Kumfunga Maria jela miaka 22 kisa nyama ya swala ni matokeo ya kuwa na wanasheria waliokosa hekima na busara

Kumfunga Maria jela miaka 22 kisa nyama ya swala ni matokeo ya kuwa na wanasheria waliokosa hekima na busara

Wakati nimetoka kumwangalia Mwigulu Nchemba anatikisa tambi lake mtandaoni akishangilia ushindi wa Yanga, ghalfla nikakutana na picha ya huyu dada sijui ni bibi hata sielewi, she is in such despair, yaani anatia huruma sana.

Kafungwa 22 years kisa nyama ya swala, mbona hukumu kali sana?! Hakuna mbadala?!

Anyway, kwakuwa Rais ni mwanamke, basi mi namwomnea msamaha kwa mwanamke mwenzake ambae ni Rais, Mh.SSH, fanya fair tu, mwachie bhanaaa, imagine she was your daughter, daah, inauma sana, please mwachie...
F86A3B94-684B-4C33-A17B-543A1F0EDB1F.jpeg




F48CFCB7-6ADE-4B90-B2D5-9DD76CB9AC8F.jpeg
 
Ukiua tembo mmoja miaka 50 jela na utalipa fidia ya millioni 50.

Ila tembo akikuua familia yako itapata pole ya sh. Million 1 tu.

Ndo kinachofanyika huko kusini . People are die daily
Ingekua tembo akikuua familia inapata Milioni 100 si tungewekana njiani ili familia zetu zipate mgao
 
Mijizi ya CAG mnaiacha inadunda mtaani mnakuja kumfunga Mwanamke ambaye hata hakujua ni nyama ya nini, mwanamke ambaye hata huyo swala hasingeweza kumkamata, mwanamke ambaye pengine yeye na Familia yake wanalala chini, mlo mmoja, kaletewa nyama ya mbuzi auze kumbe ni ni swala, yeye ni mkemia mpaka ajue huyu ni Swala?

Miaka 22 kwa nyama yenye thaman ya laki tisa?

Kwamba kupitia hiyo nyama, angekuwa tajiri kama walivyo majizi yenu ya CAG?

Upumbavu, ufedhuli, ujinga, ukosefu wa Hekima na Busara aliouonesha huyu Hakimu unaadhihirisha aina ya Wanasheria uchwara tulionao hapa Nchini.

View attachment 2805999
Hii inakatisha tamaa,lkn Mungu yupo huenda anamakusudi yake,kumfunga mtoto wa kike miaka yote hiyo je wangapi wataathirika na hukumu hii? Anyway anayehukumu Leo Naye anasubiri kuhukumiwa after life
 
Wakati nimetoka kumwangalia Mwigulu Nchemba anatikisa tambi lake mtandaoni akishangilia ushindi wa Yanga, ghalfla nikakutana na picha ya huyu dada sijui ni bibi hata sielewi, she is in such despair, yaani anatia huruma sana.

Kafungwa 22 years kisa nyama ya swala, mbona hukumu kali sana?! Hakuna mbadala?!

Anyway, kwakuwa Rais ni mwanamke, basi mi namwomnea msamaha kwa mwanamke mwenzake ambae ni Rais, Mh.SSH, fanya fair tu, mwachie bhanaaa, imagine she was your daughter, daah, inauma sana, please mwachie...View attachment 2806380



View attachment 2806381
Sheria za uonezi uliopitiliza
 
Back
Top Bottom