Kumbukumbu (Legacy) ya Dkt. John Pombe Magufuli
Mtahangaika sana kipindi hiki lakini ndo hivyo keshaondoka na hatarudi milele. legacy
Acha uzwazwa we msukuma ,miradi yake una maana gani Sasa, unataka kutuambia alitoa fedha mfukoni kwake na kutupa hiyo miradi?

Kwa mawazo haya acha kabila lenu liendelee kuitwa washamba sana.

Nyongeza ni kwamba huyu jiwe amewaharibia pakubwa sana nyie akina ngosha ,hamtakuja pewa tena uongoz wa ngaz ya juu ,maana ushamba wenu wa kuwaonea wake zenu mnauleta had kwenye kuongoza nchi.

Yaan umekaa unalazimisha mtu aheshimike kinguvu ,tokea Lin heshima ikalazimishwa ? Mara mirad ya fulan as if alitoa hela mfukon
Acha uzwazwa we msukuma ,miradi yake una maana gani Sasa, unataka kutuambia alitoa fedha mfukoni kwake na kutupa hiyo miradi?

Kwa mawazo haya acha kabila lenu liendelee kuitwa washamba sana.

Nyongeza ni kwamba huyu jiwe amewaharibia pakubwa sana nyie akina ngosha ,hamtakuja pewa tena uongoz wa ngaz ya juu ,maana ushamba wenu wa kuwaonea wake zenu mnauleta had kwenye kuongoza nchi.

Yaan umekaa unalazimisha mtu aheshimike kinguvu ,tokea Lin heshima ikalazimishwa ? Mara mirad ya fulan as if alitoa hela mfukon mwake.
Acha uzwazwa we msukuma ,miradi yake una maana gani Sasa, unataka kutuambia alitoa fedha mfukoni kwake na kutupa hiyo miradi?

Kwa mawazo haya acha kabila lenu liendelee kuitwa washamba sana.

Nyongeza ni kwamba huyu jiwe amewaharibia pakubwa sana nyie akina ngosha ,hamtakuja pewa tena uongoz wa ngaz ya juu ,maana ushamba wenu wa kuwaonea wake zenu mnauleta had kwenye kuongoza nchi.

Yaan umekaa unalazimisha mtu aheshimike kinguvu ,tokea Lin heshima ikalazimishwa ? Mara mirad ya fulan as if alitoa hela mfukon mwake.
Una point ya msingi, ila 2025 watz tutafanya tathmini ya kipi kimefanyika. Ogopa sana mtu aliyeacha alama ya vitu.
 
Ni dhahiri kwamba JPM ameacha legacy kubwa ambayo haijawahi kufikiwa na kiongozi Tanzania. Sikatai kwamba JPM alikuwa na mapungufu.
Legacy aliyoaicha Magufuli imekuwa changamoto kwa viongozi waliyomtangulia lakini pia waliomfuatia. Waliomtangulia ni kama vile imekuwa fedheha kwao kwa maana matendo ya Magufuli yalifungua macho watanzania kwamba kumbe kuna viongozi hawakuwajibika ipasavyo.
Lakini kwa upande mwingine ni mtihani mgumu sana kwa viongozi waliopo sana kwa yaliyofanywa na JPM inahitajika kiongozi mwenye moyo wa uthubutu kuyaendeleza.
Watu wamejipima na kuona kwamba ni kazi sana. Na pengine watakuwa hawana credibility.
Kilichobaki sasa kuchafua legacy ili kuonyesha kuwa yaliyokuwa yakifanywa na magufuli ni upuuzi tu na haupaswi kuendelezwa.

Inanifikirisha sana kuona Prof anapinga mradi HEP? Eti umeme wa HEP utatuchelewesha. Taifa ili kuweza kuwa na uchumi wa viwanda lazima pawepo na umeme wa uhakika na nafuu. Uhakika wa umeme JNHP ni kwamba kutakuwa na bwawa kubwa ambalo litahakikisha kuwepo na maji ya kusukuma mitambo kwa muda wote ambapo mvua hazitakuwepo. Lakini unafuu wa umeme wa nguvu za maji ni kwamba hakuna nishati inayotumika zaidi ya maporomoko ya maji. Umeme unaotumia nishati kama gesi, petroleum, coal nk ni gharama kwa sababu kuu mbili mosi kwa ajili nishati husika ya kuendesha mitambo ya kufua umeme na pili mitambo kuhitaji matengenezo ya mara kwa kwa mara kutokana na joto. Kwa maana hiyo gharama huo umeme utakuwa juu tu.
Ajabu Professor mbobezi leo anataka tuamini kwa ujenzi wa mradi huo ni upuuzi.
Professor huyu huyu ni mojawapo wa walioshindwa kutuletea suluhisho la tatizo la umeme matokeo wakaishia kuliingiza taifa katika gharama kwa kuingia mikataba ya kitapeli.

