Na hicho alichofanikiwa Plato kukiambukiza kwa Aristotle ndicho alichofanikiwa kukiambukiza Magu kwa mamilioni ya watanzania. Watu ni wa muda tu ila yale yaliyowatambulisha ni ya kudumu. Hivi we kwa akili yako unadhani maza atajiendeshea nchi anavyotaka kisa akufurahishe wewe? Na akitaka kuteleza hatutaruhusu tena nchi iende mikononi mwa wanyanganyi. Hatuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania sie.
 
KUTOTOKA SALAMA JUKWAANI NDO KUNAONYESHA LEGACY? Usisahau kuwa hata wauza unga huwa wanapambana na wanaowavamia... Hata wezi huwa wanapambana na polisi.... Kwa hiyo kutotoka salama jukwaani siyo alama ya kuacha LEGACY.

Tunachosema hapa kwenye vitu vinavyoonekana amefanya, kuna wizi wa kutosha... SGR serikali imekosa kiasi gani cha fedha? Ndege zimetutia hasara kiasi gani? Tena ndege zikasemewa na uwongo kwamba mwaka 2018 ziliingiza faida, wakati cureent CAG kasema zimtia hasara ya 150B kwa miaka mitano mfululizo ukiwemo huo uliosemwa kuwa zilileta faida


Yeye mwenyewe majukwani alikuwa anaonyesha watangulizi wake hawakufanya lolote la maana... alisAhau kuwa hakurudia kujenga MUHIMBILI wa vile ilikuwepo... Hakurudia kuijenga UDSM kwa vile ilikuwepo, hakuijenga SUA kwa vile ilikuwepo... HAKURUDIA KUIJENGA UDOM KWA VILE ILIKUWEPO.. HAKUIJENGA KIHANSI KWA VILE ILIKUWEPO, HAKUIJENGA MTERA KWA VILE ILISHAJENGWA NA WATANGULIZI..Hakuijenga Ifunda tech kwa vile ilikuwepo, hakujenga alikosoma yeye kwa vile kulikuwepo
 
Kwanza, kubali kwamba alitenda maovu, then tulinganishe na mazuri yake, halafu tuona mzani umeelemea wapi... HUWEZI NIIBIA 10M, halfu urudi mlango wa nyuma unipe pole ya 2M, halafu mimi nibaki nakusifia kwa roho nzuri.. wakati effectively umesepa na 8M zangu... HUO NI UJINGA.
 

Hakika hautakuwa rahisi kuifuta hii legacy.
 
Miaka yote pesa zimekuwa zikipigwa sana, hakuna kitu cha ajabu, ila upekee wa hii ripoti ya 2019/2020, imeonyesha kuwa kumbe licha ya majigambo yote ya meko kuwa hakuna pesq inayoliwa zilikuwa ni propaganda tu?na toka meko ameingia madarakani ofisi ya CAG, ilikuwa inafanya kazi ktk mazingira magumu sana, hata bajeti yake ilipunguzwa sana.kwani hakutaka uwazi ktk serikali yake, mwaka juzi CAG, aliposema kuwa 1.5trilioni hazijulikani matumizi yake, nini kilitokea?mala ngapi alikuwa akituaminisha kuwa ndege zilikuwa zinaleta faida?!suala la upigaji haliwezi kuisha bila mikakati mipya tena kwa sasa napendekeza itumike njia ya REAL TIME, kila mwezi fanyike ukaguzi!!tatizo la mwenda zake alifikilia kufanya mambo gizani ndio dawa ya kuonekana kuwa hakuna ubadhirifu kumbe ndio balaaa!!huyo kigwangala unayemsema kwani ripoti ya mwaka 2018/2019, ilionekana amepiga pesa MEKO alimfanya nini??NASEMA HIVI KTK AWAMU AMBAPO KUNA UFISADI WA KUTISHA UMEFANYIKA NI HIYO YA MEKO.
 
Kama unavyoinjoi fly over kenge wewe
Unaona jinsi ulivyo mjinga. Akili imejaa matusi tu. Mawazo yako finyu ni kwamba Tanzania nzima ina fly overs. Kwetu hatuhitaji hata hiyo fly over, tunahitaji dawa hospitalini, madawati shuleni na kodi rafiki na upendo wa ndugu, utu, kuheshimiana na kutopigana marisasi. Sawa wewe ndugu? ila sina uhakika kwa akili zako kama utaelewa chochote hapa. Hizo mbwembwe za fly overs ni huko kwenu tu.
 
Kwani huyu mwendazake unayempigania ana legacy ipi? Ya kupiga watu risasi? ya kutumia kibabe fedha za serikali kununua ndege nyingi zinazoliingizia hasara Taifa? Kutumia fedha za serikali kujenga kwao? Legacy ipi? Au hujui hata maana ya legacy?
Utashangaa jitu kama hili kila siku linapita ubungo interchange huku limekenua meno na halikumbuki hata zuri moja alilofanya Jpm.
 
Utashangaa jitu kama hili kila siku linapita ubungo interchange huku limekenua meno na halikumbuki hata zuri moja alilofanya Jpm.
Juzi gani kafanya yule katili shetani. Watu wengi wameumizwa kwa sababu yake. Mungu hadhihakiwi
 
Utashangaa jitu kama hili kila siku linapita ubungo interchange huku limekenua meno na halikumbuki hata zuri moja alilofanya Jpm.
Zuri gani kafanya yule Ibilisi? watu wengi wameumizwa sana na hili li jamaa. Mungu anajua kututetea watu wake.
 

Waziri Kalemani: Bwawa la Nyerere kujazwa Maji Novemba 15, 2021. Umeme wa maji ni nafuu kuliko wa vyanzo vingine
 
Mbowe kabla hata ya kujisafisha na uongo wake wa kulewa na kuangushwa na konyagi kisha kulitangazia taifa kwamba amepigwa na wasiojulikana, amekuja na igizo jingine kwamba alifilisiwa na akaunti zake zote zilifungwa na TRA!!

Kama ni kweli alikuwa wapi kuyasema haya? Badala yake akawa anaitisha press conference akiwa amevaa gloves feki huku akiwa amejifungia kwenye lockdown hewa.

Ina maana Mbowe alikuwa tayari kuita waandishi wa habari na kuwaelezea alivyokimbia bunge na kwenda lockdown uchwara kuliko kuwaelezea alivyofungiwa akaunti zake zote ikiwemo ya mshahara?

Mbowe hili ni taifa la watu wanaojitambua na kamwe hutafanikiwa kwenye hiyo biashara yako mpya uliyokula 10% ili ulete chanjo ya corona nchini.
 
Muda utaongea. Hayati Magufuli kaondoka kishujaa.
 
Mmeng'ang'ania sana legacy ya Mwendazake idumu.Ikiwa ilikuwa njema,hakuna haja ya kutumia nguvu kuilinda.Itasimama kwa nguvu zake.Kama ni legacy dhaifu,iliyoharibiwa na utawala wakikatili,itayeyuka hata mkitumia jeshi kuisimika.
 
Hivi unajua hakuna aliyeijenga nchi hii kama mjerumani.legacy yake iko wapi

Hivi unajua kaburu alivyoijenga South Afrika au hujui

Hayo madude yamejengwa kwa damu na machozi ya Watanzania

Baya moja hufuta mazuri 100
Mjerumani amejenga nini mpaka ukifnanishe na mkaburu wa S.A ambaye anaishi pale mpaka leo? no naonaga waTanzania wengine ni kama mna ukichaa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…