Kumbukumbu (Legacy) ya Dkt. John Pombe Magufuli
Tundu Lissu, Lema na Chadema kwa ujumla mkitaka kuuwa legacy ya hayati rais Magufuli kwa watanzania itabidi ufanye yafuatayo.

Unapokula kichwa mradi wa umeme kutoka bwawa la Nyerere ambao umefikia 50% itabidi watuambie umeme tutatoa wapi?.

Unapokula kichwa serikali kuhamia Dodoma na kusema ni hasara itabidi wajieleze.

Unapokula kichwa reli ya kisasa ambayo inakaribia Makutupora itabidi wajieleze kwa watanzania hiyo Tanzania ya viwanda itawexekana vipi.

Unapokula kichwa ujenzi wa meli mpya kwenye maziwa makuu itabidi watueleze watatusafirisha na nini?

Wanapokula kichwa ndege zetu itabidi tuwawekee video za kina Heche ,Lema,Lisu wakitukana serikali iliyoshindwa kununua ndege

Watakaposema wachimbaji wadogo, bodaboda na mama ntilie wafukuzwe itabidi watueleze wanafanya haya kwa faida ya nani?

Watakapoamua zahanati na hospitali zote zilizojengwa na Magufuli zifungwe ,itabidi watueleze tutaenda kutibiwa wapi?

Watakaposema wamefuta elimu bure itabidi watueleze kodi zetu zinafanya kazi gani?

Watakaposema lazima watanzania millioni 60 wachanjwe, itabidi watueleze wao mpaka sasa
hawajachanjwa
Nyungu hawajapiga,
Hawajajifungia ndani wanaenda kazini kila siku
Mbona hawajafa na corona sasa?

Watakaohoji haya maelezo siyo Magufuli wala watoto wa Magufuli ni watanzania.

Anayedhani itakuwa rahisi kuuwa legacy ya Magufuli atakutana na nguvu ya uma.

Muda utaongea .
Tupo pamoja mkuu,kuna siku hii nchi patachimbika,
 
Great Men Are Like Rubber Corks: The More You Submerge Them, The More They Emerge!

JAMES DUNYO WRITES...[emoji1614]


Dears, the senators thought killing Julius Caesar will put an end to him and everything he stood for. But it rather started a chain of events that consolidated his legacy. Among other things, the universal calendar we all use today was created by Julius Caesar, with July named in his honour. The Caesarian section was named after him and many kingdoms named their rulers after him; Tsar for Russia, Kaiser for Germany, etc.

Friends, the Athenian authorities too did the same thing to the wise man Socrates. They thought killing him would have silenced him forever. Today, no one studies Philosophy without having to meet the great man, Socrates. You see???

The Jewish authorities too thought killing Jesus would have silenced him and erased his memory forever. When it backfired, they knew instead of water, they had rather poured gasoline on fire. Today, in every city, town and village on earth, the mere mention of this name, Jesus, strikes terror in proud arrogant hearts, and sends hands clapping, knees bowing and tongues confessing!

Such great men as these are like plastic/rubber corks. The more people try submerging them, the more they emerge afloat on the water. The more they are suppressed, the more they impress. It is a waste of time to attempt to sink what is destined to float. Great men may be destroyed; but their legacies shine on like stars in the evening sky!
[emoji2398]J.DUNYO... 2021
Pumba hakuna na Tanzania
 
Legacy aliyoacha Magufuli ni hii hapa:

1.Kuondoka duniani wakati hahitajiki.

2.Kuteka wapinzani wake kama akina Azory Gwanda.

3.Kutesa wapinzani wake kwa kuwaweka ndani kila siku.

4.Kuua wapinzani wake na wakosoaji wake kama akina Ben saanane na kuwapiga wapinzani wake risasi kama ilivyokuwa kwa Tindu Lissu.

5.Kuua uhuru wa vyombo vya habari.

6.Kuua uhuru wa kujieleza kwa wananchi kama vile kufungia mitandao ya kijamii kama twitter na kukamata wanaotumia mitandao mingine kumkosoa.