Jambo jingine ni Bandari ya Bagamoyo, spika wa Bunge tunaona anataka kutuaminisha kuwa JPM hakushauriwa vizuri. Ndugai enzi za Magufuli aliwahi kukiri kwamba hakujua masharti ya mkataba huo. Sasa kama ameyajua kwa nini asiyeweke bayana? Tunajua umuhimu wa bandari ya Bagamoyo lakini hatuwezi kukubaliana na masharti yasiyo na manufaa kwa taifa letu. Ndugai kama mna hoja ya kutetea Bandari ya Bagamoyo mkataba uwekwe wazi. JPM alituambia masharti ya mkataba tukakubaliana naye kama ninyi mna mkataba wenye masharti tofauti na yaliyoainishwa na JPM uwekeni bayana. Vinginevyo Bandari Bagamoyo haipaswi kabisa kuongelewa.

Yapo mengi nitaendelea lakini kwa sasa naweka kituo.
Raha ya Wabongo tumejaliwa unafiki hasa wana siasa
 
CCM wanaweza kutoka madarakani kwa nguvu ya Umma hasa wakati huu ambao, wanajaribu kupindua meza. Ninyi ipindueni kama hamjui hasira za wananchi. Msijione mko madarakani hadi 2025.
Nasema navyouona upepo ulivyo kwa wananchi wa hali ya chini, itakuwa kama walivyovyamia pale uwanja wa ndege, wa Julius Nyerere.
Rais wangu Samia Suluhu, kuwa makini sana. Unaweza jikuta usimalizie hiyo miaka. Someni mioyo ya wananchi walio na hali ya chini. Na safari hii hakuna hatakae lazimishwa ingia barabarani. Hii yaweza tokea tu.
Mtakataa lakini ukweli haufichiki, Magufuli kaondoka ila ameeacha wafuasi wengi sana. Msemeni vibaya, kwa vijembe na kusanifu.
Ila mkicheza kidogo! Mtaamsha hasira za wananchi zilizo mioyoni mwao. Msidhani ni wajinga, wanawachora tu. Nyie tambeni!
Nasema kwa heruf kubwa hakuna mtanzania wa kuthubutu kuingia barabaran ,Kama unalitegemea hilo utachelewa sana tena sana ndugu yangu.

Kama unabisha tafuta wenzio hata elfu mbil ingien barabaran Kama hamjawafaidisha wauza majeneza kupata pesa za bure bure ,mtanzania gan atahimil lisasi na milio yake?

Alaf pale uwanja wa ndege walivamia ndio na kwasabab lile tukio lilikuwa na faida kwa upande wa serikal ndio maana hawakufanya kitu ,ile kisiasa tunasema ni kete nzur kwa waliopo madarakan ,Sasa siku jichanganye uingie barabaran et unapinga utawala la Rais samia ndipo utataman uwe Kama unaota vile .
 
Kuna mtu bungeni akiwa na akili zake timamu amebeza mradi wa kufua umeme wa maji Rufiji na kusema umepitwa na wakati?! Hawa ndio wale Hayati JPM aliwaita walevi waliochanganyikiwa, kama yuke Ndu gay anayetaka tukubali masharti ya mradicwa bagamoyo; yaani hadi mtu unajiukiza, huu ni uwendawazimu, utaahira au ni nini?
 
Wanao mchafua Mwanamageuzi JPM Wanatia huruma, wanajifariji kwamba JPM alikuwa hakubaliki. Utasikia mtu akimsifu JPM wanamwika msukuma, Mataga, .nyie vibaraka wa wazungu(Pro- european). Mamilioni wa TZ Tulimpenda Rais kwa kuwa ametufungua machao, na tunaisha Falsafa zake mf tunatembea mitaani bila ma barakoa,wala chanjy
 
Legacy aliyoacha Magufuli ni hii hapa:

1.Kuondoka duniani wakati hahitajiki.

