Kumbukumbu (Legacy) ya Dkt. John Pombe Magufuli
Tundu Lissu, Lema na Chadema kwa ujumla mkitaka kuuwa legacy ya hayati rais Magufuli kwa watanzania itabidi ufanye yafuatayo.

Unapokula kichwa mradi wa umeme kutoka bwawa la Nyerere ambao umefikia 50% itabidi watuambie umeme tutatoa wapi?.

Unapokula kichwa serikali kuhamia Dodoma na kusema ni hasara itabidi wajieleze.

Unapokula kichwa reli ya kisasa ambayo inakaribia Makutupora itabidi wajieleze kwa watanzania hiyo Tanzania ya viwanda itawexekana vipi.

Unapokula kichwa ujenzi wa meli mpya kwenye maziwa makuu itabidi watueleze watatusafirisha na nini?

Wanapokula kichwa ndege zetu itabidi tuwawekee video za kina Heche ,Lema,Lisu wakitukana serikali iliyoshindwa kununua ndege

Watakaposema wachimbaji wadogo, bodaboda na mama ntilie wafukuzwe itabidi watueleze wanafanya haya kwa faida ya nani?

Watakapoamua zahanati na hospitali zote zilizojengwa na Magufuli zifungwe ,itabidi watueleze tutaenda kutibiwa wapi?

Watakaposema wamefuta elimu bure itabidi watueleze kodi zetu zinafanya kazi gani?

Watakaposema lazima watanzania millioni 60 wachanjwe, itabidi watueleze wao mpaka sasa
hawajachanjwa
Nyungu hawajapiga,
Hawajajifungia ndani wanaenda kazini kila siku
Mbona hawajafa na corona sasa?

Watakaohoji haya maelezo siyo Magufuli wala watoto wa Magufuli ni watanzania.

Anayedhani itakuwa rahisi kuuwa legacy ya Magufuli atakutana na nguvu ya uma.

Muda utaongea .
Hao uliowataja kwani wako bungeni?mbona hata Ndugai anapinga hiyo yote sasa hivi?
 
MKUU,
HAWA WANAFIKI WATAUMBUKA TU, TIME WILL TELL. WATU TUNAJIULIZA, KWENYE OFISI YA MAKAMU WA RAISI KULIKUWA 100% free from yanayoongelewa? Ndo utajua unafiki wa hii report na watu waliomo nyuma yake.
Makamu wa Rais has no say to one man army
 
Ni dhahiri kwamba JPM ameacha legacy kubwa ambayo haijawahi kufikiwa na kiongozi Tanzania. Sikatai kwamba JPM alikuwa na mapungufu.
Legacy aliyoaicha Magufuli imekuwa changamoto kwa viongozi waliyomtangulia lakini pia waliomfuatia. Waliomtangulia ni kama vile imekuwa fedheha kwao kwa maana matendo ya Magufuli yalifungua macho watanzania kwamba kumbe kuna viongozi hawakuwajibika ipasavyo.
Lakini kwa upande mwingine ni mtihani mgumu sana kwa viongozi waliopo sana kwa yaliyofanywa na JPM inahitajika kiongozi mwenye moyo wa uthubutu kuyaendeleza.
Watu wamejipima na kuona kwamba ni kazi sana. Na pengine watakuwa hawana credibility.
Kilichobaki sasa kuchafua legacy ili kuonyesha kuwa yaliyokuwa yakifanywa na magufuli ni upuuzi tu na haupaswi kuendelezwa.

