mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Kwamba alikuona bado mdogooo? au mlaini lainiii?? au .......Mkuu nashindwa kuelewa labda unisaidie kutafakari!
4. Huyu mwingine date ilienda vizuri kabisa! Maongezi yalikuwa mazuri tena intelligent! Everything was good ingawa kuna kitu ambacho alikuwa anafanya nikawa naona kama weird saingine naona kawaida (alikuwa akiangalia kifua changu sana). Baada kurudi nyumbani na kumtaarifu nimefika salama na kusema asante! Ndipo jamaa akaniuliza ‘kwa hicho kifua chako utaweza kuhimili maumivu kweli’???[emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app