Kumiliki nyumba au ardhi haviwezi kukupa utajiri bali vinalaza hela, fuatana nami ujifunze experience yangu ya umiliki wa hizi mali

Mambo si ndo hayo, ingekuwa ni kodi za jengo angepata wapi hiyo 15m watu wengi ni woga unawamaliza wanakimbilia assets
Sasa nakuelewesha ndugu yangu Nyumba haijengwi kwa ajili ya kukusanya kodi. Bali kwa ajili ya kuombea mikopo banki pale unapohitaji mtaji wa kufanikisha ishu yako ya haraka. Kama wewe ni mfanyabishara mkubwa ukawa na shida ya ghafla ya m 100 kama hauna nyumba unafanyaje? Hapo ndio ma- donn wa mjini wanakuja kukupiga bao. Kuhusu Tolu mmiliki wa bucha alikuwa na nyumba tatu nzuri hapa town Na kikjijini kwao Iringa alijenga nyumba nzuri sana ya kisasa.
 
Zipo nyingi ngoja waje
 
Kama umekusudia kumsaidia MTU inatakiwa utaje na mradi unaozungushia pesa yako hiyo utakuwa umetusaidia kwa kiasi kikubwa.
 
Mimi nahangaika hapa kumbe napoteza nguvu zangu bure 😅😅😅😅😅apaa Jamiiforum Ptuu !!!
Huyo achana nae kwasababu anafikiri wanaodai haki ni mafukara
Huwezi kuacha kudai chenji ya 200 kwasababu eti una laki moja
 
Kuna mzee alinunua kiwanja 600,000 huko Daslamu nasikia alikiuza 370m+ sijui nilitaka kusema nini🐼
Kilichomsaidia ni roho ya subra, kwa mwenye haraka ya pesa hawezi kusubiri muda wote huo
Kuna watu wana haraka ya pesa anataka pesa ya moto kabla haijapoa mfano mm huwa siwezi kufanya uwekezaji wa muda mrefu
 
Sasa hao wanaoje ga apartments ni watu gani?
Na mfumo wa huko ni sawa na wa huku bongo amabpo mtoto kamaliza chuo ana dgree lakini kazi anakija pata baada ya miaka 5 ya msoto kitaa
 
Mkuu unazungumzia assets au liability maana unalaumu assets ila unasahau kwmb wewe bnafs hukuchagua biashara sahihi kwa mtaji uliokuwa nao
 
Mkuu unazungumzia assets au liability maana unalaumu assets ila unasahau kwmb wewe bnafs hukuchagua biashara sahihi kwa mtaji uliokuwa nao
Mwanzo wazo lilikuwa assets baadae nikafanya liability na mimi bahati mbaya ni mtu wa haraka nataka pesa ya moto siwezi kusubiri uwekezaji unaochelewa kuzaa, napenda kuzungusha haraka
 
Mr why ni kweli usemalo,uwekezaji wa majengo ukitegemea hela ya wapangaji,unapata hela ndogo na kwa mda mrefu sana,,lkn navyoona mimi si mbaya ukawekeza ktk hayo majengo lkn isiwe kwa asilimia kubwa, asilimia kubwa wekeza katika mzunguko mkubwa,utatoboa pia kimaisha,
Lkn pia naomba kujua ilikuwaje mtu kama Trump amepata faida kubwa kwa uwekezaji wa majengo?,je amefanyaje?,hadi kuanzisha biashara ingine tokana na hayo majengo (kama sijakosea).
 
Mwanzo wazo lilikuwa assets baadae nikafanya liability na mimi bahati mbaya ni mtu wa haraka nataka pesa ya moto siwezi kusubiri uwekezaji unaochelewa kuzaa, napenda kuzungusha haraka
Sa hukuwa na mtaji wa kueleweka na wala hukuchagua biashara sahihi so usidanganye watu humu kwmb biashara hiyo hailipi ksa wewe ilikushnda sbb hata nikikuliza hapa ulijenga nyumba ngapi na wp na kodi ulikuwa unalipisha kiasi gn hebu jbu hayo maswali tuone
 
Nikweli mkuu inachelewesha sana, Trump huwa hapangishi watu wa kipato cha chini ni sawa na wewe upangishe chumba cha 100K kwa 300K lakini pia kuna charges anaongeza mfano ataweka security ya kampuni yake mwenyewe utawalipa pia, ataweka waudumu wa kampuni yake wa kukusaidia chochote unachotaka ndani ya apartment yako utalipia pia na mazaga mengine kibao
Yaani atafanya biashara yake ndani ya apartment yako ndiyo maana anazikusanya yaani hakuachii kitu
 
Nyumba za kupangisha nilijenga Goba na Mbezi Luis hela za wale wapangaji zisingeweza kunifikisha popote kwa mtu mwenye kichaa cha hela ya haraka hela ya moto huwezi kuvumilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…