Kumlipa Clinical Officer laki 6 sio haki hata kidogo

Kumlipa Clinical Officer laki 6 sio haki hata kidogo

Kwa mujibu wa takwimu za wataalamu laki sita ni hela inayotosha kukuleta katika kituo chako cha kazi kwa siku 30 ukiwa na nguvu za kutosha kulitumikia taifa lako.
 
Hahahahahah we utakuwa unazungumzia wages mzee! Kuna wages na mshahara na hii tofauti yake ni kwenye ajira, kazi na kibarua!

Ukiona unalipwa not less than 50K per day jua upo kwenye ajira mzee. Hapa kuna ambao wanalipwa kati ya laki 1 mpaka laki 3 kwenye taasisi hizi hizi za serikali ama NGO za kimataifa. Huwezi sema ati mshahara hautoshi wakati account yako inaingiziwa 7.5M kila mwezi!

Less than 30K jua upo kwenye kazi. Hawa ni vibarua waliochangamshwa kidogo na overtimes.

Less than 20K jua unaenda kibaruani. Hawa ndio wanakula wages sema zimekuwa extended kwa mwezi tu.
Wewe ndo umeliweka vizuri, hiki kinacholipwa hapa bongolala siyo salary....ni kiposho tu ambacho kimepewa jina la mshahara na bado kinakatwa kodi. Na walivyo wajanja wameondoa allowances kwenye pay slip ili isionekane kama wanalipa peanut. Let say, chukulia mshahara wa laki 6 uvunje ili upate mshahara, housing allowance, transport allowance, utility bill (maji, umeme, simu) uone kama kuna kitu kitabaki.​
 
Kwahiyo unataka kusema nurse ndie anayetengeneza diagnosis? na treatment plan? au sio? mgonjwa anapokwenda hospitalini anaanza kwa nurse anampa matibabu alafu daktari anafuata au sio? tunapopataga dharura pale emergency usiku yule kwenye chumba cha daktari kumbe ni nurse asanteni kwa kutufungua sisi wasomi tusioelewa.
Hao wanakuwa wanabwabwaja vitu wasivyokuwa na uelewa navyo, wengine wanatumwa kukandamiza mijadala ambayo inaonekana mwiba kwa watawala, ni wa kuwapuuza tu......
 
Kwahiyo unataka kusema nurse ndie anayetengeneza diagnosis? na treatment plan? au sio? mgonjwa anapokwenda hospitalini anaanza kwa nurse anampa matibabu alafu daktari anafuata au sio? tunapopataga dharura pale emergency usiku yule kwenye chumba cha daktari kumbe ni nurse asanteni kwa kutufungua sisi wasomi tusioelewa.
Hapa tunazungumzia wingi wa kazi au aina ya majukumu yanayofanyika?

Sasa ukitaka vyote hivyo afanye nurse huyo CO atafanya kazi gani tena?
 
Hapa tunazungumzia wingi wa kazi au aina ya majukumu yanayofanyika?

Sasa ukitaka vyote hivyo afanye nurse huyo CO atafanya kazi gani tena?
Ipo hivi, zamani daktari au tabibu ndio alikuwa kila kitu. Yani kuanzia diagnosis , dawa , maabara na kila kitu. Ikaonekana ni mzigo mzito, ndipo zikamegwa taaluma saidizi ili kupunguza mzigo kwa daktari, yani allied sciences, kama unurse, maabara nk...sasa unapokuja kutudanganya hapa usidhani hatuelewi, huo ujinga wa kuwavimbia madaktari na ata kujifananisha nao ni dharau na kebei, japo kiukweli kazi yao pia sio ya maana kwa maana ya uwiano wa kazi na maslahi. manesi kwanza ndio wa hovyo kuliko, mahospitali kuchafu huduma mbaya na yote hayo yanasababishwa na manesi, kwanza lugha zao ni za ajabu ajabu, hovyo kabisa. kama CO alifeli shule, sasa wewe nesi sijui, na ndio maana hamruhusiwi kuandika dawa, kwanza ata thinking process ya ku arrive kwenye diagnosis hamna. Usitudanganye wewe, tumesoma tuna info, skuizi tunajua kutofautisha daktari na nesi.
 
