Kumbukumbu ya moja ya tarehe mbaya kutokea (Worse Date Ever)

Kwamba alikuona bado mdogooo? au mlaini lainiii?? au .......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimecheka sana !! Mkuu wewe unakutana na watu wacheshi hebu jaribu mmoja mkuu !! Hawataki maigizo !!
 
Sasa kikiwa kifua kimejaa hata mimi lazima nikutizame bibie
 
Hahaaaa safi sana... huu ndo umwamba
Hahaaaaa nyam nyam nyamm kama ndama
 
huyo classmate wako bila shaka alikua anajua machaka yako ukakosa comfidens
 
fear this gender ..
 
Tukio lako ndio litafunga thread!
πŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈ!! 🀣🀣🀣🀣🀣
 
mi ziezi vumilia ujinga ata kwa dk mbili either nikuchane au nitembee

Mbaya zaidi street raised me yaani wa uswazi pure
 
Dahh umenichekesha sana mshkaji wangu πŸ˜‚πŸ˜‚ ila hapa na kachai umetu mixia hapa.
Anyway pole sanaaaa..
 
Halafu wala sio kichaa ila sijui kwanini ali behave that way. Maana sio kwamba hata hakuwa na hela useme niliagiza sana akachanganyikiwa, hapana.

Au labda alikuwa anaumwa na tumbo. Nikaona siwezi ku deal naye mimi
U still could giv him second shot to confirm
 
Niliopoa binti mmoja somewhere. Baada ya wiki mbili tukawa na appointment ya kuchakatana. Wakati tuko mezani tunapata vinywaji, akawa kama vile ana wasiwasi, akapoteza kujiamini kabisa. Nikimuuliza kuwa kama hayuko sawa, anasema nisijali yuko sawa.

Kuingia room no.47 kwa ajili ya mbususu, binti anakuwa mgumu sana kuvuliwa, kama utani nikabahatika kumvua. Nilichokiona sasa, mkuyenge wa kama nchi nne juu ya papuchi ya binti! Niliskika nikisema, "Ah Agh ah Am, ngoja kwanza,Nimesahau tissue nakuja" Suruali nilienda kuivalia kaunta, wakuu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…