2.Kuteka wapinzani wake kama akina Azory Gwanda.

3.Kutesa wapinzani wake kwa kuwaweka ndani kila siku.

4.Kuua wapinzani wake na wakosoaji wake kama akina Ben saanane na kuwapiga wapinzani wake risasi kama ilivyokuwa kwa Tindu Lissu.

5.Kuua uhuru wa vyombo vya habari.

6.Kuua uhuru wa kujieleza kwa wananchi kama vile kufungia mitandao ya kijamii kama twitter na kukamata wanaotumia mitandao mingine kumkosoa.

7.Kuiba kura kwa kutumia Polisi,jeshi,TISS pamoja na tume ya uchaguzi.

8.Kuua biashara za watu kupitia sera mbovu za uchumi.

9.Kudanganya katika takwimu za ukuaji wa uchumi wa nchi.

10.Kuweka mihimili yote mitatu mfukoni mwake,yaani mhimili wa urais,bunge na mahakama.

11.Kuua uchumi wa nchi kupitia sheria mbovu za uwekezaji.

12.Kuua watu kwa Corona kupitia leadership negligence.

13.Kuhakikisha kuwa akina Ben Saanane na Azory Gwanda walikipata cha mtema kuni.

14.Ukabila kwa kuhamishia rasilimali nyingi za nchi katika wilaya ya Chato na kujaza wasukuma serikalini.

15 Ukanda kwa kupeleka SGR mwanza wakati siyo economic viable zone.

16.Ubaguzi wa rangi kwa kuwakandia wanawake weusi.Imagine mtu anafanya ubaguzi wa rangi karne ya 21!Is this not insane?

17.Kugandamiza demokrasia kwa kukataza vyama vya upinzani kufanya siasa wakati CCM kufanya siasa ni ruksa.

18.Kunyanyasa malaika-watoto wa kike wasirudi shule wakipata mimba.

19.Ufisadi wa kutisha kwa kufanya miradi mikubwa bila budget kupita bungeni.

20.Wizi wa kutisha wa mali ya uma kupitia kampuni yake ya Mayanga constructions LTD.Mfano uwanja wa Chato umetengenezwa na kampuni hii bila tenda kuitwa.

21.Kubambikizia kesi za kuhujumu uchumi wapinzani wake nchi nzima na kuwatupa korokoroni bila dhamana.

22.Kugushi report ya CAG ya hasara za mabilion za ndege za ATCL na kuilazimisha ATCL watoe gawio fake kwa serekali.

23.Kupora utajiri halali na wa jasho wa matajiri wa Tanzania kwa kuwabambikizia kesi fake za kuhujumu uchumi na kuwalazimisha wakiri makosa ya uwongo kisha kuwafilisi mali zao.

24.Ufisadi na wizi wa kutisha kama ulivyoibuliwa na CAG mara baada ya dikteta kufa.
Washwa washwa, ruka ruka, ila JPM what he started, must be finished by 2025. Hizo point zako 24 ni useless.
 
Mtu mwenye akili fupi kama panya anapokosa hoja za kutetea hukimbilia kwenye ukabila.
Leta hoja siyo kupiga kelele kama mtetea anataka kutaga.


Dont Panic mzee we relaaaax😀

Hizo hoja mtahojiana na mataahira wenzio mlio loose hope 😀😀😀😀😀😀😀😀

Unataka uforce tufanane kwanza puumbavuu😀😀😀😀😀😀😀

Na usinifokee
 
Ni dhahiri kwamba JPM ameacha legacy kubwa ambayo haijawahi kufikiwa na kiongozi Tanzania. Sikatai kwamba JPM alikuwa na mapungufu.
Legacy aliyoaicha Magufuli imekuwa changamoto kwa viongozi waliyomtangulia lakini pia waliomfuatia. Waliomtangulia ni kama vile imekuwa fedheha kwao kwa maana matendo ya Magufuli yalifungua macho watanzania kwamba kumbe kuna viongozi hawakuwajibika ipasavyo.
Lakini kwa upande mwingine ni mtihani mgumu sana kwa viongozi waliopo sana kwa yaliyofanywa na JPM inahitajika kiongozi mwenye moyo wa uthubutu kuyaendeleza.
Watu wamejipima na kuona kwamba ni kazi sana. Na pengine watakuwa hawana credibility.
Kilichobaki sasa kuchafua legacy ili kuonyesha kuwa yaliyokuwa yakifanywa na magufuli ni upuuzi tu na haupaswi kuendelezwa.