Inanifikirisha sana kuona Prof anapinga mradi HEP? Eti umeme wa HEP utatuchelewesha. Taifa ili kuweza kuwa na uchumi wa viwanda lazima pawepo na umeme wa uhakika na nafuu. Uhakika wa umeme JNHP ni kwamba kutakuwa na bwawa kubwa ambalo litahakikisha kuwepo na maji ya kusukuma mitambo kwa muda wote ambapo mvua hazitakuwepo. Lakini unafuu wa umeme wa nguvu za maji ni kwamba hakuna nishati inayotumika zaidi ya maporomoko ya maji. Umeme unaotumia nishati kama gesi, petroleum, coal nk ni gharama kwa sababu kuu mbili mosi kwa ajili nishati husika ya kuendesha mitambo ya kufua umeme na pili mitambo kuhitaji matengenezo ya mara kwa kwa mara kutokana na joto. Kwa maana hiyo gharama huo umeme utakuwa juu tu.
Ajabu Professor mbobezi leo anataka tuamini kwa ujenzi wa mradi huo ni upuuzi.
Professor huyu huyu ni mojawapo wa walioshindwa kutuletea suluhisho la tatizo la umeme matokeo wakaishia kuliingiza taifa katika gharama kwa kuingia mikataba ya kitapeli.

Jambo jingine ni Bandari ya Bagamoyo, spika wa Bunge tunaona anataka kutuaminisha kuwa JPM hakushauriwa vizuri. Ndugai enzi za Magufuli aliwahi kukiri kwamba hakujua masharti ya mkataba huo. Sasa kama ameyajua kwa nini asiyeweke bayana? Tunajua umuhimu wa bandari ya Bagamoyo lakini hatuwezi kukubaliana na masharti yasiyo na manufaa kwa taifa letu. Ndugai kama mna hoja ya kutetea Bandari ya Bagamoyo mkataba uwekwe wazi. JPM alituambia masharti ya mkataba tukakubaliana naye kama ninyi mna mkataba wenye masharti tofauti na yaliyoainishwa na JPM uwekeni bayana. Vinginevyo Bandari Bagamoyo haipaswi kabisa kuongelewa.

Yapo mengi nitaendelea lakini kwa sasa naweka kituo.
CORONA BABA LAO.......
 
Hii ina viongozi wa hovyo kweli. Eti mtu spika kabisa anasimama bungeni anasema ni mda sasa wa kuendeleza mradi wa bagamoyo. Kisa keshapewa rushwa na anajua ndio mda wake wa mwisho so keshapata kiinua mgongo kwa wachina. Hawa viongozi wanadhani hii tanzania bado ya wajinga tu
 
Acheni kupanic nyie wasukuma!!!!

Zama zenu zimezikwa TOCHa.

Saiv fungeni bakuli zenu na kutulia.
.Tumeelewanaaaa!!!!?

😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Daaaah raha sana aiseee😀😀😀
 
Unajua maana ya Legacy? Legacy ya ukweli iliyoachwa kamwe haifutiki kwa maneno. Ndiyo maana hapa duniani kuna watu wamefanya mambo makubwa 100 yrs ago lakini bado wanakumbukwa leo. Mzee Mwinyi ana usemi wake kwamba maisha ya mwanadamu hapa duniani ni hadithi, hivyo ni vyema mwanadamu hapa duniani ukawa na hadithi nzuri ili uweze kukumbukwa.
 
Ni dhahiri kwamba JPM ameacha legacy kubwa ambayo haijawahi kufikiwa na kiongozi Tanzania. Sikatai kwamba JPM alikuwa na mapungufu.
Legacy aliyoaicha Magufuli imekuwa changamoto kwa viongozi waliyomtangulia lakini pia waliomfuatia. Waliomtangulia ni kama vile imekuwa fedheha kwao kwa maana matendo ya Magufuli yalifungua macho watanzania kwamba kumbe kuna viongozi hawakuwajibika ipasavyo.
Lakini kwa upande mwingine ni mtihani mgumu sana kwa viongozi waliopo sana kwa yaliyofanywa na JPM inahitajika kiongozi mwenye moyo wa uthubutu kuyaendeleza.
Watu wamejipima na kuona kwamba ni kazi sana. Na pengine watakuwa hawana credibility.
Kilichobaki sasa kuchafua legacy ili kuonyesha kuwa yaliyokuwa yakifanywa na magufuli ni upuuzi tu na haupaswi kuendelezwa.

