TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Upo gang lipi?.... gang mnajulikana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo gang lipi?.... gang mnajulikana.
Aidha Una uelewa mdogo, una mahaba ya hovyo kwa Samia, Una ujinga au labda hujasoma mada na kuielewaSukuma gang mnajulikana.
Ma Ccm !! 😅 !Abso-effin-lutely.
Hakuna njama za wanaume kumchafua Samia.
Njama zilizopo ni za maCCM tu.
Hutaki kuwa controlled na watu wa PR 😁😁Fair point!
Na ndio maana mimi simuiti ‘mama’ huyo Samia.
The gang got you triggered!Sukuma gang mnajulikana.
Kwa kifupi Mwanamke hapaswi kupewa madaraka makubwa ya kuongoza nchi,anapaswa aongozwe.Msimamo wangu unajulikana. Nausimamia bila chembe ya soni.
Na ndani kabisa katika kilindi cha moyo wangu, najua kuwa niko sahihi. Tena sahihi kabisa.
Lakini kuna suala moja ambalo nimeanza kuliona humu ambalo halinipendezi hata kidogo.
Hii habari ya kuuhusisha uwezo duni wa Rais Samia na wanawake wengine wote nchini!!
Nasoma soma hapa na pale pindi nipatapo wasaa wa kufanya hivyo humu [isomeke: pale mtu anaponinunulia salio la mtandao[emoji3]. Umaskini mbaya nyie watu….usikieni kwa mbali tu].
Naweza kusema mara nyingi sasa nimeona watu wakisema humu kuwa Rais Samia kathibitisha kuwa wanawake hawafai kabisa katika nyanja za uongozi…wengine wanasema kuwa Rais Samia ndo keshawaharibia fursa wanawake wenye ndoto za kupata nafasi za juu za kiuongozi, n.k.
Kuna makosa kadhaa hapo ya kimantiki ambayo yananifanya nihoji pia uwezo wa kiakili wa watu wanaoshikilia aina hiyo ya mitazamo;
1. Kushindwa kutenganisha uwezo wa mtu binafsi na badala yake kuuhusisha utovu wake wa uwezo wa kiuongozi na jinsia nzima yenye mamilioni ya watu nchini, ni uwezo duni wa kufikiri.
How come I am able to [easily] compartmentalize her serious lacking of leadership ability and separate it from her gender and therefore not lump all the women together with her? Seriously, how come?
2. Kosa jingine la kimantiki ni; Kama Rais Samia kaonyesha kuwa wanawake hawafai katika nyanja za uongozi wa juu kitaifa, ina maana wanaume ndo wanafaa?
Mpaka kufikia hivi sasa, kati ya marais 6 ambao tumewahi kuwa nao, watano ni wanaume. Mwanamke ni Samia tu.
Ina maana hao wanaume watano wote walifanya kazi maridadi sana katika vipindi vyao vya uongozi?
Walikuza GDP kwa viwango vikubwa sana? Waliboresha viwango vya maisha vya Mtanzania? Walitengeneza ajira nyingi na zilizo bora kwa Watanzania? Walifuta kabisa deni la taifa? Walikuza demokrasia? Walilinda na kutetea haki za watu?
Kama kuna kati ya hao watano wanaume ambao hawakuwa viongozi wazuri, kwa nini hatukusikia maneno ya kuwa hao ambao hawakuwa viongozi wazuri wamethibitisha kuwa wanaume hawafai kushikilia nafasi za juu za kiuongozi nchini?
Zaidi ya miaka 60 ya uhuru, Tanzania bado ni nchi maskini ya kutupwa. Tuko wa mwisho mwisho karibu kwenye kila kigezo cha ubora wa maisha.
Sehemu pekee ambayo tupo juu juu kidogo ni jeshi. Jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
But seriously, kama marais wanaume ambao hawakuwa na uwezo mzuri wa kiuongozi hawatumiki kuwa ndo kigezo cha kusema kwamba wanaume hawafai kuwa viongozi, kwa nini Samia ndo atumike kama kigezo cha kusema kwamba wanawake hawafai kuongoza?
Ambaye hafai ni Rais Samia. Siyo wanawake.
Deuces [emoji3577].
hili nalo linakuuma, linakuumiza, linakukwaza na kukusumbua kichwa kweli?Msimamo wangu unajulikana. Nausimamia bila chembe ya soni.
Na ndani kabisa katika kilindi cha moyo wangu, najua kuwa niko sahihi. Tena sahihi kabisa.
Lakini kuna suala moja ambalo nimeanza kuliona humu ambalo halinipendezi hata kidogo.
Hii habari ya kuuhusisha uwezo duni wa Rais Samia na wanawake wengine wote nchini!!
Nasoma soma hapa na pale pindi nipatapo wasaa wa kufanya hivyo humu [isomeke: pale mtu anaponinunulia salio la mtandao😀. Umaskini mbaya nyie watu….usikieni kwa mbali tu].
