- Thread starter
- #61
Wewe utakuwa huna mume bali una mwanaume tu. Kauli zako zinaashiria kuwa wewe ni gume gume wanaume wanafunua na kufunika kisha wanasepaMbona mtakufa kwa magonjwa ya moyo kwa kulazimisha kutawala wanawake kwa mabavu? Usimpeleke binti yako shule wala usimfundishe kutafuta hela ili akawe mke bora.
Endeleeni kuoa na wakati hamna akili halafu myanze kulialia wakati mliambiwa kuishi na mwanamke yataka akili.