Kumi bora yangu ya wakati wote ya nyimbo kali za muziki wa Congo

Kumi bora yangu ya wakati wote ya nyimbo kali za muziki wa Congo

Nimepoteza kipenzi changu nchini Tanzania.... Kama kule Arushaaa, sijui

afu kuna Bongweee booongwe ... bongwe ndima ...... Mayaula Mayoni....

Afu kuna kale kawimbo ... Twende Nairobiiii tukamwone baba Moi,..... Nadhani ni Mbilia Bel

Kunan kale kanaimbwa " Walisema mimi ooooh mimi.. mimi. ... Tutakufa bute tutakufa bure... bure oooooh bure bure..

Afu kuna kifaaa. kinaimbwa... Ela Kala boyieng eeeeh oooohh...

Nyingine mtajua wemyewe
Pepe Kale & Empire Bakuba (tafuta hizi pia; Nina, Moyibi, Amour Perdu)

Fred Mayaula Mayoni ( Tafuta pia; pesa position, Mizele)

Mbilia Bell (Tafuta pia; Beyanga, Phenena, Eswi yo wapi, Tika Bazuwa)

Tshala Muana aka Elizabeth Munikai (Tafuta pia; Kokola, Nasi Nabali, Karibu yangu)

Wenge BCBG (Tafuta pia; kin E bouge, Hi Ho Ha)
 
Upande wangu kwenye bolingo bana hakuna kinachonivutia kama wale jamaa wapiga solo na rythim wa zamani walikuwa wanajua aisee salute kwao...

-jmpiana-wenge(BCBG)titanic
-werason-sololabien
Awilo-karolina lile solo lakumalizia verse ya mwisho[emoji114]
-extra musica-ndombolo
-awilo-gate or coin
- extra musica-fred Nelson
-extra musica-rogaroga....


Matchatcha-diblo dibala
Lucien bokilo-aziza
Kanda bongo-billi
Bozi boziana-palpitation
Sasa hapa kulikuwa na battle ya hizi mtu
1. Diblo Dibala
2. Dally Kimoko
3. Lokasa ya Mbongo
 
Nmeusoma Uzi kwa umakini, ila nmeshindwa kuja na Top 10 maana nyimbo zote ni kali, tungefanya labda TOP 50 ndugu mleta Uzi.......Anyway nmewaletea TOP 10 ya Wapiga Gitaa Bora Wa Muda Wote wa CONGO[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]


1.Diblo Dibala
2.Dally Kimoko
3.Lokassa Ya Mbongo
4.Kimbangu Solo
5.Ngouma Lokito
6.Nene Tchakou
7.Phellipe Ferreira "Saladin"
8.Alain Makaba
9.Roga Roga
10.Sonor Digital
Ukitaka kupata ladha ya Hawa jamaa sikiliza pini za Soukous stars maana wengi walikuwa wanapiga solo Kule. Kuna wakati walikuwa wanapiga kolabo humo asee. Ila Diblo alikuwa anapiga solo mpaka gitaa linaongea, saladine alikuwa anapiga Ile long pitched solo halafu huku Kuna kasauti ka rapa kanamchombeza "Saladine ....... Saladine"
Dally Kimoko wimbo ukianza tu kama yumo utasikia "Dallyyyyyyy Kimoko"

Nene Tchakou yeye wakianza kutwanga sebene baada ya verse ndio unasikia "Nene Tchakou Tchakou Tchakou" dah nyieee

Halafu kulikuwa na mtu anaitwa Lofombo na gitaa lake la base Kule Empire Bakuba
 
Muhuni aliyeflow kwenye effrakata ni wa moto saana

Ila yule super tall wa exttra ndio rapa pekee namjua, sijui kwanini ngoma za kikongo sisi mashabiki wa juu juu kuwajua marapa ni kazi.
 
Top 10 Congolese hits of all time kwangu ni:
1. Maria De Mi vida - Mujos, Kwamy,Simaro (TP OkK Jazz)
2.Exhibtion Dechauld - Dr Nico Kasanda (African Fiesta)
3.Jeancy - Papa Wemba ( Viva La Musica)
4. Rendez-vous - Redy Amisi
5. Aruna - Dr. Nicolai Kasanda
6.Merengue President - Dr Nicolai Kasanda
7. Ba Jeu De Coin - Mbilia Bel (L'Afrisa International)
8. Amina - Super Mazembe
9. Trouble - Mangelepa
10. Les Immortels - Franklin Boukaka
Hapo Kwa Ready Amisi umenikumbusha LIBALA halafu Kuna siku nilimkuta jamaa mmoja wa FM academia enzi anauimba vizuri kinoma
 
Yondo sister haimbi rumba wala sebene... ile style inaitwaje sijui..ila wapo na akina soukous ,bongo man,


Ila kiukweli kuna 2 aliziotea
1.sexy yondo
3.ngoma za kwetu
Yondo alikuwa anaimba style inaitwa Soukous pia lakini pia Kuna baadhi ya nyimbo chache aliimba za Rhumba hasa kwenye solo album tofauti na zile alizokuwa aliimba na Soukous Stars
 
Kuna jamaa anasema diblo anapiga solo inalia kama chura[emoji23] ila solo ya kimoko kwenye wapi yo ya yondo ni hatar
Diblo solo yake ilikuwa inaongea asee, sikiliza wimbo unaitwa Ok Madame utaisikia vizuri
 
Muhuni aliyeflow kwenye effrakata ni wa moto saana

Ila yule super tall wa exttra ndio rapa pekee namjua, sijui kwanini ngoma za kikongo sisi mashabiki wa juu juu kuwajua marapa ni kazi.
Anaitwa Killa Mbongo
 
Sijaona anayemtaja Franco Lwambo Makiadi.......mamou, nabiso candidat...Mobutu Sesse
 
Sasa hapa kulikuwa na battle ya hizi mtu
1. Diblo Dibala
2. Dally Kimoko
3. Lokasa ya Mbongo
Napenda kuskiliza kipindi kile cha RFA mtangazi wake charles machugu bolingo time kila j-nne na j-tano mapini yote makali nayapatia hapo.
 
