Kumekucha: CHADEMA yatoa ratiba ya wiki ya Maandamano, Tundu Lissu kuongoza Mikoa Mitano

Kumekucha: CHADEMA yatoa ratiba ya wiki ya Maandamano, Tundu Lissu kuongoza Mikoa Mitano


Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba yale Maandamano yatakayofanyika Dunia nzima, ya kupinga Ugumu wa Maisha Nchini Tanzania na ambayo pia yanapinga Sheria mbovu za Uchaguzi nchini humo, Ratiba yake imetolewa Rasmi.

Ratiba hiyo Kabambe imetangazwa na Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema.

Habari zinaeleza kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu amepangiwa kuvurumisha Maandamano hayo katika mikoa mitano ambayo ni Arusha, Manyara, Singida, Dodoma na Morogoro.

Usiondoke JF, hii ni kwa sababu kuna taarifa zaidi zinakuja.
=======
Taarifa nyingine inaonyesha kwamba Mwamba Kabisa Freeman Mbowe atavurumisha Maandamano hayo Bukoba Mjini , Shinyanga , Geita , Bariadi Mjini , Musoma Mjini , Mwanza , Tanga na Kilimanjaro.
---
Hatimaye Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeweka hadharani ratiba ya kufanyika kwa maandamano nchi nzima huku mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti Bara, Tundu Lissu wakigawana mikoa kuyaongoza.

Maandamano hayo ni matokeo ya mkutano wao uliofanyika Machi mwaka huu mkoani Mtwara ambako chama hicho kilikuja na Azimio la Mtwara lililolenga kufanya maandamano kwenye mikoa yote kuanzia Aprili 22 hadi Aprili 30.

Agenda za kufanyika kwa maandaano hayo ni katika kufikisha kilio cha uwepo maisha magumu kwa wananchi, kuendelea kusisitiza madai ya Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi ambayo imeshaanza kutumika.

Pia, maandamano hayo, yanalenga kupaza sauti ya namna gani nchi inaweza kukabiliana na majanga ikiwamo mafuriko ambayo yameikumba mikoa mbalimbali kwa sasa kutokana na vua zinzoendeea kunyesha nchi nzima.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Aprili 18,2024, kuhusu maandalizi ya maandamano hayo yalipofikia hadi sasa, Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje, John Mrema amesema baada ya tangazo hilo la Azimio la Mtwara, maandalizi yanaendelea kufanyika na kama chama baada ya kufanya tathimini ya mambo mbalimbali ikiwamo ya hali ya hewa na kuamua kuyagawa kwa awamu mbili.
Kumekucha nini, hao wamevimbiwa ruzuku ys serikali sasa wafanya mazoezi. Wenzio wafanya kazi wao waandamana. Wavuta bangi tu hao.
 
Maandamano yaliyofanyika yalileta nini?
Upinzani mnawafanya wananchi wajinga
Maandamano hayana impact yoyote hamgusi kunakohusika
Yote serikali inafanya mnaangaalia hamuitishi vyombo vya habari..

Mpo kimyaaaaaa
Mnakuja kutuambia maandamano
Mstutanie!
Nyumbu hao
 
Watu bado tunahangaika na mafuriko nyie mnakuja kutuandamanisha? Nyie hamna uchungu na maisha ya watanzania.
Mafuriko yanasababishwa na miundo mbinu mibovu , Tukiinga madarakani 2025 kama ilivyopangwa na Mungu tutarekebisha jambo hilo
 

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba yale Maandamano yatakayofanyika Dunia nzima, ya kupinga Ugumu wa Maisha Nchini Tanzania na ambayo pia yanapinga Sheria mbovu za Uchaguzi nchini humo, Ratiba yake imetolewa Rasmi.

Ratiba hiyo Kabambe imetangazwa na Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema.

Habari zinaeleza kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu amepangiwa kuvurumisha Maandamano hayo katika mikoa mitano ambayo ni Arusha, Manyara, Singida, Dodoma na Morogoro.

Usiondoke JF, hii ni kwa sababu kuna taarifa zaidi zinakuja.
=======
Taarifa nyingine inaonyesha kwamba Mwamba Kabisa Freeman Mbowe atavurumisha Maandamano hayo Bukoba Mjini , Shinyanga , Geita , Bariadi Mjini , Musoma Mjini , Mwanza , Tanga na Kilimanjaro.
---
Hatimaye Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeweka hadharani ratiba ya kufanyika kwa maandamano nchi nzima huku mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti Bara, Tundu Lissu wakigawana mikoa kuyaongoza.

Maandamano hayo ni matokeo ya mkutano wao uliofanyika Machi mwaka huu mkoani Mtwara ambako chama hicho kilikuja na Azimio la Mtwara lililolenga kufanya maandamano kwenye mikoa yote kuanzia Aprili 22 hadi Aprili 30.

Agenda za kufanyika kwa maandaano hayo ni katika kufikisha kilio cha uwepo maisha magumu kwa wananchi, kuendelea kusisitiza madai ya Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi ambayo imeshaanza kutumika.

Pia, maandamano hayo, yanalenga kupaza sauti ya namna gani nchi inaweza kukabiliana na majanga ikiwamo mafuriko ambayo yameikumba mikoa mbalimbali kwa sasa kutokana na vua zinzoendeea kunyesha nchi nzima.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Aprili 18,2024, kuhusu maandalizi ya maandamano hayo yalipofikia hadi sasa, Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje, John Mrema amesema baada ya tangazo hilo la Azimio la Mtwara, maandalizi yanaendelea kufanyika na kama chama baada ya kufanya tathimini ya mambo mbalimbali ikiwamo ya hali ya hewa na kuamua kuyagawa kwa awamu mbili.

