Kumbukumbu (Legacy) ya Dkt. John Pombe Magufuli
Huyu mzee kwa alichotufanya miaka mitano it's my pleasure kuina hio 'legacy' yake inachafuliwa tena na watu aliowaamini.

Kama huko aliko anaona i hope anaenjoy
 
Tundu Lissu, Lema na Chadema kwa ujumla mkitaka kuuwa legacy ya hayati rais Magufuli kwa watanzania itabidi ufanye yafuatayo.

Unapokula kichwa mradi wa umeme kutoka bwawa la Nyerere ambao umefikia 50% itabidi watuambie umeme tutatoa wapi?.

Unapokula kichwa serikali kuhamia Dodoma na kusema ni hasara itabidi wajieleze.

Unapokula kichwa reli ya kisasa ambayo inakaribia Makutupora itabidi wajieleze kwa watanzania hiyo Tanzania ya viwanda itawexekana vipi.

Unapokula kichwa ujenzi wa meli mpya kwenye maziwa makuu itabidi watueleze watatusafirisha na nini?

Wanapokula kichwa ndege zetu itabidi tuwawekee video za kina Heche ,Lema,Lisu wakitukana serikali iliyoshindwa kununua ndege

Watakaposema wachimbaji wadogo, bodaboda na mama ntilie wafukuzwe itabidi watueleze wanafanya haya kwa faida ya nani?

Watakapoamua zahanati na hospitali zote zilizojengwa na Magufuli zifungwe ,itabidi watueleze tutaenda kutibiwa wapi?

Watakaposema wamefuta elimu bure itabidi watueleze kodi zetu zinafanya kazi gani?

Watakaposema lazima watanzania millioni 60 wachanjwe, itabidi watueleze wao mpaka sasa
hawajachanjwa
Nyungu hawajapiga,
Hawajajifungia ndani wanaenda kazini kila siku
Mbona hawajafa na corona sasa?

Watakaohoji haya maelezo siyo Magufuli wala watoto wa Magufuli ni watanzania.

Anayedhani itakuwa rahisi kuuwa legacy ya Magufuli atakutana na nguvu ya uma.

Muda utaongea .
Mbio za sakafuni uwa zinaishia ukingoni.
 
Mimi Leo Nasimama Kuhesabiwa, Nasimama Kuonekana ili wakati ukifika basi Iwe kwamba nilisimama. Natambua kabisa kwamba Hayati Magufuli hakuwa Mbegu Bora kabisa ya kiongozi katika nchi ila kinachoendelea sasa hivi sio dhuluma dhidi ya Magufuli bali ni dhuluma dhidi ya Watanzania ambao ni wazalendo wa nchi hii. Nasema tena hii ni dhuluma dhidi ya Watanzania.

Sijajua Dhuluma hii ni kwa sababu ya Uoga au ni unafiki wa Watanzania. Naona kabisa inatumika nguvu kubwa sana kutaka kuuaminisha umma kwamba miradi yote ya Magufuli ni shody na kwamba sasa ni wakati wa kuiacha. Niseme tu ukweli kwamba kunaweza kuwa kuna matatizo katika miradi hii ila kwa kweli sidhani kama ni sawa kinachoendelea sasa hivi.

Je ni kweli kwamba hawa wanaotuaminisha leo kwamba kila kitu hakifai kweli wana nia njema na taifa letu? Au nia yao ni kujijengea mazingira ya kuweka mambo yao sawa na kuanza upigaji upya

NB,Post has minor edits

Kwa kuwa watu wengi wamefocus kwenye ripoti ya CAG naomba niweke links za report tatu za CAG ili kwa wenye Muda wapitie na kulinganisha ili kujua nn kimebadilika in context and content tusijefikiri kuna mabadiliko.Kilichobadilika ni tone ambayo mara nyingi ni propaganda.

Ripoti zote zipo hapa
 
Tumtetee jpm Alie tutukana mbili Mara tatu kutwa?
Tumtetee jpm Alie ua ndugu zetu bila huruma kwa kiwatupa kwenye viroba na kuwatumia watu wasio julikana?

Tumtetee mtu ambae baada ya kutuma washenzi wakamuue lisu walimimina risasi 38, akamnyima fedha za matibabu stahili ya mbunge, akakataza watu wasiemde kumwona hospitali na hata tulipo taka kukusanyika kumwombea Lissu akakataza na hata tulipo vaa tshert za pray for Lissu akatukamata???

Tumwombee mtu Alie nyima maslahi ya wafanyakazi?
Tumwombee Alie bomoa nyumba dar na za Mwanza zilizo kua katika mpango huo akasema waziache kwa kuwa ni wapiga kura wake??