7.Kuiba kura kwa kutumia Polisi,jeshi,TISS pamoja na tume ya uchaguzi.

8.Kuua biashara za watu kupitia sera mbovu za uchumi.

9.Kudanganya katika takwimu za ukuaji wa uchumi wa nchi.

10.Kuweka mihimili yote mitatu mfukoni mwake,yaani mhimili wa urais,bunge na mahakama.

11.Kuua uchumi wa nchi kupitia sheria mbovu za uwekezaji.

12.Kuua watu kwa Corona kupitia leadership negligence.

13.Kuhakikisha kuwa akina Ben Saanane na Azory Gwanda walikipata cha mtema kuni.

14.Ukabila kwa kuhamishia rasilimali nyingi za nchi katika wilaya ya Chato na kujaza wasukuma serikalini.

15 Ukanda kwa kupeleka SGR mwanza wakati siyo economic viable zone.

16.Ubaguzi wa rangi kwa kuwakandia wanawake weusi.Imagine mtu anafanya ubaguzi wa rangi karne ya 21!Is this not insane?

17.Kugandamiza demokrasia kwa kukataza vyama vya upinzani kufanya siasa wakati CCM kufanya siasa ni ruksa.

18.Kunyanyasa malaika-watoto wa kike wasirudi shule wakipata mimba.

19.Ufisadi wa kutisha kwa kufanya miradi mikubwa bila budget kupita bungeni.

20.Wizi wa kutisha wa mali ya uma kupitia kampuni yake ya Mayanga constructions LTD.Mfano uwanja wa Chato umetengenezwa na kampuni hii bila tenda kuitwa.

21.Kubambikizia kesi za kuhujumu uchumi wapinzani wake nchi nzima na kuwatupa korokoroni bila dhamana.

22.Kugushi report ya CAG ya hasara za mabilion za ndege za ATCL na kuilazimisha ATCL watoe gawio fake kwa serekali.

23.Kupora utajiri halali na wa jasho wa matajiri wa Tanzania kwa kuwabambikizia kesi fake za kuhujumu uchumi na kuwalazimisha wakiri makosa ya uwongo kisha kuwafilisi mali zao.

24.Ufisadi na wizi wa kutisha kama ulivyoibuliwa na CAG mara baada ya dikteta kufa.
Tafuta mahali uchome nyama kilo mbili nakuja kulipa
 
"NAAAM....!

Miradi yake mingine inaleta foleni na mingine hasara? Ni rahisi tu, kwa nini tuendelee na Ma-foleni na Ma-hasara? ...Nashauri Vunjeni Madaraja na Flyovers zote, Ng'oeni reli zote especilly SGR, uzeni Ndege zote na vivuko vyote nchini, Uza Meli zote Mpya zilizozinduliwa, kule Ziwa nyasa, simamisheni Ujenzi wa Bwawa la umeme, Gaweni Migodi yote, Binafsisheni Milima, Maziwa na Mbuga.

Bomoa Bandari zote zilizoboreshwa ikiwemo Mtwara, Tanga na Dar, Jengeni moja ya Wachina kwa mkataba wa miaka 100...rudisheni Ada shuleni tukuze uchumi, Wapeni Matajiri Exemptions za kodi, Ruhusuni Makinikia kwenda nje, Vunjeni Masoko mapya ya Madini mikoani, ...Charaza Bakora Machinga mjini, Mwaga wali wa Mama Ntilie.

Vunja vyama vya wakulima na utaratibu wa stakabadhi ghalani, Ruhusuni Uhuru wa Mashoga, Mateja kwa wingi mtaani, madawa ya kulevya n.k....pia Msisahau kuifunga ile Mahakama ya Mafisadi,....kwa uchache tu Hakika hapo sasa pengine Tanzania itakuwa kama ULAYA, Tanzania ya Asali na Maziwa!.

Vunjeni makao makuu Dodoma mrudishe serikali Dar.

Hapo sasa mtakuwa mmemkomoa Magufuli na watoto wake watashinda njaa ili anyooke kabisa.



