Uchaguzi 2020 Kumekucha Arusha Mjini: Kura za maoni za ubunge moto wawaka, Lema aibuka kidedea dhidi ya Bananga

Uchaguzi 2020 Kumekucha Arusha Mjini: Kura za maoni za ubunge moto wawaka, Lema aibuka kidedea dhidi ya Bananga

jiwe kaifanyia nini Arusha?
Kakamata bange... hahahaa!!
Jombaa Huoni maelimu bure asee, mavituo yaafya,kituo chamabasi punde,maji niaje,mandege apondichi,umeme haukatoksi tena,barabara kapeti arifu,machinga wanajiachia korona haiko ndichi yaani nimengi bablai asee amka utaona chalangu nikwikwi
 
I think hakwenda sababu,alitaka amalizie Udiwani wake then ajaribu Ubunge,etc...

Na pia waunga juhudi madiwani walikua wanapewa dau kidogo,akipiga hesabu ya remaining time na hela atakayolipwa baada ya kustaafu udiwani na salio analopewa now na CCM,it doesnt make sense to him.

That nigga is a snake of some kind....

Sina ushahidi,ila mimi binafsi kwa machale yangu,najitahidi sana nimuamini ila sijafika 100% aisee!

I dont know why!
Anaweza akawa type za akina Nasari na Ole Millya
 
Usingizi wa sultani utakosekanaje!!!!
Screenshot_20200718-183239.jpg
 
Anaweza akawa type za akina Nasari na Ole Millya
Mkuu

Hili jamaa ni yale yale ma-snake!

Uzuri yanadhani sisi wananchi hua hatuna akili ya kuona na kujua!

Yanadhani sisi mafala kumbe yenyewe ndio majinga!

Leo kalia na sanduku la kura!

Mwenzie Msando anasubiri kipigo cha mbwa mwizi kura za maoni huko CCM....

Msando's will receive even worse ass whooping!
 
Kakamata bange... hahahaa!!
Jombaa Huoni maelimu bure asee, mavituo yaafya,kituo chamabasi punde,maji niaje,mandege apondichi,umeme haukatoksi tena,barabara kapeti arifu,machinga wanajiachia korona haiko ndichi yaani nimengi bablai asee amka utaona chalangu nikwikwi
Kituo cha Mabasi kiko wapi mkuu? Machinga wanajiachia yes na wamefanya mji umekuwa mchafuuu hayo nayo ni maendeleo?
 
Kituo cha Mabasi kiko wapi mkuu? Machinga wanajiachia yes na wamefanya mji umekuwa mchafuuu hayo nayo ni maendeleo?
Mkuu

Pay him no mind....

Ukishaona mtu anaandika Maviswahili ya hovyo namna hiyo,jua unaongea jitu moja hopeless.

Watanzania sijui lini tutaweza chochote?Kiswahili hatujui,Kingereza hatujui,lugha za makabila yetu hatujui....aisee,sijui tunaenda wapi!
 
I think hakwenda sababu,alitaka amalizie Udiwani wake then ajaribu Ubunge,etc...

Na pia waunga juhudi madiwani walikua wanapewa dau kidogo,akipiga hesabu ya remaining time na hela atakayolipwa baada ya kustaafu udiwani na salio analopewa now na CCM,it doesnt make sense to him.

That nigga is a snake of some kind....

Sina ushahidi,ila mimi binafsi kwa machale yangu,najitahidi sana nimuamini ila sijafika 100% aisee!

I dont know why!
Kumbe ni machale yako? Kwahiyo hata hiyo ya kutaka kunnuliwa udiwani wake kwa dau dogo ni machale yako. Sasa ndugu yangu, sisi tunajadili vitu seriuos na halisi wewe unatuletea machale yako.
 
Kwanini mnapenda kuingiza chuki kwenye Siasa. So Ukiwa CHadema lazima uwachukie marafiki zako wa Act au CCM. Nani alikwambia Siasa Ina mizizi ya kudumu.
Generally Hutakiwi kumchukia mtu na sio lazima upende pia

In your private life unatakiwa unaweza kuwapenda ila sio kwenye public representation mzee!