Inanifikirisha sana kuona Prof anapinga mradi HEP? Eti umeme wa HEP utatuchelewesha. Taifa ili kuweza kuwa na uchumi wa viwanda lazima pawepo na umeme wa uhakika na nafuu. Uhakika wa umeme JNHP ni kwamba kutakuwa na bwawa kubwa ambalo litahakikisha kuwepo na maji ya kusukuma mitambo kwa muda wote ambapo mvua hazitakuwepo. Lakini unafuu wa umeme wa nguvu za maji ni kwamba hakuna nishati inayotumika zaidi ya maporomoko ya maji. Umeme unaotumia nishati kama gesi, petroleum, coal nk ni gharama kwa sababu kuu mbili mosi kwa ajili nishati husika ya kuendesha mitambo ya kufua umeme na pili mitambo kuhitaji matengenezo ya mara kwa kwa mara kutokana na joto. Kwa maana hiyo gharama huo umeme utakuwa juu tu.
Ajabu Professor mbobezi leo anataka tuamini kwa ujenzi wa mradi huo ni upuuzi.
Professor huyu huyu ni mojawapo wa walioshindwa kutuletea suluhisho la tatizo la umeme matokeo wakaishia kuliingiza taifa katika gharama kwa kuingia mikataba ya kitapeli.

Jambo jingine ni Bandari ya Bagamoyo, spika wa Bunge tunaona anataka kutuaminisha kuwa JPM hakushauriwa vizuri. Ndugai enzi za Magufuli aliwahi kukiri kwamba hakujua masharti ya mkataba huo. Sasa kama ameyajua kwa nini asiyeweke bayana? Tunajua umuhimu wa bandari ya Bagamoyo lakini hatuwezi kukubaliana na masharti yasiyo na manufaa kwa taifa letu. Ndugai kama mna hoja ya kutetea Bandari ya Bagamoyo mkataba uwekwe wazi. JPM alituambia masharti ya mkataba tukakubaliana naye kama ninyi mna mkataba wenye masharti tofauti na yaliyoainishwa na JPM uwekeni bayana. Vinginevyo Bandari Bagamoyo haipaswi kabisa kuongelewa.

Yapo mengi nitaendelea lakini kwa sasa naweka kituo.
Sijawahi kuipenda ccm ila sina sababu ya kumdhihaki wala kumponda Magufuli ametuonyesha mwanga mkubwa sana na ametufanya tuthaminike,Rest in peace mr president
 
Ni dhahiri kwamba JPM ameacha legacy kubwa ambayo haijawahi kufikiwa na kiongozi Tanzania. Sikatai kwamba JPM alikuwa na mapungufu.
Legacy aliyoaicha Magufuli imekuwa changamoto kwa viongozi waliyomtangulia lakini pia waliomfuatia. Waliomtangulia ni kama vile imekuwa fedheha kwao kwa maana matendo ya Magufuli yalifungua macho watanzania kwamba kumbe kuna viongozi hawakuwajibika ipasavyo.
Lakini kwa upande mwingine ni mtihani mgumu sana kwa viongozi waliopo sana kwa yaliyofanywa na JPM inahitajika kiongozi mwenye moyo wa uthubutu kuyaendeleza.
Watu wamejipima na kuona kwamba ni kazi sana. Na pengine watakuwa hawana credibility.
Kilichobaki sasa kuchafua legacy ili kuonyesha kuwa yaliyokuwa yakifanywa na magufuli ni upuuzi tu na haupaswi kuendelezwa.

Inanifikirisha sana kuona Prof anapinga mradi HEP? Eti umeme wa HEP utatuchelewesha. Taifa ili kuweza kuwa na uchumi wa viwanda lazima pawepo na umeme wa uhakika na nafuu. Uhakika wa umeme JNHP ni kwamba kutakuwa na bwawa kubwa ambalo litahakikisha kuwepo na maji ya kusukuma mitambo kwa muda wote ambapo mvua hazitakuwepo. Lakini unafuu wa umeme wa nguvu za maji ni kwamba hakuna nishati inayotumika zaidi ya maporomoko ya maji. Umeme unaotumia nishati kama gesi, petroleum, coal nk ni gharama kwa sababu kuu mbili mosi kwa ajili nishati husika ya kuendesha mitambo ya kufua umeme na pili mitambo kuhitaji matengenezo ya mara kwa kwa mara kutokana na joto. Kwa maana hiyo gharama huo umeme utakuwa juu tu.
Ajabu Professor mbobezi leo anataka tuamini kwa ujenzi wa mradi huo ni upuuzi.
Professor huyu huyu ni mojawapo wa walioshindwa kutuletea suluhisho la tatizo la umeme matokeo wakaishia kuliingiza taifa katika gharama kwa kuingia mikataba ya kitapeli.