Nawasilisha
Hahaaa umepanikiiiiii
 
Kuna baadhi ya mambo kama Taifa tunatakiwa kuwa wakweli na saa ya kuwa wakweli ndiyo sasa.
Kipekee niseme kwamba, tusifikiri kwamba kuipaka matope miradi ya JPM ni kujiimarisha. La,hasha. Ni kuonesha udhaifu kwamba sisi hatuwezi kuendesha miradi hiyo. Ndiyo maana tunaanza kufikiri hata kuipotezea.

Kama yeye aliweza kugharimia na kuendesha miradi hiyo na mambo mengine yakaendelea kwa nini sisi tunaogopa mpaka tunaanza kutafutiza sababu za kuipotezea?

Je,tunataka tukubali kwamba JPM alikuwa na uwezo wa pekee wa kukusanya kodi zilizotumika kwenye miradi hiyo na sisi hatuna uwezo huo?

Kama ni kweli kulikuwa na ufisadi katika miradi hiyo, na bado iliendelea kujengwa, hatuoni kwamba kwa sasa miradi itajengwa haraka zaidi kwa kuwa tutakuwa tumedhibiti ufisadi uliokuwepo?

Kumbukeni ndugu zangu hasa watendaji wa serikali, tunapoonesha udhaifu wa kutaka kuipotezea hiyo miradi ya JPM, Wananchi huku mitaani wanaikumbuka ile kauli aliyoisema"Nikiondoka mimi kuna mtu ataweza kujenga hii miradi?

NB:-Kamwe tusifikiri kwamba kwa kuipotezea miradi ya JPM ni kuitupilia mbali Legacy yake, La hasha, hapo ni kumpa UMAARUFU zaidi ya uliopo sasa.
Nawasilisha.
Mbwa weww
 
Ni dhahiri kwamba JPM ameacha legacy kubwa ambayo haijawahi kufikiwa na kiongozi Tanzania. Sikatai kwamba JPM alikuwa na mapungufu.
Legacy aliyoaicha Magufuli imekuwa changamoto kwa viongozi waliyomtangulia lakini pia waliomfuatia. Waliomtangulia ni kama vile imekuwa fedheha kwao kwa maana matendo ya Magufuli yalifungua macho watanzania kwamba kumbe kuna viongozi hawakuwajibika ipasavyo.
Lakini kwa upande mwingine ni mtihani mgumu sana kwa viongozi waliopo sana kwa yaliyofanywa na JPM inahitajika kiongozi mwenye moyo wa uthubutu kuyaendeleza.
Watu wamejipima na kuona kwamba ni kazi sana. Na pengine watakuwa hawana credibility.
Kilichobaki sasa kuchafua legacy ili kuonyesha kuwa yaliyokuwa yakifanywa na magufuli ni upuuzi tu na haupaswi kuendelezwa.

Inanifikirisha sana kuona Prof anapinga mradi HEP? Eti umeme wa HEP utatuchelewesha. Taifa ili kuweza kuwa na uchumi wa viwanda lazima pawepo na umeme wa uhakika na nafuu. Uhakika wa umeme JNHP ni kwamba kutakuwa na bwawa kubwa ambalo litahakikisha kuwepo na maji ya kusukuma mitambo kwa muda wote ambapo mvua hazitakuwepo. Lakini unafuu wa umeme wa nguvu za maji ni kwamba hakuna nishati inayotumika zaidi ya maporomoko ya maji. Umeme unaotumia nishati kama gesi, petroleum, coal nk ni gharama kwa sababu kuu mbili mosi kwa ajili nishati husika ya kuendesha mitambo ya kufua umeme na pili mitambo kuhitaji matengenezo ya mara kwa kwa mara kutokana na joto. Kwa maana hiyo gharama huo umeme utakuwa juu tu.
Ajabu Professor mbobezi leo anataka tuamini kwa ujenzi wa mradi huo ni upuuzi.
Professor huyu huyu ni mojawapo wa walioshindwa kutuletea suluhisho la tatizo la umeme matokeo wakaishia kuliingiza taifa katika gharama kwa kuingia mikataba ya kitapeli.