Ipo hivi, zamani daktari au tabibu ndio alikuwa kila kitu. Yani kuanzia diagnosis , dawa , maabara na kila kitu. Ikaonekana ni mzigo mzito, ndipo zikamegwa taaluma saidizi ili kupunguza mzigo kwa daktari, yani allied sciences, kama unurse, maabara nk...sasa unapokuja kutudanganya hapa usidhani hatuelewi, huo ujinga wa kuwavimbia madaktari na ata kujifananisha nao ni dharau na kebei, japo kiukweli kazi yao pia sio ya maana kwa maana ya uwiano wa kazi na maslahi. manesi kwanza ndio wa hovyo kuliko, mahospitali kuchafu huduma mbaya na yote hayo yanasababishwa na manesi, kwanza lugha zao ni za ajabu ajabu, hovyo kabisa. kama CO alifeli shule, sasa wewe nesi sijui, na ndio maana hamruhusiwi kuandika dawa, kwanza ata thinking process ya ku arrive kwenye diagnosis hamna. Usitudanganye wewe, tumesoma tuna info, skuizi tunajua kutofautisha daktari na nesi.
Maliza shule kwanza. Inaonekana utoto unakusumbua sana.
 
Maliza shule kwanza. Inaonekana utoto unakusumbua sana.
Wewe acha kujimwambafai, mimi sio wa level zako, ila huwezi kudanganya watu kama watoto wadogo, wewe kama ni nesi, pambana na vinyesi na madamu yako, fani zenu kwanza wote ni za kishenzi tu. Hakuna mjanja au mtu mwenye maono ya mbali anaweza kukimbilia unesi au udaktari zama hizi, wanaoenda huko ni maboya tu, sema ndo hivo lazima wawepo wasaidie wajanja.
 
Wewe acha kujimwambafai, mimi sio wa level zako, ila huwezi kudanganya watu kama watoto wadogo, wewe kama ni nesi, pambana na vinyesi na madamu yako, fani zenu kwanza wote ni za kishenzi tu. Hakuna mjanja au mtu mwenye maono ya mbali anaweza kukimbilia unesi au udaktari zama hizi, wanaoenda huko ni maboya tu, sema ndo hivo lazima wawepo wasaidie wajanja.
Mwaka unabadilika, labda 2022 utakuwa na akili japo ya kuvukia barabara.
 
Watu wa afya mnajimwambafai sana Kumbe Scale zenu ndo utopolo ivi!? Wakati tunamaliza School Kuna masela wa PCB walienda Advance na Kugonga MD wengine wamesukuma CO yani nimepitia huu Uzi nimeona jamaa hawakupita Njia sahihi, Yani Usome MD 5 yrs uje uvute 1.5. Serious kweli!??
Njia waliopita ni sahihi ila destination sio sahihi! Mfano huyo MD unayemcheka akienda Amref ndani ya 5 yrs za mshahara wewe utafanya kazi 15yrs na bado hutamkuta kimaendeleo.

Akipiga hatua akafanikiwa kupenya UN ndio basi tena huyo gap lake kwa mwaka mmoja tu ni miaka yako 10!

Yani labda awe kilaza pro max ambaye hana ambitions katika maisha.
 
Njia waliopita ni sahihi ila destination sio sahihi! Mfano huyo MD unayemcheka akienda Amref ndani ya 5 yrs za mshahara wewe utafanya kazi 15yrs na bado hutamkuta kimaendeleo.

Akipiga hatua akafanikiwa kupenya UN ndio basi tena huyo gap lake kwa mwaka mmoja tu ni miaka yako 10!

