vitu na watu. Granted. Tunahitaji madaraja na vitu. Lakini ukiona kiongozi anasifiwa sana kwa kuleta maendeleo ya vitu lakini hana accomplishment kwenye kuendeleza mawazo ya watu, hapi ujue kuna tatizo.

Nyerere hakuleta maendeleo ya vitu sana. Lakini aliwapa watu maendeleo ya watu. Kuna Bibi alizaliwa kabla ya Nyerere (1920), alikuwa mtu wa dini sana. Lakini alisikitika sana kutojua kusoma.

Nyerere alivyoleta habari za "Elimu ya Watu Wazima", huyu Bibi alipata nafasi ya kusoma. Aliweza kusoma Biblia yake mwenyewe bila ya kusaidiwa na mtu. Alisoma barua zake mwenyewe bila ya kusaidiwa na mtu. Hayo yalikuwa maendeleo makubwa.

Kipindi hicho, Tanzania ilikaribia 100% literacy rate.

Karibu kila mtu wa umri wa kujua kusoma alijua kusoma.

Kwa sasa nafikiri tumeshuka kutoka literamacy rate hizo za enzi za Nyerere.

Watu wengi zaidi, kwa asilimia, hawajui kusoma.

Sasa unaweza vipi kuwa na demokrasia na uhuru wa kuchagua katika nchi ambayo watu wasiojua kusoma wanazidi?

Hiki ni kitu cha kujivunia?

Ukiwa na daraja zuri jipya, halafu watu hawajui kusoma alama za darajani, hilo ni jambo la kujivunia?

6. Unarudia madaraja. Inaonekana huna kitu tofauti. Maneno yangu ya hapi juu jibu namba 5 yanahusika hapa pia.

7. Umeme wa Stiglers Gorge utamsaidia vipi mtu asiyeweza kumudu kuununua na serikali ambayo haiko investor friendly kuweza kuleta investors wengi walete ajira na kuutumia vilivyo? Unajua terms za finacing of the projects? Unajua Return on Investment Projections?

8 Mifumo ya ukusanyaji wq mapato iliwekwa tangu enzi za Makapa alipoanzisha TRA. Sioni kipya alichofanya JPM zaidi ya kuiingilia kisiasa na kusababisha TRA iweke unrealistic goals zinazofanya watendaji wake wabambikie watu kodi za juu kabla hata hawajaanza biashara. Na hili matokeo yake ni watu wengi kuona biashara ni ujinga, kwa sababu wanafanya biashara ili walipe kodi, na faida kwao ni ndogo sana.

Watu wanafunga biashara sasa hivi.

Nina rafiki zangu kadhaa wana biashara zao, wanafunga kwa sababu wamebambikiwa kodi za ajabu.

Watu wanauza nyumba zao Mbezi Beach na Mbweni kwa bei za kutupa, kwa sababu wanadaiwa kodi za ajabu na TRA. Na biashara mbaya, watu hawana hela.

Mimi familia yangu ina nyumba ya biashara prime area Dar (Oysterbay). Rent ilikuwa inapanda tu kila renewal. Kwa sasa rent zimeshuka sana. Hata nyumba zetu za Oysterbqy za kupangisha mabalozi wa nje. Wafanyabiashara wanafunga biashara zao.

Etihad is gone. Exxon Mobil is gone. Dangote is gone. So many more global business brands are gone.

Rafiki zangu wawekezaji wa ndani wanafunga biashara.

Hii ndiyo legacy ya Magufuli.

Rais aliyeua biashara Tanzania.

Wewe ni kilaza, bisha kwa kuleta matokeo yako ya kidato cha nne.
 
Back
Top Bottom