Inanifikirisha sana kuona Prof anapinga mradi HEP? Eti umeme wa HEP utatuchelewesha. Taifa ili kuweza kuwa na uchumi wa viwanda lazima pawepo na umeme wa uhakika na nafuu. Uhakika wa umeme JNHP ni kwamba kutakuwa na bwawa kubwa ambalo litahakikisha kuwepo na maji ya kusukuma mitambo kwa muda wote ambapo mvua hazitakuwepo. Lakini unafuu wa umeme wa nguvu za maji ni kwamba hakuna nishati inayotumika zaidi ya maporomoko ya maji. Umeme unaotumia nishati kama gesi, petroleum, coal nk ni gharama kwa sababu kuu mbili mosi kwa ajili nishati husika ya kuendesha mitambo ya kufua umeme na pili mitambo kuhitaji matengenezo ya mara kwa kwa mara kutokana na joto. Kwa maana hiyo gharama huo umeme utakuwa juu tu.
Ajabu Professor mbobezi leo anataka tuamini kwa ujenzi wa mradi huo ni upuuzi.
Professor huyu huyu ni mojawapo wa walioshindwa kutuletea suluhisho la tatizo la umeme matokeo wakaishia kuliingiza taifa katika gharama kwa kuingia mikataba ya kitapeli.

Jambo jingine ni Bandari ya Bagamoyo, spika wa Bunge tunaona anataka kutuaminisha kuwa JPM hakushauriwa vizuri. Ndugai enzi za Magufuli aliwahi kukiri kwamba hakujua masharti ya mkataba huo. Sasa kama ameyajua kwa nini asiyeweke bayana? Tunajua umuhimu wa bandari ya Bagamoyo lakini hatuwezi kukubaliana na masharti yasiyo na manufaa kwa taifa letu. Ndugai kama mna hoja ya kutetea Bandari ya Bagamoyo mkataba uwekwe wazi. JPM alituambia masharti ya mkataba tukakubaliana naye kama ninyi mna mkataba wenye masharti tofauti na yaliyoainishwa na JPM uwekeni bayana. Vinginevyo Bandari Bagamoyo haipaswi kabisa kuongelewa.

Yapo mengi nitaendelea lakini kwa sasa naweka kituo.
Kwa kweli.........
 
Acheni kupanic nyie wasukuma!!!!

Zama zenu zimezikwa TOCHa.

Saiv fungeni bakuli zenu na kutulia.
.Tumeelewanaaaa!!!!?

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Daaaah raha sana aiseee[emoji3][emoji3][emoji3]
Mtu mwenye akili fupi kama panya anapokosa hoja za kutetea hukimbilia kwenye ukabila.
Leta hoja siyo kupiga kelele kama mtetea anataka kutaga.
 
Alishawahi kusema tangu zamani mlimbishia tatizo mnakuja Juz tuu JF
 
Ni dhahiri kwamba JPM ameacha legacy kubwa ambayo haijawahi kufikiwa na kiongozi Tanzania. Sikatai kwamba JPM alikuwa na mapungufu.
Legacy aliyoaicha Magufuli imekuwa changamoto kwa viongozi waliyomtangulia lakini pia waliomfuatia. Waliomtangulia ni kama vile imekuwa fedheha kwao kwa maana matendo ya Magufuli yalifungua macho watanzania kwamba kumbe kuna viongozi hawakuwajibika ipasavyo.
Lakini kwa upande mwingine ni mtihani mgumu sana kwa viongozi waliopo sana kwa yaliyofanywa na JPM inahitajika kiongozi mwenye moyo wa uthubutu kuyaendeleza.
Watu wamejipima na kuona kwamba ni kazi sana. Na pengine watakuwa hawana credibility.
Kilichobaki sasa kuchafua legacy ili kuonyesha kuwa yaliyokuwa yakifanywa na magufuli ni upuuzi tu na haupaswi kuendelezwa.

