Viti Maalum vp? Ni Mukya na nani? Au amepita bila kupingwa kama kawaidaView attachment 1510150
View attachment 1510151
Mwitikio si haba kama mnavyojionea wenyewe .
UPDATES: View attachment 1510291
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viti Maalum vp? Ni Mukya na nani? Au amepita bila kupingwa kama kawaidaView attachment 1510150
View attachment 1510151
Mwitikio si haba kama mnavyojionea wenyewe .
UPDATES: View attachment 1510291
chadema inaenda kufa haswa arusha. mkuu utaamini oktoba muda utajibu.Rilaxx man, haka kamchezo huwa hakataki hasira, kunywa maji mengi utulie.
Halafu jaribu kuuliza watu wakufundishe nini maana ya msaliti.
Unaijua Chuga wewe? Kaa mbali na motochadema inaenda kufa haswa arusha. mkuu utaamini oktoba muda utajibu.
Lema amesaidia sana hicho chama kuwatoa mamluki arusha mana walikua rundo team lowasa wote hawapoBananga kaambulia kura 22 kati ya kura 203. Atawajibu nini aliokula hela zao?
Maana aliwaaminisha yeye ndio kiboko ya Lema.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Hongera sana mhe.Lema kwa kuaminiwa tena na wana wa arushaView attachment 1510150
View attachment 1510151
Mwitikio si haba kama mnavyojionea wenyewe .
UPDATES: View attachment 1510291
Kwa kuiba kura sawa,huyo gambo arusha kafanya lipichadema inaenda kufa haswa arusha. mkuu utaamini oktoba muda utajibu.
Unaota njozi za mchana wwLema kashinda lkn jimbo halipati tena kwakweli Ccm wako vizuri. Naona na chakla ya mwenyekiti imeshinda viti maalumu
Bahati mbaya sana Lema na wasira kwenye kupenda madaraka hawatofautiani. Tofauti yao ipo kwenye umri tu.Aisee nampenda Lema.. ila ikipendeza amuachie Binamu Bananga
Kama mkazi niliyozaliwa Arusha, napenda kuona kuna mabadiliko fulani ya kuachiana vijiti, mimi sio muumini wa 'umimi', nadhani ni wakati Lema akamuachia Bananga, Lema apumzike tu kama Mnyika.
Mchuano wa Binamu Bananga (CHADEMA) na Mrisho Gambo (CCM) utatupatia watu bora sana kwa Arusha maana wote nimewapima kwa mizani yangu, ni viongozi wanaofaa, wana mitizamo fulani ya kimaendeleo na kupiga hatua.
Arusha msifanye makosa CHADEMA na CCM ni either Bananga au Mrisho Gambo
kwahio unakubaliana nami kua viongozi wote waliokua arusha walikua wameoza ? kama sio kunuka..haswa mbunge na mkuu wa mkoa..Kwa kuiba kura sawa,huyo gambo arusha kafanya lipi
wala mkuu, ccm inarejea arusha mkuu vijana , wababa, wamama, wadada , wote wanaimba ccm sasa..wanajuta maamuzi ya kumpa huyo boya aliyepita ubungeUnaijua Chuga wewe? Kaa mbali na moto
Halmashauri ikiongozwa na cdm imefanya makubwa,huyo mteuliwa yeye alijaa ubabe,fitna uchonganishi au hukumsikia baba yake akisema kwanini kamtumbuakwahio unakubaliana nami kua viongozi wote waliokua arusha walikua wameoza ? kama sio kunuka..haswa mbunge na mkuu wa mkoa..
hayo "makubwa" ni yapi tuanze ku list down hapa..haya twendeee...mojaa..Halmashauri ikiongozwa na cdm imefanya makubwa,huyo mteuliwa yeye alijaa ubabe,fitna uchonganishi au hukumsikia baba yake akisema kwanini kamtumbua
Kina heche, Mdee, Bulaya, Sugu, Prof.J, wamepita kwa form ngapi?Ingekua CCM hapo ingeprint form 1 tu kama ile ya mwenyekiti.
Usijitoe akili ni yule ndugu yako lemaKwei aisee Bananga mshamba sana,amenuna kinyama.
Hizo barabara zote madiwani na mbunge ndio waliomba mkopo ADB wakajenga vituo vya afya,miaka yote toka enzi ya batilda,mrema hela ilikua inatafunwa tuhayo "makubwa" ni yapi tuanze ku list down hapa..haya twendeee...mojaa..