Jambo jingine ni Bandari ya Bagamoyo, spika wa Bunge tunaona anataka kutuaminisha kuwa JPM hakushauriwa vizuri. Ndugai enzi za Magufuli aliwahi kukiri kwamba hakujua masharti ya mkataba huo. Sasa kama ameyajua kwa nini asiyeweke bayana? Tunajua umuhimu wa bandari ya Bagamoyo lakini hatuwezi kukubaliana na masharti yasiyo na manufaa kwa taifa letu. Ndugai kama mna hoja ya kutetea Bandari ya Bagamoyo mkataba uwekwe wazi. JPM alituambia masharti ya mkataba tukakubaliana naye kama ninyi mna mkataba wenye masharti tofauti na yaliyoainishwa na JPM uwekeni bayana. Vinginevyo Bandari Bagamoyo haipaswi kabisa kuongelewa.

Yapo mengi nitaendelea lakini kwa sasa naweka kituo.
Zama zimebadilika wajinga tupa kuleee
 
MKUU,
HAWA WANAFIKI WATAUMBUKA TU, TIME WILL TELL. WATU TUNAJIULIZA, KWENYE OFISI YA MAKAMU WA RAISI KULIKUWA 100% free from yanayoongelewa? Ndo utajua unafiki wa hii report na watu waliomo nyuma yake.
Huna jipya tafuta kazi halali
 
Great Men Are Like Rubber Corks: The More You Submerge Them, The More They Emerge!

JAMES DUNYO WRITES...✍🏾


Dears, the senators thought killing Julius Caesar will put an end to him and everything he stood for. But it rather started a chain of events that consolidated his legacy. Among other things, the universal calendar we all use today was created by Julius Caesar, with July named in his honour. The Caesarian section was named after him and many kingdoms named their rulers after him; Tsar for Russia, Kaiser for Germany, etc.

Friends, the Athenian authorities too did the same thing to the wise man Socrates. They thought killing him would have silenced him forever. Today, no one studies Philosophy without having to meet the great man, Socrates. You see???

The Jewish authorities too thought killing Jesus would have silenced him and erased his memory forever. When it backfired, they knew instead of water, they had rather poured gasoline on fire. Today, in every city, town and village on earth, the mere mention of this name, Jesus, strikes terror in proud arrogant hearts, and sends hands clapping, knees bowing and tongues confessing!

Such great men as these are like plastic/rubber corks. The more people try submerging them, the more they emerge afloat on the water. The more they are suppressed, the more they impress. It is a waste of time to attempt to sink what is destined to float. Great men may be destroyed; but their legacies shine on like stars in the evening sky!
©J.DUNYO... 2021
Vipi kuhusiana na Shetani? Kwa sababu licha ya awali kupewa sifa mbaya ila wapo sasa wanaomtukuza!
 
viongozi wote wa ccm wamebebwa na legacy ya MAGHUFULI sasa wanavyoanza kuponda kazi za raisi aliyepita wanajichimbia kaburi tena zito
Unazungumzia kuhusu uchaguzi? Ule haukuwa ni uchaguzi bali ni uporaji. Na hii ndiyo tofauti baina yenu na sisi, baina ya wapenda ukweli na wapenda dhulma!
 
Hawa vibaraka ...Time will tell. Magufuli kafanya mengi nchi hii azibu zitawarudia wanodhihaki yaliyofanya na Kipenzi chetu JPM R.I.P Magufuli natumaini huko uliko ni Kiranja wa Malaika wa Mbiguni... Amen
 
Hawa vibaraka ...Time will tell. Magufuli kafanya mengi nchi hii azibu zitawarudia wanodhihaki yaliyofanya na Kipenzi chetu JPM R.I.P Magufuli natumaini huko uliko ni Kiranja wa Malaika wa Mbiguni... Amen
Hizi stori nenda kawauzie wamachinga.
 