Jambo jingine ni Bandari ya Bagamoyo, spika wa Bunge tunaona anataka kutuaminisha kuwa JPM hakushauriwa vizuri. Ndugai enzi za Magufuli aliwahi kukiri kwamba hakujua masharti ya mkataba huo. Sasa kama ameyajua kwa nini asiyeweke bayana? Tunajua umuhimu wa bandari ya Bagamoyo lakini hatuwezi kukubaliana na masharti yasiyo na manufaa kwa taifa letu. Ndugai kama mna hoja ya kutetea Bandari ya Bagamoyo mkataba uwekwe wazi. JPM alituambia masharti ya mkataba tukakubaliana naye kama ninyi mna mkataba wenye masharti tofauti na yaliyoainishwa na JPM uwekeni bayana. Vinginevyo Bandari Bagamoyo haipaswi kabisa kuongelewa.

Yapo mengi nitaendelea lakini kwa sasa naweka kituo.

It’s over there is no legacy or nini.
 
Una point ya msingi, ila 2025 watz tutafanya tathmini ya kipi kimefanyika. Ogopa sana mtu aliyeacha alama ya vitu.
Ukishafanya tathimin wewe ndie utaamua Rais awe Nan kati ya 2025 had 2030?
Kila siku tumekuwa tukiimba katiba mpya lakin mlikuwa mnabeza kisa baba yenu alishika usukani kibaya Zaid mkataka had kumuongezea muda wa ziada .

Sasa nasema hivi Rais samia haguswi kwa lolote lile na hakuna kima yoyote wa kumzuia akiamua hili ni ameamua maana ana kinga kubwa ndan ya serikal had kwenye chama chake .

Hata hao wabunge wa ccm walio weng hawakupita kihalal lakin jiwe aliwapitisha kwasabab alikuwa na maamlaka hayo .Sasa endelea kuota et 2025 tutafanya tathimin ,na ukishafanya utafanya nn kwa mfano.

Hii nchi itakuja kuwa sawa had pale katiba itakapobadirishwa na kupunguza meno kwa rais .

Mara ngapi jiwe alikuwa anafanya atakalo na hakwepo wa kuhoj Wala kupinga.dawa ya yote haya ni katiba imara bas tofaut na hapo utakuwa mwendo wa kulia lia tu kila siku ,na utakuwa mwendo wa kupokezana kuimba pambio Kama Sasa ambapo waimba pambia wa meko saiz mnalia huku waimba pambio wa samia wanacheka tu saiz
 
Washwa washwa, ruka ruka, ila JPM what he started, must be finished by 2025. Hizo point zako 24 ni useless.
Hakuna ulazima huo ,itafuatana na utashi wa samia akisema hafany utamfanya nn kwa mfano.

Rais Ana kinga ya ajabu sana na haguswi Wala kupingwa ,ukitaka kulijua Hilo siku jichanganye uende pale magogon na mabango ya kulazimisha huo uharo wako majibu utayapata vzr sana .

Katiba ,katiba ,katiba ndio muarobain wa yote haya ,kipind jiwe yupo madarakan hamkutaka kabisa habar za katiba ,kibaya Zaid mlitaka kuipindisha had iliyoopo kwa kutaka kuongeza muda wa ziada .

Kwa style ya meko ,samia nae akiamua anaweza kuongoza hii nchi had 2035 ,labda aamue yeye tu kukaa pemben maana uwezo anao sana tu
 
Ni dhahiri kwamba JPM ameacha legacy kubwa ambayo haijawahi kufikiwa na kiongozi Tanzania. Sikatai kwamba JPM alikuwa na mapungufu.
Legacy aliyoaicha Magufuli imekuwa changamoto kwa viongozi waliyomtangulia lakini pia waliomfuatia. Waliomtangulia ni kama vile imekuwa fedheha kwao kwa maana matendo ya Magufuli yalifungua macho watanzania kwamba kumbe kuna viongozi hawakuwajibika ipasavyo.
Lakini kwa upande mwingine ni mtihani mgumu sana kwa viongozi waliopo sana kwa yaliyofanywa na JPM inahitajika kiongozi mwenye moyo wa uthubutu kuyaendeleza.
Watu wamejipima na kuona kwamba ni kazi sana. Na pengine watakuwa hawana credibility.
Kilichobaki sasa kuchafua legacy ili kuonyesha kuwa yaliyokuwa yakifanywa na magufuli ni upuuzi tu na haupaswi kuendelezwa.

