Kumekucha bomoabomoa Ubungo-Kimara ndani ya 90m za hifadi ya barabara

Huyu mama naona wajanja washa mu win tayal yaan wanamchonganisha na wananchi pole pole atakuja shituka Mambo yashaharibika ,hasa kwenye mafuta na miamala ya kifedha hapa mama apaangalie sana Tena kwa jicho la kinabii ,Kuna wahuni wameanza kuchanga karata zao kwa akili kubwa sana .

Leo hii mtaani wameanza kumkumbuka dikteta magufuri ,mama kuwa makini sana Tena sana washaur wako ndio wako mchezoni haswaa
 
Yeah bi mkubwa ni kondoo ila amezungukwa na kundi la simba! Wabara wanawaza upigaji hawana ethics kazini wao wako ili kujijenga kimaisha by any means watajirike πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Magufuli asingeruhusu upuuzi wa aina hii, watu walikuwa wanaogopa kupeleka proposal za kipumbavu maana angezipiga chini tuπŸ˜…!

Watamkumbuka sana tu maana sahizi wapigaji hawatakuwa wanawajibishwa zaidi ya kuandikishwa barua tu
 
Unaposema wanamfitinisha maana yake yeye hana akili au uelewa wa kuja nini baya na nini zuri?
 
Hiv huu ni ubomoaji wa awamu ya pili? mbona kuna ubomoajiulishafanyikaga kabla ya upanuzi uliokwisha fanywa tayari
 
Hapo uchonganishi upo wapi?
Alichosema nawe umekirudia.
Mkuu siku hizi kichwa hakiko sawa na Kama ukimshabikia jiwe kuua watu basi ujue hii ni karma,itawafuata wote walioshiriki mauaji na utesaji uliofanyika.
Yalianza na sabay
 
Form inasema bucha mwisho resort ila kwa sifa watapiga hadi kimara mwisho.
il namwonea sana huruma yule jamaa mwenye mashine ya kupasua mbao pale kimara mwaka jana mwezi wa 7 kauziwa lile eneo 20 milioni sijui itakuwaje .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…