Kuhamia Dodoma yalikuwa ni maamuzi ya mwaka 1973 ...je hoja zile,zilikuwa valid kwa mwaka 2017!Matendo yake yapo hai kupitia maendeleo aliyotuletea!! Achana na mengine mengi hilo la kuhamishia makao makuu Dodoma lililokuwa limeshindikana miaka nenda rudi linatosha kudhihirisha ushujaa na uzalendo wa hayati Magufuli!!
LegacyKiroho au?
Upi Mkuu,tuweke wazi.Mkuu, kuna mchezo mpya unachezwa. Mimi nimeuona kama ambavyo niliuona wa JPM kabla haujatokea. Huu wa sasa unaweza kuwa mbaya zaidi.
Achana na maovu yake,tuzungumzie upande wa mema.Tumtetee jpm Alie tutukana mbili Mara tatu kutwa?
Tumtetee jpm Alie ua ndugu zetu bila huruma kwa kiwatupa kwenye viroba na kuwatumia watu wasio julikana?
Tumtetee mtu ambae baada ya kutuma washenzi wakamuue lisu walimimina risasi 38, akamnyima fedha za matibabu stahili ya mbunge, akakataza watu wasiemde kumwona hospitali na hata tulipo taka kukusanyika kumwombea Lissu akakataza na hata tulipo vaa tshert za pray for Lissu akatukamata???
Tumwombee mtu Alie nyima maslahi ya wafanyakazi?
Tumwombee Alie bomoa nyumba dar na za Mwanza zilizo kua katika mpango huo akasema waziache kwa kuwa ni wapiga kura wake??
Magufuli alikua ni shetani anae tembea,
Mwizi Alie jifucha katika kichaka Cha uzalendo.
Tunamshukuru Mungu kutuondolea kansa hii Kama taifa.
KWENDA ZAKO MAGUFULI, HATUKUPENDI.
Lissu alishasema mapema tulipata Rais wa ajabu kuwahi kutokea watu hawakumuelewaMkuu,Huyu bwana alikuwa worst leader kwa sababu ya mfumo wetu.Je mfumo umebadilika kama bado ni ule ule jua kwamba bado unaimbishwa
Mkuu, Mimi narudia tena!! Kuna mchezo mpya unapikwa. Tusikubali iwe ni RAHISI kwa nchi yetu kuyumbishwa na watu kwa matakwa yao. Natamani Mgome ili tuwekewe mifumo imara. Hii michezo hii tunachezewa sio kabisa.
Magufuli alikuwa mchafu kwa sababu mfumo wetu uliruhusu awe mchafu. Mfumo bado upo na uchafu bado unaendelezwa. Shtukeni.
Mkuu, CAG kafanya kazi yake, Swali ni Je amefanya kwa weledi? Je amelenga kweli kuiendeleza nchi au kuendeleza mfumo. Jaribu kufikiria tu iwapo JPM angekuepo ingesomwa ripoti gani? Ninachotaka mjue ni hiki. Inukeni mdai mabadiliko ya Mfumo badala ya kushangilia kama kuku waliokatwa vichwa. Mimi nawaambia tena bila mifumo imara tutachezewa sana
Una haki ya kueleza hisia zako kwa yale yanayoendelea, lakini hoja kama zako hizi zitaleta maumivu kwako na watu mfano wako kwa kuwa upepo umeshageuka, la msingi jitayarishe kisaikolojia ili uwendo na upepo uliyopo, mzee wetu ameshatangulia na kuna mambo mengi tu mazuri alithubutu kuyatenda lakini inaonyesha kuna vitu vya msingi alivipuuzia ndivyo hivyo vinavyopoteza ile jitihada yake katika utendaji wake wa kazi.Ni dhahiri kwamba JPM ameacha legacy kubwa ambayo haijawahi kufikiwa na kiongozi Tanzania. Sikatai kwamba JPM alikuwa na mapungufu.
Legacy aliyoaicha Magufuli imekuwa changamoto kwa viongozi waliyomtangulia lakini pia waliomfuatia. Waliomtangulia ni kama vile imekuwa fedheha kwao kwa maana matendo ya Magufuli yalifungua macho watanzania kwamba kumbe kuna viongozi hawakuwajibika ipasavyo.
Lakini kwa upande mwingine ni mtihani mgumu sana kwa viongozi waliopo sana kwa yaliyofanywa na JPM inahitajika kiongozi mwenye moyo wa uthubutu kuyaendeleza.
Watu wamejipima na kuona kwamba ni kazi sana. Na pengine watakuwa hawana credibility.
Kilichobaki sasa kuchafua legacy ili kuonyesha kuwa yaliyokuwa yakifanywa na magufuli ni upuuzi tu na haupaswi kuendelezwa.