==================

Opposition party CHADEMA has publicly announced the schedule for nationwide demonstrations, with the party's chairman, Freeman Mbowe, and the Vice Chairman for Mainland, Tundu Lissu, dividing the regions to lead them.

These demonstrations are the result of their meeting held in March this year in Mtwara region, where the party came up with the Mtwara Resolution, which aimed to organize demonstrations in all regions from April 22nd to April 30th.

The objectives of these demonstrations are to address the hardships faced by the citizens, continue to emphasize the demand for a new constitution, and advocate for an Independent Electoral Commission, which is already in operation.

Additionally, these demonstrations aim to raise awareness on how the country can cope with disasters, including the current floods affecting various regions due to ongoing heavy rainfall throughout the country.
The only problem with chadema is that it concentrates more with chagas who are well known for their theft.
 
Kwani hujui kama wachaga ni wezi. Angalia hata upadre au wachungaji kwa Sasa wachaga ndo wamejaa baada ya kuona wizi huko hauna auditing. Ruwaich mchaga, askofu wa kigoma mchaga, nk
Wameiba nini ?
 

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba yale Maandamano yatakayofanyika Dunia nzima, ya kupinga Ugumu wa Maisha Nchini Tanzania na ambayo pia yanapinga Sheria mbovu za Uchaguzi nchini humo, Ratiba yake imetolewa Rasmi.

Ratiba hiyo Kabambe imetangazwa na Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema.

Habari zinaeleza kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu amepangiwa kuvurumisha Maandamano hayo katika mikoa mitano ambayo ni Arusha, Manyara, Singida, Dodoma na Morogoro.

Usiondoke JF, hii ni kwa sababu kuna taarifa zaidi zinakuja.
=======
Taarifa nyingine inaonyesha kwamba Mwamba Kabisa Freeman Mbowe atavurumisha Maandamano hayo Bukoba Mjini , Shinyanga , Geita , Bariadi Mjini , Musoma Mjini , Mwanza , Tanga na Kilimanjaro.
---
Hatimaye Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeweka hadharani ratiba ya kufanyika kwa maandamano nchi nzima huku mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti Bara, Tundu Lissu wakigawana mikoa kuyaongoza.

Maandamano hayo ni matokeo ya mkutano wao uliofanyika Machi mwaka huu mkoani Mtwara ambako chama hicho kilikuja na Azimio la Mtwara lililolenga kufanya maandamano kwenye mikoa yote kuanzia Aprili 22 hadi Aprili 30.

Agenda za kufanyika kwa maandaano hayo ni katika kufikisha kilio cha uwepo maisha magumu kwa wananchi, kuendelea kusisitiza madai ya Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi ambayo imeshaanza kutumika.

Pia, maandamano hayo, yanalenga kupaza sauti ya namna gani nchi inaweza kukabiliana na majanga ikiwamo mafuriko ambayo yameikumba mikoa mbalimbali kwa sasa kutokana na vua zinzoendeea kunyesha nchi nzima.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Aprili 18,2024, kuhusu maandalizi ya maandamano hayo yalipofikia hadi sasa, Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje, John Mrema amesema baada ya tangazo hilo la Azimio la Mtwara, maandalizi yanaendelea kufanyika na kama chama baada ya kufanya tathimini ya mambo mbalimbali ikiwamo ya hali ya hewa na kuamua kuyagawa kwa awamu mbili.

==================

Opposition party CHADEMA has publicly announced the schedule for nationwide demonstrations, with the party's chairman, Freeman Mbowe, and the Vice Chairman for Mainland, Tundu Lissu, dividing the regions to lead them.

These demonstrations are the result of their meeting held in March this year in Mtwara region, where the party came up with the Mtwara Resolution, which aimed to organize demonstrations in all regions from April 22nd to April 30th.

The objectives of these demonstrations are to address the hardships faced by the citizens, continue to emphasize the demand for a new constitution, and advocate for an Independent Electoral Commission, which is already in operation.

Additionally, these demonstrations aim to raise awareness on how the country can cope with disasters, including the current floods affecting various regions due to ongoing heavy rainfall throughout the country.
hamjawahi kufanikiwa na hiyo jogging yenu , mama alishasema andamaneni mkifika mwisho ongeeni mkimaliza nendeni nyumbani
 
Rsimali fedha za nchi. Wananyonya mpaka mifupa. Halafu wanavutana wao kwa wao ndo mana hatuwezi kuwapa nchi mana serikali yote itageuzw kuwa ya wachaga kama ilivyo TRA nk
Kwani TRA si ni mali ya CCM au nayo ccm ni chama cha wachaga ?
 
Rsimali fedha za nchi. Wananyonya mpaka mifupa. Halafu wanavutana wao kwa wao ndo mana hatuwezi kuwapa nchi mana serikali yote itageuzw kuwa ya wachaga kama ilivyo TRA nk
waezi wa naanza kabla hata hawajapata nchi wakipata si nchi itabaki mifupa jamani
 
Jogging inaanza tena mafanikio yake ni kupata jina jipya la tume huru!
hahaaaaa nimecheka kwa sauti yaani walichofanikiwa ni kupata jina jipya la tume ya uchaguzi wakafurahiiiiiiiii kuwa maandamano yao yamezaa matunda uwiiiiii hamnazo kweli chadema
 
Back
Top Bottom