Tupo pamoja mkuu,kuna siku hii nchi patachimbika,
 
Pumba hakuna na Tanzania
 
Tafuta mahali uchome nyama kilo mbili nakuja kulipa
 
Hahaaa umepanikiiiiii
 
Mbwa weww
 
Zama zimebadilika wajinga tupa kuleee
 
MKUU,
HAWA WANAFIKI WATAUMBUKA TU, TIME WILL TELL. WATU TUNAJIULIZA, KWENYE OFISI YA MAKAMU WA RAISI KULIKUWA 100% free from yanayoongelewa? Ndo utajua unafiki wa hii report na watu waliomo nyuma yake.
Huna jipya tafuta kazi halali
 
Vipi kuhusiana na Shetani? Kwa sababu licha ya awali kupewa sifa mbaya ila wapo sasa wanaomtukuza!
 
viongozi wote wa ccm wamebebwa na legacy ya MAGHUFULI sasa wanavyoanza kuponda kazi za raisi aliyepita wanajichimbia kaburi tena zito
Unazungumzia kuhusu uchaguzi? Ule haukuwa ni uchaguzi bali ni uporaji. Na hii ndiyo tofauti baina yenu na sisi, baina ya wapenda ukweli na wapenda dhulma!
 
Hawa vibaraka ...Time will tell. Magufuli kafanya mengi nchi hii azibu zitawarudia wanodhihaki yaliyofanya na Kipenzi chetu JPM R.I.P Magufuli natumaini huko uliko ni Kiranja wa Malaika wa Mbiguni... Amen
 
Hawa vibaraka ...Time will tell. Magufuli kafanya mengi nchi hii azibu zitawarudia wanodhihaki yaliyofanya na Kipenzi chetu JPM R.I.P Magufuli natumaini huko uliko ni Kiranja wa Malaika wa Mbiguni... Amen
Hizi stori nenda kawauzie wamachinga.
 
Tuache kuyaona majukum ya Serikali Kama mapenzi ya mtu binafsi,,,hili Ni taifa la walipa kodi wanayastahili yote hayo...isipokuwa kufungia vyombo vya habari na kukanyaga UHURU wa kujieleza hayo sio matakwa ya Serikali hayo ndo mapenz ya mtu binafsi ambayo sio halali kisheria/kikatiba...
Baada ya hapo kokotoa Legacy tuone apa[emoji1241]√π[emoji2398]
 
Hawa vibaraka ...Time will tell. Magufuli kafanya mengi nchi hii azibu zitawarudia wanodhihaki yaliyofanya na Kipenzi chetu JPM R.I.P Magufuli natumaini huko uliko ni Kiranja wa Malaika wa Mbiguni... Amen
Hili no degedege la ukubwani linakutesa
 

Chuki humuumiza anaye ihifadhi.
 
Chuki humuumiza anaye ihifadhi.
Hiyo chuki iko wapi?Kuandika legacy aliyoacha Magufuli ni chuki?Kwa hiyo watu wanapoandika vitabu vya legacy ambazo akina Idd Amini,Hitler,Mussolini na kadhalika walizoacha ni kwamba wanaonyesha chuki?Kwa hiyo historia za watu zisiandikwe kisa walitenda maovu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…