Hawa watu wanapendana katika private life at a normal social settings na sio publicly.

Ni kama Mrema au Cheyo au Mbatia wanavyosema wanampenda Magufuli too much wanampa kura wafuasi wao wawafuate,kwenye public optics hiyo ni failure!
 
Mkuu

Pay him no mind....

Ukishaona mtu anaandika Maviswahili ya hovyo namna hiyo,jua unaongea jitu moja hopeless.

Watanzania sijui lini tutaweza chochote?Kiswahili hatujui,Kingereza hatujui,lugha za makabila yetu hatujui....aisee,sijui tunaenda wapi!

Shukran mkuu nimekupata vema, hapo kwenye uandishi inasikitisha sana. Kuna wakati unamsoma mtu tena ni graduate unashindwa kumtofautisha na mtoto anayejifunza kuandika!
 
Kumbe ni machale yako? Kwahiyo hata hiyo ya kutaka kunnuliwa udiwani wake kwa dau dogo ni machale yako. Sasa ndugu yangu, sisi tunajadili vitu seriuos na halisi wewe unatuletea machale yako.
Ni machale yangu binafsi,sina proof yeyote..

Kikwangu Kuamini kitu sio lazima unipe proof,ni maamuzi yangu kuamini nachotaka,ilmradi sijakuingilia wewe au yule!

Sasa,unanipangia cha kuamini mzee?

Huna kazi za kufanya?

Keep wasting your time my nigga!
 
Aisee nampenda Lema.. ila ikipendeza amuachie Binamu Bananga

Kama mkazi niliyozaliwa Arusha, napenda kuona kuna mabadiliko fulani ya kuachiana vijiti, mimi sio muumini wa 'umimi', nadhani ni wakati Lema akamuachia Bananga, Lema apumzike tu kama Mnyika.

Mchuano wa Binamu Bananga (CHADEMA) na Mrisho Gambo (CCM) utatupatia watu bora sana kwa Arusha maana wote nimewapima kwa mizani yangu, ni viongozi wanaofaa, wana mitizamo fulani ya kimaendeleo na kupiga hatua.

Arusha msifanye makosa CHADEMA na CCM ni either Bananga au Mrisho Gambo
Umeula wa chuya Lema mitano tena
 
Ni machale yangu binafsi,sina proof yeyote..

Kikwangu Kuamini kitu sio lazima unipe proof,ni maamuzi yangu kuamini nachotaka,ilmradi sijakuingilia wewe au yule!

Sasa,unanipangia cha kuamini mzee?

Huna kazi za kufanya?

Keep wasting your time my nigga!
Hapana Mkuu, hapa tunajadiliana wote kwa uhuru kabisa. Ni vizuri kuleta vitu ambavyo vina uhalisia kidogo (Ni Ushauri tu). Sasa unapoleta hisia zako ambazo hazina ushahidi wowote, kuna wengine wanaweza kukuamini moja kwa moja kwasbb tunatofautiana uelewa. Mwingine hawezi kutofautisha Kati ya kitu halisi na hisia za mtu. Na hapo ndo utakapojikuta unaangukia kwenye dhana ya UPOTOSHAJI.
 
Aisee nampenda Lema.. ila ikipendeza amuachie Binamu Bananga

Kama mkazi niliyozaliwa Arusha, napenda kuona kuna mabadiliko fulani ya kuachiana vijiti, mimi sio muumini wa 'umimi', nadhani ni wakati Lema akamuachia Bananga, Lema apumzike tu kama Mnyika.

Mchuano wa Binamu Bananga (CHADEMA) na Mrisho Gambo (CCM) utatupatia watu bora sana kwa Arusha maana wote nimewapima kwa mizani yangu, ni viongozi wanaofaa, wana mitizamo fulani ya kimaendeleo na kupiga hatua.

Arusha msifanye makosa CHADEMA na CCM ni either Bananga au Mrisho Gambo

Umesoma ulichokiandika Ama ulituma tu bora liende?
 
Back
Top Bottom