Inanifikirisha sana kuona Prof anapinga mradi HEP? Eti umeme wa HEP utatuchelewesha. Taifa ili kuweza kuwa na uchumi wa viwanda lazima pawepo na umeme wa uhakika na nafuu. Uhakika wa umeme JNHP ni kwamba kutakuwa na bwawa kubwa ambalo litahakikisha kuwepo na maji ya kusukuma mitambo kwa muda wote ambapo mvua hazitakuwepo. Lakini unafuu wa umeme wa nguvu za maji ni kwamba hakuna nishati inayotumika zaidi ya maporomoko ya maji. Umeme unaotumia nishati kama gesi, petroleum, coal nk ni gharama kwa sababu kuu mbili mosi kwa ajili nishati husika ya kuendesha mitambo ya kufua umeme na pili mitambo kuhitaji matengenezo ya mara kwa kwa mara kutokana na joto. Kwa maana hiyo gharama huo umeme utakuwa juu tu.
Ajabu Professor mbobezi leo anataka tuamini kwa ujenzi wa mradi huo ni upuuzi.
Professor huyu huyu ni mojawapo wa walioshindwa kutuletea suluhisho la tatizo la umeme matokeo wakaishia kuliingiza taifa katika gharama kwa kuingia mikataba ya kitapeli.

Jambo jingine ni Bandari ya Bagamoyo, spika wa Bunge tunaona anataka kutuaminisha kuwa JPM hakushauriwa vizuri. Ndugai enzi za Magufuli aliwahi kukiri kwamba hakujua masharti ya mkataba huo. Sasa kama ameyajua kwa nini asiyeweke bayana? Tunajua umuhimu wa bandari ya Bagamoyo lakini hatuwezi kukubaliana na masharti yasiyo na manufaa kwa taifa letu. Ndugai kama mna hoja ya kutetea Bandari ya Bagamoyo mkataba uwekwe wazi. JPM alituambia masharti ya mkataba tukakubaliana naye kama ninyi mna mkataba wenye masharti tofauti na yaliyoainishwa na JPM uwekeni bayana. Vinginevyo Bandari Bagamoyo haipaswi kabisa kuongelewa.

Yapo mengi nitaendelea lakini kwa sasa naweka kituo.
Well said kaka.. This image ya mzee watu wanaojaribu kui print tofauti na ile tunayoijua ni ngumu sana kuamini maana ukiangalia miaka mitano tulioshi na Jiwe unaona kabisa ni mtu anejali na kuipenda nchi yake, anapinga na kukasirishwa sana maswala ya uzembe na ubadhirifu then then again kuna hii report ya CAG ambayo inachanganya sana
 
CCM wanaweza kutoka madarakani kwa nguvu ya Umma hasa wakati huu ambao, wanajaribu kupindua meza. Ninyi ipindueni kama hamjui hasira za wananchi. Msijione mko madarakani hadi 2025.
Nasema navyouona upepo ulivyo kwa wananchi wa hali ya chini, itakuwa kama walivyovyamia pale uwanja wa ndege, wa Julius Nyerere.
Rais wangu Samia Suluhu, kuwa makini sana. Unaweza jikuta usimalizie hiyo miaka. Someni mioyo ya wananchi walio na hali ya chini. Na safari hii hakuna hatakae lazimishwa ingia barabarani. Hii yaweza tokea tu.
Mtakataa lakini ukweli haufichiki, Magufuli kaondoka ila ameeacha wafuasi wengi sana. Msemeni vibaya, kwa vijembe na kusanifu.
Ila mkicheza kidogo! Mtaamsha hasira za wananchi zilizo mioyoni mwao. Msidhani ni wajinga, wanawachora tu. Nyie tambeni!
 
Wanao ua legacy ya JPM waache waruke ruke, waongee meeengi. Ila sisi tuta judge output yao. Miaka 4 siyo mingi, ni kesho tuu inausha. Nawaomba wote ambao mna damu ya uzarendo na mnakubaliana na mambo aliyo yafanya Jemedari wetu JPM, kaeni kimya, wala msibishane maana benchmark iliyopo inatosha kwa kuwapima.
 
