Kumekucha: CHADEMA yatoa ratiba ya wiki ya Maandamano, Tundu Lissu kuongoza Mikoa Mitano

Kumekucha: CHADEMA yatoa ratiba ya wiki ya Maandamano, Tundu Lissu kuongoza Mikoa Mitano

View attachment 2967314

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba yale Maandamano yatakayofanyika Dunia nzima, ya kupinga Ugumu wa Maisha Nchini Tanzania na ambayo pia yanapinga Sheria mbovu za Uchaguzi nchini humo, Ratiba yake imetolewa Rasmi.

Ratiba hiyo Kabambe imetangazwa na Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema.

Habari zinaeleza kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu amepangiwa kuvurumisha Maandamano hayo katika mikoa mitano ambayo ni Arusha, Manyara, Singida, Dodoma na Morogoro.

Usiondoke JF, hii ni kwa sababu kuna taarifa zaidi zinakuja.
=======
Taarifa nyingine inaonyesha kwamba Mwamba Kabisa Freeman Mbowe atavurumisha Maandamano hayo Bukoba Mjini , Shinyanga , Geita , Bariadi Mjini , Musoma Mjini , Mwanza , Tanga na Kilimanjaro
Hongera kwa Mbowe na Lisu posho watakazopata za hizo safari si haba

Ruzuku ya Chadema wanaifaidi kwa kweli
 
Mambo ya uchaguzi ndiyo fahari ya mwanasiasa ...tozo wananchi wamepigwa wakachakaa hatukuwahi kusikia mwanasiasa anaitisha maandamano

..moja ya ajenda za maandamano ni kupinga hali ngumu ya uchumi inayosababishwa na sera mbovu za Ccm.

..tozo na kodi kubwa wanazolipishwa wananchi ni sehemu mojawapo ya sera mbovu za uchumi za Ccm.
 
View attachment 2967314

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba yale Maandamano yatakayofanyika Dunia nzima, ya kupinga Ugumu wa Maisha Nchini Tanzania na ambayo pia yanapinga Sheria mbovu za Uchaguzi nchini humo, Ratiba yake imetolewa Rasmi.

Ratiba hiyo Kabambe imetangazwa na Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema.

Habari zinaeleza kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu amepangiwa kuvurumisha Maandamano hayo katika mikoa mitano ambayo ni Arusha, Manyara, Singida, Dodoma na Morogoro.

Usiondoke JF, hii ni kwa sababu kuna taarifa zaidi zinakuja.
=======
Taarifa nyingine inaonyesha kwamba Mwamba Kabisa Freeman Mbowe atavurumisha Maandamano hayo Bukoba Mjini , Shinyanga , Geita , Bariadi Mjini , Musoma Mjini , Mwanza , Tanga na Kilimanjaro
unazungumzia jogging 🐒
 
View attachment 2967314

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba yale Maandamano yatakayofanyika Dunia nzima, ya kupinga Ugumu wa Maisha Nchini Tanzania na ambayo pia yanapinga Sheria mbovu za Uchaguzi nchini humo, Ratiba yake imetolewa Rasmi.

Ratiba hiyo Kabambe imetangazwa na Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema.

Habari zinaeleza kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu amepangiwa kuvurumisha Maandamano hayo katika mikoa mitano ambayo ni Arusha, Manyara, Singida, Dodoma na Morogoro.

Usiondoke JF, hii ni kwa sababu kuna taarifa zaidi zinakuja.
=======
Taarifa nyingine inaonyesha kwamba Mwamba Kabisa Freeman Mbowe atavurumisha Maandamano hayo Bukoba Mjini , Shinyanga , Geita , Bariadi Mjini , Musoma Mjini , Mwanza , Tanga na Kilimanjaro
Fanyeni mikutano, maandamano yameshagoma,labda kama ni ya kupitia watu kama ngoma ya mdundiko
 
Maandamano yaliyofanyika yalileta nini?
Upinzani mnawafanya wananchi wajinga
Maandamano hayana impact yoyote hamgusi kunakohusika
Yote serikali inafanya mnaangaalia hamuitishi vyombo vya habari..

Mpo kimyaaaaaa
Mnakuja kutuambia maandamano
Mstutanie!
Hilo neno la wingi hebu ondoa jiweke peke yako... sijawahi kuwa kundi moja kimawazo na malaya aisee....
 
Maandamano yaliyofanyika yalileta nini?
Upinzani mnawafanya wananchi wajinga
Maandamano hayana impact yoyote hamgusi kunakohusika
Yote serikali inafanya mnaangaalia hamuitishi vyombo vya habari..

Mpo kimyaaaaaa
Mnakuja kutuambia maandamano
Mstutanie!
Nani kakupa usemaji wa wananchi?wewe ni mwoga iliojawa na uzuzu just shut up,mtanzania atakayeguswa na yanayopiganiwa na CHADEMA ataingia mtaani kupigania anayoyaamini,matokeo ya shule za kayumba ambazo walioziasisi hata vijukuu vyao havisomi huko
 
Si mlisema jogging nzuri kiafya leo unaleta dhihaka? Afterall sijawahi onaga malaya mwenye akili hata siku moja.
kwamba second in command within cdm anamuacha mkewe, kisha sijui ana oa, au kuolewa na mzungu ndio akili, right?🐒
 
Mbona umetaja mikoa ya Tanzania tuu, vp hizo nchi zingine nani atakuwa anaongoza maandamano mana umesema ni maandamano ya dunia nzima.
 
CHADEMA ni matapeli na madalali wa siasa.ndio maana mnaendelea kupuuzwa na watanzania wote wenye akili Timamu na wanaojitambua
 
Walioiuza Bandari na Chadema nani ni madalali ?
Hakuna bandari iliyouzwa hapa nchini. Rasilimali zetu na mali zetu zote zipo salama katika mikono salama ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan.
 
Hakuna bandari iliyouzwa hapa nchini. Rasilimali zetu na mali zetu zote zipo salama katika mikono salama ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan.
Wadanganye wajinga wenzio
 
Back
Top Bottom