Kumekucha: CHADEMA yatoa ratiba ya wiki ya Maandamano, Tundu Lissu kuongoza Mikoa Mitano

Kumekucha nini, hao wamevimbiwa ruzuku ys serikali sasa wafanya mazoezi. Wenzio wafanya kazi wao waandamana. Wavuta bangi tu hao.
 
Nyumbu hao
 
Watu bado tunahangaika na mafuriko nyie mnakuja kutuandamanisha? Nyie hamna uchungu na maisha ya watanzania.
Mafuriko yanasababishwa na miundo mbinu mibovu , Tukiinga madarakani 2025 kama ilivyopangwa na Mungu tutarekebisha jambo hilo
 
The only problem with chadema is that it concentrates more with chagas who are well known for their theft.
 
Weka ushahidi .
Kwani hujui kama wachaga ni wezi. Angalia hata upadre au wachungaji kwa Sasa wachaga ndo wamejaa baada ya kuona wizi huko hauna auditing. Ruwaich mchaga, askofu wa kigoma mchaga, nk
 
Kwani hujui kama wachaga ni wezi. Angalia hata upadre au wachungaji kwa Sasa wachaga ndo wamejaa baada ya kuona wizi huko hauna auditing. Ruwaich mchaga, askofu wa kigoma mchaga, nk
Wameiba nini ?
 
hamjawahi kufanikiwa na hiyo jogging yenu , mama alishasema andamaneni mkifika mwisho ongeeni mkimaliza nendeni nyumbani
 
Rsimali fedha za nchi. Wananyonya mpaka mifupa. Halafu wanavutana wao kwa wao ndo mana hatuwezi kuwapa nchi mana serikali yote itageuzw kuwa ya wachaga kama ilivyo TRA nk
Kwani TRA si ni mali ya CCM au nayo ccm ni chama cha wachaga ?
 
Rsimali fedha za nchi. Wananyonya mpaka mifupa. Halafu wanavutana wao kwa wao ndo mana hatuwezi kuwapa nchi mana serikali yote itageuzw kuwa ya wachaga kama ilivyo TRA nk
waezi wa naanza kabla hata hawajapata nchi wakipata si nchi itabaki mifupa jamani
 
Jogging inaanza tena mafanikio yake ni kupata jina jipya la tume huru!
hahaaaaa nimecheka kwa sauti yaani walichofanikiwa ni kupata jina jipya la tume ya uchaguzi wakafurahiiiiiiiii kuwa maandamano yao yamezaa matunda uwiiiiii hamnazo kweli chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…