Hayo yote yanaweza kuliwa kichwa bila hata hata kujieleza kwa sababu Alipokuwa anaunua ndege kwa cash bila idhini ya bunge hakujieleza , alipojenga Bwawa la Umeme bila feasibility study na Tathmini ya mazinga hakujieleza, alipojenga uwanja wa ndege Chato hakujieleza. Zaidi sana alisema yeye ukimshauri ndio unaharibu kabisa.
Haya ni maneno tuu, sisi tunaangalia output . Kelele zenu hazitanunua ndege, hazitajenga SGR, hazitalipa mishahara wala kufua Umeme. Na mda mnao mdogo sana kukamilisha hayo.
 
Hivi unajua hakuna aliyeijenga nchi hii kama mjerumani.legacy yake iko wapi
Hivi unajua kaburu alivyoijenga south afrika au hujui
Hayo madude yamejengw kwa damu na machozi ya watanzania
Baya moja hufuta mazuri 100
Kaka 2025 ni kama kesho. JPM kaacha benchmark, ole wao wasimalize hizo projects alizoanzisha.
 
Well said kaka.. This image ya mzee watu wanaojaribu kui print tofauti na ile tunayoijua ni ngumu sana kuamini maana ukiangalia miaka mitano tulioshi na Jiwe unaona kabisa ni mtu anejali na kuipenda nchi yake, anapinga na kukasirishwa sana maswala ya uzembe na ubadhirifu then then again kuna hii report ya CAG ambayo inachanganya sana
Hiyo ripoti imesukwa ila kujichanganya tutawavua nguo mpaka watakuwa hawatoki hata kuhutuhubia wasituone tumekaa kimya wakadhani sisi wajinga.
Upuuzi mtupu kutuambia kwamba HEP haina msaada.
SGR ni hasara, ATCL ni hasara...
 
"NAAAM....!

Miradi yake mingine inaleta foleni na mingine hasara? Ni rahisi tu, kwa nini tuendelee na Ma-foleni na Ma-hasara? ...Nashauri Vunjeni Madaraja na Flyovers zote, Ng'oeni reli zote especilly SGR, uzeni Ndege zote na vivuko vyote nchini, Uza Meli zote Mpya zilizozinduliwa, kule Ziwa nyasa, simamisheni Ujenzi wa Bwawa la umeme, Gaweni Migodi yote, Binafsisheni Milima, Maziwa na Mbuga.

Bomoa Bandari zote zilizoboreshwa ikiwemo Mtwara, Tanga na Dar, Jengeni moja ya Wachina kwa mkataba wa miaka 100...rudisheni Ada shuleni tukuze uchumi, Wapeni Matajiri Exemptions za kodi, Ruhusuni Makinikia kwenda nje, Vunjeni Masoko mapya ya Madini mikoani, ...Charaza Bakora Machinga mjini, Mwaga wali wa Mama Ntilie.

Vunja vyama vya wakulima na utaratibu wa stakabadhi ghalani, Ruhusuni Uhuru wa Mashoga, Mateja kwa wingi mtaani, madawa ya kulevya n.k....pia Msisahau kuifunga ile Mahakama ya Mafisadi,....kwa uchache tu Hakika hapo sasa pengine Tanzania itakuwa kama ULAYA, Tanzania ya Asali na Maziwa!.

Vunjeni makao makuu Dodoma mrudishe serikali Dar.

Hapo sasa mtakuwa mmemkomoa Magufuli na watoto wake watashinda njaa ili anyooke kabisa.



Nawasilisha
Acha uzwazwa we msukuma ,miradi yake una maana gani Sasa, unataka kutuambia alitoa fedha mfukoni kwake na kutupa hiyo miradi?

Kwa mawazo haya acha kabila lenu liendelee kuitwa washamba sana.

Nyongeza ni kwamba huyu jiwe amewaharibia pakubwa sana nyie akina ngosha ,hamtakuja pewa tena uongoz wa ngaz ya juu ,maana ushamba wenu wa kuwaonea wake zenu mnauleta had kwenye kuongoza nchi.

Yaan umekaa unalazimisha mtu aheshimike kinguvu ,tokea Lin heshima ikalazimishwa ? Mara mirad ya fulan as if alitoa hela mfukon mwake.
 
Back
Top Bottom