Yani labda awe kilaza pro max ambaye hana ambitions katika maisha.
Ata akiwa nazo, si ndo mpaka apate hiyo nafasi, sio kila mmoja anaweza kwenda kwenye hizo NGOs, sasa si zitajaa?
 
In short, kama una uwezo wa kuzalisha pesa kubwa kwa mwezi kuliko kile unacholipwa kazini, ACHA KAZI.

Ila usije ukaacha kazi ukafikiri IDEAS na MOTIVATIONAL QUOTES zinalipa BILLS.

Akili kichwani.
Hahahahah akiacha kazi ndio ataona jinsi buku ilivyo na nguvu😅!

Kuikusanya laki 6 kwa hustling bila jasho na damu kukutoka sio masihara! Unahitaji so many sleepless nights to make that money unless otherwise uwe na mchongo umenyooka kuwa ukitia hela tu inaingiza hela.
 
Hahahahah akiacha kazi ndio ataona jinsi buku ilivyo na nguvu😅!

Kuikusanya laki 6 kwa hustling bila jasho na damu kukutoka sio masihara! Unahitaji so many sleepless nights to make that money unless otherwise uwe na mchongo umenyooka kuwa ukitia hela tu inaingiza hela.
Binadamu tunajisahau sana. Mara nyingi hata tukipata kidogo tunadhani tunastahili zaidi.

Leo mtu analipwa laki 6 analalamika lakini kuna watu wenye taaluma kama yake hawapati hata 100 mbovu🤣.

Maisha yasikie tu.

Unaweza kuona CO anafanya kazi kwenye NGO anakunja 3M ukatamani. Lakini acha kazi uone kama utaweza kupata hata hiyo laki 6 kwa mwezi.

Mimi nashukuru Mungu maisha niliyopitia yamenifunza kuangalia kila kitu kwa UHALISIA.

Kwenye maisha usipende sana kuishi kwa "INGELIKUWA HIVI, NINGE......."

Hicho unachokiona ndio halali yako kwa wakati huo.

Tembea mtaani uone watu wanarogana mpaka kwenye vibarua vya kulipwa 40,000 kwa mwezi.
 
Hii tanzania mishahara nimidogo kwenye kila idara


Hebu mfikirie MD amesoma chekechea mpaka chuoni miaka 20 plus ...kutengeneza carier halafu unalipwa 1.48M per month na unafanya kazi masaa 8*6 *4 inakuwa ni saa 192......sasa chukua 1.48m gawanya kwa 192 utaona wanalipwa sh 7710 kwa saa.....yaaani unasoma miaka 20plus uje utengeneze 7710 kwa saa.......

Kama taifa inabidi tu wekeze kwa watu wanaodeliver......haiwezekani wanasiasa wanalipwa mishahara minono zaidi ya hawa raia
 
Binadamu tunajisahau sana. Mara nyingi hata tukipata kidogo tunadhani tunastahili zaidi.

Leo mtu analipwa laki 6 analalamika lakini kuna watu wenye taaluma kama yake hawapati hata 100 mbovu🤣.

Maisha yasikie tu.

Unaweza kuona CO anafanya kazi kwenye NGO anakunja 3M ukatamani. Lakini acha kazi uone kama utaweza kupata hata hiyo laki 6 kwa mwezi.

Mimi nashukuru Mungu maisha niliyopitia yamenifunza kuangalia kila kitu kwa UHALISIA.

Kwenye maisha usipende sana kuishi kwa "INGELIKUWA HIVI, NINGE......."

Hicho unachokiona ndio halali yako kwa wakati huo.

Tembea mtaani uone watu wanarogana mpaka kwenye vibarua vya kulipwa 40,000 kwa mwezi.
Mkuu hii haiondoi ukweli kwamba maslahi kibongobongo ni kidogo sana....
 
Back
Top Bottom