Inanifikirisha sana kuona Prof anapinga mradi HEP? Eti umeme wa HEP utatuchelewesha. Taifa ili kuweza kuwa na uchumi wa viwanda lazima pawepo na umeme wa uhakika na nafuu. Uhakika wa umeme JNHP ni kwamba kutakuwa na bwawa kubwa ambalo litahakikisha kuwepo na maji ya kusukuma mitambo kwa muda wote ambapo mvua hazitakuwepo. Lakini unafuu wa umeme wa nguvu za maji ni kwamba hakuna nishati inayotumika zaidi ya maporomoko ya maji. Umeme unaotumia nishati kama gesi, petroleum, coal nk ni gharama kwa sababu kuu mbili mosi kwa ajili nishati husika ya kuendesha mitambo ya kufua umeme na pili mitambo kuhitaji matengenezo ya mara kwa kwa mara kutokana na joto. Kwa maana hiyo gharama huo umeme utakuwa juu tu.
Ajabu Professor mbobezi leo anataka tuamini kwa ujenzi wa mradi huo ni upuuzi.
Professor huyu huyu ni mojawapo wa walioshindwa kutuletea suluhisho la tatizo la umeme matokeo wakaishia kuliingiza taifa katika gharama kwa kuingia mikataba ya kitapeli.

Jambo jingine ni Bandari ya Bagamoyo, spika wa Bunge tunaona anataka kutuaminisha kuwa JPM hakushauriwa vizuri. Ndugai enzi za Magufuli aliwahi kukiri kwamba hakujua masharti ya mkataba huo. Sasa kama ameyajua kwa nini asiyeweke bayana? Tunajua umuhimu wa bandari ya Bagamoyo lakini hatuwezi kukubaliana na masharti yasiyo na manufaa kwa taifa letu. Ndugai kama mna hoja ya kutetea Bandari ya Bagamoyo mkataba uwekwe wazi. JPM alituambia masharti ya mkataba tukakubaliana naye kama ninyi mna mkataba wenye masharti tofauti na yaliyoainishwa na JPM uwekeni bayana. Vinginevyo Bandari Bagamoyo haipaswi kabisa kuongelewa.

Yapo mengi nitaendelea lakini kwa sasa naweka kituo.
Well said bro. African tunafail kwenye output. Tunakalia kwenye siasa
Na maneno mengi ila output ni zero. Our hero JPM alikuwa ni mzee wa output. No matter njia alizozitumia zikoje ila output tumeiona. Sasa kaacha tangible things ambazo kuzipinga ni ujinga mkubwa sana. Ole wao wenye madaraka wasiziendeleze, watakuwa wamejichimbia kaburi.
 
Hakuna ulazima huo ,itafuatana na utashi wa samia akisema hafany utamfanya nn kwa mfano.

Rais Ana kinga ya ajabu sana na haguswi Wala kupingwa ,ukitaka kulijua Hilo siku jichanganye uende pale magogon na mabango ya kulazimisha huo uharo wako majibu utayapata vzr sana .

Katiba ,katiba ,katiba ndio muarobain wa yote haya ,kipind jiwe yupo madarakan hamkutaka kabisa habar za katiba ,kibaya Zaid mlitaka kuipindisha had iliyoopo kwa kutaka kuongeza muda wa ziada .

Kwa style ya meko ,samia nae akiamua anaweza kuongoza hii nchi had 2035 ,labda aamue yeye tu kukaa pemben maana uwezo anao sana tu
Hakuna ulazima huo ,itafuatana na utashi wa samia akisema hafany utamfanya nn kwa mfano.

Rais Ana kinga ya ajabu sana na haguswi Wala kupingwa ,ukitaka kulijua Hilo siku jichanganye uende pale magogon na mabango ya kulazimisha huo uharo wako majibu utayapata vzr sana .