Tuache kuyaona majukum ya Serikali Kama mapenzi ya mtu binafsi,,,hili Ni taifa la walipa kodi wanayastahili yote hayo...isipokuwa kufungia vyombo vya habari na kukanyaga UHURU wa kujieleza hayo sio matakwa ya Serikali hayo ndo mapenz ya mtu binafsi ambayo sio halali kisheria/kikatiba...
Baada ya hapo kokotoa Legacy tuone apa[emoji1241]√π[emoji2398]
 
Hawa vibaraka ...Time will tell. Magufuli kafanya mengi nchi hii azibu zitawarudia wanodhihaki yaliyofanya na Kipenzi chetu JPM R.I.P Magufuli natumaini huko uliko ni Kiranja wa Malaika wa Mbiguni... Amen
Hili no degedege la ukubwani linakutesa
 
Legacy aliyoacha Magufuli ni hii hapa:

1.Kuondoka duniani wakati hahitajiki.

2.Kuteka wapinzani wake kama akina Azory Gwanda.

3.Kutesa wapinzani wake kwa kuwaweka ndani kila siku.

4.Kuua wapinzani wake na wakosoaji wake kama akina Ben saanane na kuwapiga wapinzani wake risasi kama ilivyokuwa kwa Tindu Lissu.

5.Kuua uhuru wa vyombo vya habari.

6.Kuua uhuru wa kujieleza kwa wananchi kama vile kufungia mitandao ya kijamii kama twitter na kukamata wanaotumia mitandao mingine kumkosoa.

7.Kuiba kura kwa kutumia Polisi,jeshi,TISS pamoja na tume ya uchaguzi.

8.Kuua biashara za watu kupitia sera mbovu za uchumi.

9.Kudanganya katika takwimu za ukuaji wa uchumi wa nchi.

10.Kuweka mihimili yote mitatu mfukoni mwake,yaani mhimili wa urais,bunge na mahakama.

11.Kuua uchumi wa nchi kupitia sheria mbovu za uwekezaji.

12.Kuua watu kwa Corona kupitia leadership negligence.

13.Kuhakikisha kuwa akina Ben Saanane na Azory Gwanda walikipata cha mtema kuni.

14.Ukabila kwa kuhamishia rasilimali nyingi za nchi katika wilaya ya Chato na kujaza wasukuma serikalini.

15 Ukanda kwa kupeleka SGR mwanza wakati siyo economic viable zone.

16.Ubaguzi wa rangi kwa kuwakandia wanawake weusi.Imagine mtu anafanya ubaguzi wa rangi karne ya 21!Is this not insane?

17.Kugandamiza demokrasia kwa kukataza vyama vya upinzani kufanya siasa wakati CCM kufanya siasa ni ruksa.

18.Kunyanyasa malaika-watoto wa kike wasirudi shule wakipata mimba.

19.Ufisadi wa kutisha kwa kufanya miradi mikubwa bila budget kupita bungeni.

20.Wizi wa kutisha wa mali ya uma kupitia kampuni yake ya Mayanga constructions LTD.Mfano uwanja wa Chato umetengenezwa na kampuni hii bila tenda kuitwa.

21.Kubambikizia kesi za kuhujumu uchumi wapinzani wake nchi nzima na kuwatupa korokoroni bila dhamana.

22.Kugushi report ya CAG ya hasara za mabilion za ndege za ATCL na kuilazimisha ATCL watoe gawio fake kwa serekali.

23.Kupora utajiri halali na wa jasho wa matajiri wa Tanzania kwa kuwabambikizia kesi fake za kuhujumu uchumi na kuwalazimisha wakiri makosa ya uwongo kisha kuwafilisi mali zao.

24.Ufisadi na wizi wa kutisha kama ulivyoibuliwa na CAG mara baada ya dikteta kufa.

Chuki humuumiza anaye ihifadhi.
 
Chuki humuumiza anaye ihifadhi.
Hiyo chuki iko wapi?Kuandika legacy aliyoacha Magufuli ni chuki?Kwa hiyo watu wanapoandika vitabu vya legacy ambazo akina Idd Amini,Hitler,Mussolini na kadhalika walizoacha ni kwamba wanaonyesha chuki?Kwa hiyo historia za watu zisiandikwe kisa walitenda maovu?
 
Back
Top Bottom