Naweza kusema mara nyingi sasa nimeona watu wakisema humu kuwa Rais Samia kathibitisha kuwa wanawake hawafai kabisa katika nyanja za uongozi…wengine wanasema kuwa Rais Samia ndo keshawaharibia fursa wanawake wenye ndoto za kupata nafasi za juu za kiuongozi, n.k.
Kuna makosa kadhaa hapo ya kimantiki ambayo yananifanya nihoji pia uwezo wa kiakili wa watu wanaoshikilia aina hiyo ya mitazamo;
1. Kushindwa kutenganisha uwezo wa mtu binafsi na badala yake kuuhusisha utovu wake wa uwezo wa kiuongozi na jinsia nzima yenye mamilioni ya watu nchini, ni uwezo duni wa kufikiri.
How come I am able to [easily] compartmentalize her serious lacking of leadership ability and separate it from her gender and therefore not lump all the women together with her? Seriously, how come?
2. Kosa jingine la kimantiki ni; Kama Rais Samia kaonyesha kuwa wanawake hawafai katika nyanja za uongozi wa juu kitaifa, ina maana wanaume ndo wanafaa?
Mpaka kufikia hivi sasa, kati ya marais 6 ambao tumewahi kuwa nao, watano ni wanaume. Mwanamke ni Samia tu.
Ina maana hao wanaume watano wote walifanya kazi maridadi sana katika vipindi vyao vya uongozi?
Walikuza GDP kwa viwango vikubwa sana? Waliboresha viwango vya maisha vya Mtanzania? Walitengeneza ajira nyingi na zilizo bora kwa Watanzania? Walifuta kabisa deni la taifa? Walikuza demokrasia? Walilinda na kutetea haki za watu?
Kama kuna kati ya hao watano wanaume ambao hawakuwa viongozi wazuri, kwa nini hatukusikia maneno ya kuwa hao ambao hawakuwa viongozi wazuri wamethibitisha kuwa wanaume hawafai kushikilia nafasi za juu za kiuongozi nchini?
Zaidi ya miaka 60 ya uhuru, Tanzania bado ni nchi maskini ya kutupwa. Tuko wa mwisho mwisho karibu kwenye kila kigezo cha ubora wa maisha.
Sehemu pekee ambayo tupo juu juu kidogo ni jeshi. Jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani 🤣🤣🤣.
But seriously, kama marais wanaume ambao hawakuwa na uwezo mzuri wa kiuongozi hawatumiki kuwa ndo kigezo cha kusema kwamba wanaume hawafai kuwa viongozi, kwa nini Samia ndo atumike kama kigezo cha kusema kwamba wanawake hawafai kuongoza?
Ambaye hafai ni Rais Samia. Siyo wanawake.
Deuces ✌️.
Mbona Bangladesh inaongozwa na mwanamke!Kama Mungu mwenyewe aliyemuumba Mwanamke kaagiza kuwa Mwanaume ni kichwa(Kiongozi) na Mwanamke ni msaidizi,sisi ni nani ata tupinge!!
Kwani uko Uchina, Urusi na Marekani hakuna wanawake? mbona hawapewi usukani!
Mwanamke labda awe Chifu wa Kabila maana kule mfumo wao wanaongozwa na mizimu kufanya maamuzi!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Babble on!hili nalo linakuuma, linakuumiza, linakukwaza na kukusumbua kichwa kweli?
kwani maoni na mtazamo wako ukiwa kushoto na wengine kulia dhidi ya uwezo wa kiutendaji wa huyu muMama kuna shida gan?
kwani ni nini iko mbaya wewe usipoona na usiporidhika na mafanikio ya kimaendeleo ya huyu muMama na wengine wakaona na kuridhishwa na kazi na kasi ya kimaendeleo iliyoletwa na iliyochochewa na huyu muMama?
nimefurahishwa sana na mtazamo wako kwamba huyu muMama hajafanya vya kutosha na kwahivyo hastahili kuwa kielelezo au kiwakilishi cha kwamba wanawake wanaweza.
Nimefurahishwa zaidi na sifa kedekede ulizompatia huyu muMama kwenye uimara na ukubwa wa Jeshi letu.
Lakini nafurahi mno kwa maoni ya wengine kuwa huyu muMama anaupiga mwingi sana kwenye Elimu, Afya, Maji, miundombinu, madini, utalii, biashara, Demokrasia, utawala bora, ajira na kwa ujumla, kiuchumi, kisiasa, kijamii na kiutamaduni.
Nafurahi mno na mitazamo tofauti dhidi ya utendaji wa wa huyu muMama.
Bandiko limekaa poa sana, kula like mkuuMsimamo wangu unajulikana. Nausimamia bila chembe ya soni.
Na ndani kabisa katika kilindi cha moyo wangu, najua kuwa niko sahihi. Tena sahihi kabisa.