Magufuli alikua ni shetani anae tembea,
Mwizi Alie jifucha katika kichaka Cha uzalendo.

Tunamshukuru Mungu kutuondolea kansa hii Kama taifa.
KWENDA ZAKO MAGUFULI, HATUKUPENDI.
 
Anayemsulubu ni nani?
Au zile taarifa za CAG?
Ulitaka CAG aseme ATCL wanapata faida ya shilingi ngapi?

Asee hii nchi ni ngumu sana.Kwa watu wasiopenda ukweli na uwazi watakuunga mkono.

Ukweli lazima usemwe ili taifa lipone,maana haki huinua taifa.

Jambo pekee ninalotarajia,ni hatua kali za kisheria zichukuliwe dhidi ya wote waliohusika kufanya mambo hayo.Iwapo hatua hazitachukuliwa,basi hata maana ya kuyaweka wazi haya haitakuwepo
 
Hivi mbona legacy ya Nyerer hakuna anayeahangaika hivi kuitetea iendelee kuwepo? WHY huyu?
Kwasababu kuna watu WAPUMBAVU wanataka kuwapumbaza watu ya kwamba JPM hajafanya kitu. Tunataka kuwaambia yeyote anayefikiri hivyo, aitishe Uchaguzi Mkuu haraka halafu apande jukwaani aseme JPM hakufanya kitu, awe CCM au Upinzani aone kama atatoka jukwaani salama!!!
 
Tumtetee jpm Alie tutukana mbili Mara tatu kutwa?
Tumtetee jpm Alie ua ndugu zetu bila huruma kwa kiwatupa kwenye viroba na kuwatumia watu wasio julikana?

Tumtetee mtu ambae baada ya kutuma washenzi wakamuue lisu walimimina risasi 38, akamnyima fedha za matibabu stahili ya mbunge, akakataza watu wasiemde kumwona hospitali na hata tulipo taka kukusanyika kumwombea Lissu akakataza na hata tulipo vaa tshert za pray for Lissu akatukamata???

Tumwombee mtu Alie nyima maslahi ya wafanyakazi?
Tumwombee Alie bomoa nyumba dar na za Mwanza zilizo kua katika mpango huo akasema waziache kwa kuwa ni wapiga kura wake??

Magufuli alikua ni shetani anae tembea,
Mwizi Alie jifucha katika kichaka Cha uzalendo.

Tunamshukuru Mungu kutuondolea kansa hii Kama taifa.
KWENDA ZAKO MAGUFULI, HATUKUPENDI.
Mkuu, Mimi narudia tena!! Kuna mchezo mpya unapikwa. Tusikubali iwe ni RAHISI kwa nchi yetu kuyumbishwa na watu kwa matakwa yao. Natamani Mgome ili tuwekewe mifumo imara. Hii michezo hii tunachezewa sio kabisa.
 
Mimi Leo Nasimama Kuhesabiwa,Nasimama Kuonekana ili wakati ukifika basi Iwe kwamba nilisimama.
Natambua kabisa kwamba Hayati Magufuli hakuwa Mbegu Bora kabisa ya kiongozi katika nchi ila kinachoendelea sasa hivi sio dhuluma dhidi ya Magufuli bali ni dhuluma dhidi ya Watanzania ambao ni wazalendo wa nchi hii.Nasema tena hii ni dhuluma dhidi ya Watanzania.

Sijajua Dhuluma hii ni kwa sababu ya Uoga au ni unafiki wa Watanzania.Naona kabisa inatumika nguvu kubwa sana kutaka kuuaminisha umma kwamba miradi yote ya Magufuli ni shody na kwamba sasa ni wakati wa kuiacha.Niseme tu ukweli kwamba kuna weza kuwa kuna matatizo katika miradi hii ila kwa kweli sidhani kama ni sawa kinachoendelea sasa hivi.

Ninasikia Sauti ya Magufuli akilia na kulaani kwamba hata kabla hajaoza tayari ameanza kusulubiwa na kulaaniwa hata katika maeneo ambayo alijitahidi kuyaweka sawa.Swali langu ni

Je ni kweli kwamba hawa wanaotuaminisha leo kwamba kila kitu hakifai kweli wana nia njema na taifa letu?Au nia yao ni kujijengea mazingira ya kuweka mambo yao sawa?


Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza au chatembezwa.

Tumuache Magu auzike mwenyewe kwani kujitembeza hawezi tena na kutembezwa ni mwiko.

Mama tumuache apige SHOW.
 
Back
Top Bottom