Inanifikirisha sana kuona Prof anapinga mradi HEP? Eti umeme wa HEP utatuchelewesha. Taifa ili kuweza kuwa na uchumi wa viwanda lazima pawepo na umeme wa uhakika na nafuu. Uhakika wa umeme JNHP ni kwamba kutakuwa na bwawa kubwa ambalo litahakikisha kuwepo na maji ya kusukuma mitambo kwa muda wote ambapo mvua hazitakuwepo. Lakini unafuu wa umeme wa nguvu za maji ni kwamba hakuna nishati inayotumika zaidi ya maporomoko ya maji. Umeme unaotumia nishati kama gesi, petroleum, coal nk ni gharama kwa sababu kuu mbili mosi kwa ajili nishati husika ya kuendesha mitambo ya kufua umeme na pili mitambo kuhitaji matengenezo ya mara kwa kwa mara kutokana na joto. Kwa maana hiyo gharama huo umeme utakuwa juu tu.
Ajabu Professor mbobezi leo anataka tuamini kwa ujenzi wa mradi huo ni upuuzi.
Professor huyu huyu ni mojawapo wa walioshindwa kutuletea suluhisho la tatizo la umeme matokeo wakaishia kuliingiza taifa katika gharama kwa kuingia mikataba ya kitapeli.
Jambo jingine ni Bandari ya Bagamoyo, spika wa Bunge tunaona anataka kutuaminisha kuwa JPM hakushauriwa vizuri. Ndugai enzi za Magufuli aliwahi kukiri kwamba hakujua masharti ya mkataba huo. Sasa kama ameyajua kwa nini asiyeweke bayana? Tunajua umuhimu wa bandari ya Bagamoyo lakini hatuwezi kukubaliana na masharti yasiyo na manufaa kwa taifa letu. Ndugai kama mna hoja ya kutetea Bandari ya Bagamoyo mkataba uwekwe wazi. JPM alituambia masharti ya mkataba tukakubaliana naye kama ninyi mna mkataba wenye masharti tofauti na yaliyoainishwa na JPM uwekeni bayana. Vinginevyo Bandari Bagamoyo haipaswi kabisa kuongelewa.
Yapo mengi nitaendelea lakini kwa sasa naweka kituo.
Hakuna cha legacy wala mavi ya legacy muda umezugumza tumeona mchele ni upi pumba ni zipi watz waliishi kwa mateso yasiyoelezeka ndugu na ripoti ya CAG ndoo msumari muhimu na wa mwisho !!! Ukwapuaji wa pesa za watu benki,watumishi kuishi kitumwa miaka mitano bila ongezeko la mshahara,makato ya kikatili ya mikopo ya wanachuo,kuchota pesa bila idhini ya bunge,kujali chato bola kuangali maslahi ya nchi,ukabila na ukanda kweupeeeee.....nk !!! Mtatetea sana ila wenye akili wamejua kila kitu hata mwezi haujaisha kwa kifupi hasafishikiTundu Lissu, Lema na Chadema kwa ujumla mkitaka kuuwa legacy ya hayati rais Magufuli kwa watanzania itabidi ufanye yafuatayo.
Unapokula kichwa mradi wa umeme kutoka bwawa la Nyerere ambao umefikia 50% itabidi watuambie umeme tutatoa wapi?.
Unapokula kichwa serikali kuhamia Dodoma na kusema ni hasara itabidi wajieleze.
Unapokula kichwa reli ya kisasa ambayo inakaribia Makutupora itabidi wajieleze kwa watanzania hiyo Tanzania ya viwanda itawexekana vipi.
Unapokula kichwa ujenzi wa meli mpya kwenye maziwa makuu itabidi watueleze watatusafirisha na nini?
Wanapokula kichwa ndege zetu itabidi tuwawekee video za kina Heche ,Lema,Lisu wakitukana serikali iliyoshindwa kununua ndege
Watakaposema wachimbaji wadogo, bodaboda na mama ntilie wafukuzwe itabidi watueleze wanafanya haya kwa faida ya nani?
Watakapoamua zahanati na hospitali zote zilizojengwa na Magufuli zifungwe ,itabidi watueleze tutaenda kutibiwa wapi?
Watakaposema wamefuta elimu bure itabidi watueleze kodi zetu zinafanya kazi gani?
Watakaposema lazima watanzania millioni 60 wachanjwe, itabidi watueleze wao mpaka sasa
hawajachanjwa
Nyungu hawajapiga,
Hawajajifungia ndani wanaenda kazini kila siku
Mbona hawajafa na corona sasa?
Watakaohoji haya maelezo siyo Magufuli wala watoto wa Magufuli ni watanzania.
Anayedhani itakuwa rahisi kuuwa legacy ya Magufuli atakutana na nguvu ya uma.
Muda utaongea .
Jipe moyo tuuu ila mungu anaipenda TanzaniaSi ndio nyie mnaojidanganya kwamba akifa mtu na legacy yake anakufa nayo? Watu wa aina yako mlijitahidi kumfuta Nyerere wee na nia yake ya kujenga nchi huru inayojitegemea, lakini wapi. Ndio maana tunasema msifurahi kupita kiasi, kufa kwa JPM si kufa kwa spirit au legacy yake.
Sio kweli hakutuna hata kidogo acha uongo sema alitukanaje sasa mungu wenu kafa vipi mchakato wa kuongeza muda!??Tundu Lisu alijaribu kutukana legacy ya Nyerere akakutana na nguvu ya uma.
Hatokaa arudie tena.
Nyie mliua mkadhani hamfi asante MunguHata wewe utakufa tu