Nawasalimu kwa jina la Chama pendwa.

Kabla sijataja kumi bora yangu ya nyimbo za muziki wa Congo (Kinshasa & Brazaville) ni lazima tukubali tu kwamba bado rhumba na dansi ni miziki inayopendwa toka rohoni kabisa ila media zinatulazimisha tuone ni miziki iliyopitwa na wakati. Hadi leo hii Club au hata kwenye sherehe likiachiwa sebene la Etat Major au Pentagone ya Wenge huwa kunatokea msisimko wa ajabu. Kwangu mimi kusema Bongo flava ni bora kuliko dansi na rhumba ni kichekesho.

Top ten zangu ziko mbili. Ya kwanza ni muziki wa dansi kwa ujumla na ya pili ni rhumba ambayo naweza sema labda ndo slow jams ya kiafrika.

Kumi bora hii hapa:
1. Losambo - EXTRA MUSICA
2. Droit de Veto - KOFFI OLOMIDE
3. Titanic - WENGE MUSICA BCBG
4. Pentagone - WENGE MUSICA BCBG
5. Amnistie Shalai - EXTRA MUSICA
6. Effrakata - KOFFI OLOMIDE
7. Solola Bien - WENGE MUSICA MAISON MERE (WERRASON)
8. Original - FALLY IPUPA
9. Decompte final - SUZUKI
10. Gate le coin - AWILO LONGOMBA

Kumi bora ya rhumba hii hapa;
1. Omba - JB MPIANA
2. Feux de l'amour - JB MPIANA
3. Vita Imana - FERRE GOLA
4. Airways - KOFFI OLOMIDE
5. Attente - FALLY IPUPA
6. Une Minute - FALLY IPUPA
7. Fatmata - SAM MANGWANA
8. Number two - KOFFI OLOMIDE
9. 100 Kilos - FERRE GOLA
10. Blandine - WERRASON

Kama una top ten yako tuambie pia.

Dah... hii ni kazi ngumu sana kuchagua nyimbo kumi tu bora za Kongo, maana jamaa wametawala kwa miaka mingi sana muziki wa Afrika kabla ya waNaijeria kuibuka na kuanza kuwakimbiza na African Queen ya 2Face Idibia mpaka sasa hivi wameshawapiku.

Ila ngoja nijitihadi, kama ifuatavyo:
  1. King Kester Kemenya - wimbo unaitwa Dandy, ila kuanzia katikati muziki unapochanganya (shoo ya tombola tombola kidekule) hii hapa =>
  2. Madilu System - Sa Majeste
  3. Suzuki - Decompte
  4. Mopao - Loi
  5. Extra Musica - Etat Major
  6. JB Mpiana - Kipe yayo! (Lopele)
  7. General Def. Defao Matumona - Famille Kikuta (Papaye)
  8. Pepe Kalle - La Rhumba
  9. Mopao - Danger de mort
  10. Fally Ipupa - Allo Telephone (sekunde 100 za kwanza tu, kacompose kitu kizuri sana ila baada ya hapo kaharibu) -
 











 

Attachments

Upande wangu kwenye bolingo bana hakuna kinachonivutia kama wale jamaa wapiga solo na rythim wa zamani walikuwa wanajua aisee salute kwao...

-jmpiana-wenge(BCBG)titanic
-werason-sololabien
Awilo-karolina lile solo lakumalizia verse ya mwisho
emoji114.png

-extra musica-ndombolo
-awilo-gate or coin
- extra musica-fred Nelson
-extra musica-rogaroga....


Matchatcha-diblo dibala
Lucien bokilo-aziza
Kanda bongo-billi
Bozi boziana-palpitation
Salute!
Upande wangu kwenye bolingo bana hakuna kinachonivutia kama wale jamaa wapiga solo na rythim wa zamani walikuwa wanajua aisee salute kwao...

-jmpiana-wenge(BCBG)titanic
-werason-sololabien
Awilo-karolina lile solo lakumalizia verse ya mwisho[emoji114]
-extra musica-ndombolo
-awilo-gate or coin
- extra musica-fred Nelson
-extra musica-rogaroga....


Matchatcha-diblo dibala
Lucien bokilo-aziza
Kanda bongo-billi
Bozi boziana-palpitation
Asante Sana! Hapo naongezea : Wapi Yo - Yondo Sister
Mbuta Mutu-Yondo Sister
Dally Kimoko alichofanya humo hakijawahi kutokea dunia nzima!
 
Yes, killa mbongo si ndio super tall wa extra musica, hugu namjua, wale wa kwenye effrakata je?
Kwenye Efrakatta kuna Sarbarty Brigade na Bebe Kerosene. Huyu Bebe Kerosene ndo anaimba kama vile ana kikohozi kimemkwama.
 
Back
Top Bottom