Katiba ,katiba ,katiba ndio muarobain wa yote haya ,kipind jiwe yupo madarakan hamkutaka kabisa habar za katiba ,kibaya Zaid mlitaka kuipindisha had iliyoopo kwa kutaka kuongeza muda wa ziada .

Kwa style ya meko ,samia nae akiamua anaweza kuongoza hii nchi had 2035 ,labda aamue yeye tu kukaa pemben maana uwezo anao sana tu
Tatizo lenu nyie mnaolia lia lia na katiba, mnalinganisha nchi zetu na nchi za magharibi. Unadhani ukiwa na katiba kama ya USA ndo nchi itatoboa. Sio kweli hata kidogo, tunaona mataifa kama Russia, China bado yako imara na yanaendelea kwa kasi. Democracy imetengenezwa kwa ajili ya kugawana ulaji wa raslimali za nchi, ila haina nia ya dhati ya kuendeleza taifa. Africa tunaitaji kiongozi mwenye nia ya dhati na maendeleo yetu. Kubali ukatae Kumpata kiongozi kama JPM siyo rahisi hata kidogo. Na hii huwezi kuiona kwa sasa mpaka muda flani upite ndo utakuja realize. Kwa sasa utanipinga, ila nakupa miaka 4 tuu. Katiba iliyopo inatosha kabisa.
 
Tundu Lissu, Lema na Chadema kwa ujumla mkitaka kuuwa legacy ya hayati rais Magufuli kwa watanzania itabidi ufanye yafuatayo.

Unapokula kichwa mradi wa umeme kutoka bwawa la Nyerere ambao umefikia 50% itabidi watuambie umeme tutatoa wapi?.

Unapokula kichwa serikali kuhamia Dodoma na kusema ni hasara itabidi wajieleze.

Unapokula kichwa reli ya kisasa ambayo inakaribia Makutupora itabidi wajieleze kwa watanzania hiyo Tanzania ya viwanda itawexekana vipi.

Unapokula kichwa ujenzi wa meli mpya kwenye maziwa makuu itabidi watueleze watatusafirisha na nini?

Wanapokula kichwa ndege zetu itabidi tuwawekee video za kina Heche ,Lema,Lisu wakitukana serikali iliyoshindwa kununua ndege

Watakaposema wachimbaji wadogo, bodaboda na mama ntilie wafukuzwe itabidi watueleze wanafanya haya kwa faida ya nani?

Watakapoamua zahanati na hospitali zote zilizojengwa na Magufuli zifungwe ,itabidi watueleze tutaenda kutibiwa wapi?

Watakaposema wamefuta elimu bure itabidi watueleze kodi zetu zinafanya kazi gani?

Watakaposema lazima watanzania millioni 60 wachanjwe, itabidi watueleze wao mpaka sasa
hawajachanjwa
Nyungu hawajapiga,
Hawajajifungia ndani wanaenda kazini kila siku
Mbona hawajafa na corona sasa?

Watakaohoji haya maelezo siyo Magufuli wala watoto wa Magufuli ni watanzania.

Anayedhani itakuwa rahisi kuuwa legacy ya Magufuli atakutana na nguvu ya uma.

Muda utaongea .
pole siku 21 tushasahahau kama jiwe alikuwa anatuongoza
 
Nasema kwa heruf kubwa hakuna mtanzania wa kuthubutu kuingia barabaran ,Kama unalitegemea hilo utachelewa sana tena sana ndugu yangu.

Kama unabisha tafuta wenzio hata elfu mbil ingien barabaran Kama hamjawafaidisha wauza majeneza kupata pesa za bure bure ,mtanzania gan atahimil lisasi na milio yake?

Alaf pale uwanja wa ndege walivamia ndio na kwasabab lile tukio lilikuwa na faida kwa upande wa serikal ndio maana hawakufanya kitu ,ile kisiasa tunasema ni kete nzur kwa waliopo madarakan ,Sasa siku jichanganye uingie barabaran et unapinga utawala la Rais samia ndipo utataman uwe Kama unaota vile .
Sijasema napinga utawala. Soma between the lines. uelewe. Nawala sijasema nimepanga kuandamana. Narudia pale mnyonge anapokoswa haki, na anapofikia kuchoka. Ni kwamba kakata tamaa. Lolote na liwe. Hivyo sijaongelea kuitisha watu. Ni automatic action!
 
Back
Top Bottom