Lakini kuna suala moja ambalo nimeanza kuliona humu ambalo halinipendezi hata kidogo.
Hii habari ya kuuhusisha uwezo duni wa Rais Samia na wanawake wengine wote nchini!!
Nasoma soma hapa na pale pindi nipatapo wasaa wa kufanya hivyo humu [isomeke: pale mtu anaponinunulia salio la mtandao[emoji3]. Umaskini mbaya nyie watu….usikieni kwa mbali tu].
Naweza kusema mara nyingi sasa nimeona watu wakisema humu kuwa Rais Samia kathibitisha kuwa wanawake hawafai kabisa katika nyanja za uongozi…wengine wanasema kuwa Rais Samia ndo keshawaharibia fursa wanawake wenye ndoto za kupata nafasi za juu za kiuongozi, n.k.
Kuna makosa kadhaa hapo ya kimantiki ambayo yananifanya nihoji pia uwezo wa kiakili wa watu wanaoshikilia aina hiyo ya mitazamo;
1. Kushindwa kutenganisha uwezo wa mtu binafsi na badala yake kuuhusisha utovu wake wa uwezo wa kiuongozi na jinsia nzima yenye mamilioni ya watu nchini, ni uwezo duni wa kufikiri.
How come I am able to [easily] compartmentalize her serious lacking of leadership ability and separate it from her gender and therefore not lump all the women together with her? Seriously, how come?
2. Kosa jingine la kimantiki ni; Kama Rais Samia kaonyesha kuwa wanawake hawafai katika nyanja za uongozi wa juu kitaifa, ina maana wanaume ndo wanafaa?
Mpaka kufikia hivi sasa, kati ya marais 6 ambao tumewahi kuwa nao, watano ni wanaume. Mwanamke ni Samia tu.
Ina maana hao wanaume watano wote walifanya kazi maridadi sana katika vipindi vyao vya uongozi?
Walikuza GDP kwa viwango vikubwa sana? Waliboresha viwango vya maisha vya Mtanzania? Walitengeneza ajira nyingi na zilizo bora kwa Watanzania? Walifuta kabisa deni la taifa? Walikuza demokrasia? Walilinda na kutetea haki za watu?
Kama kuna kati ya hao watano wanaume ambao hawakuwa viongozi wazuri, kwa nini hatukusikia maneno ya kuwa hao ambao hawakuwa viongozi wazuri wamethibitisha kuwa wanaume hawafai kushikilia nafasi za juu za kiuongozi nchini?
Zaidi ya miaka 60 ya uhuru, Tanzania bado ni nchi maskini ya kutupwa. Tuko wa mwisho mwisho karibu kwenye kila kigezo cha ubora wa maisha.
Sehemu pekee ambayo tupo juu juu kidogo ni jeshi. Jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
But seriously, kama marais wanaume ambao hawakuwa na uwezo mzuri wa kiuongozi hawatumiki kuwa ndo kigezo cha kusema kwamba wanaume hawafai kuwa viongozi, kwa nini Samia ndo atumike kama kigezo cha kusema kwamba wanawake hawafai kuongoza?
Ambaye hafai ni Rais Samia. Siyo wanawake.
Deuces [emoji3577].
Pia hata kwenye kashfa nyingi za ukwapuaji wa rasilimali za nchi ni wanaume ila Wala hatuwahukumu Kwa jinsia zao bali Kwa makosa yao, ila Kwa Samia inahukumiwa jinsia yake ilhali site tumetokana na hawa na hawa ndio walimu wetu wa mwanzo kabisa kupitia uimara na mafundisho na malezi ndio hii Leo tuko hapa.Yes, but perception is just that! Perception.
Wanaume wangapi wameharibu na hatusemi wanaume hawafai kuongoza?
Asante Mkuu Nyani Ngabu Kwa andiko lako.Msimamo wangu unajulikana. Nausimamia bila chembe ya soni.
Na ndani kabisa katika kilindi cha moyo wangu, najua kuwa niko sahihi. Tena sahihi kabisa.
Lakini kuna suala moja ambalo nimeanza kuliona humu ambalo halinipendezi hata kidogo.
Hii habari ya kuuhusisha uwezo duni wa Rais Samia na wanawake wengine wote nchini!!
Nasoma soma hapa na pale pindi nipatapo wasaa wa kufanya hivyo humu [isomeke: pale mtu anaponinunulia salio la mtandao[emoji3]. Umaskini mbaya nyie watu….usikieni kwa mbali tu].
Naweza kusema mara nyingi sasa nimeona watu wakisema humu kuwa Rais Samia kathibitisha kuwa wanawake hawafai kabisa katika nyanja za uongozi…wengine wanasema kuwa Rais Samia ndo keshawaharibia fursa wanawake wenye ndoto za kupata nafasi za juu za kiuongozi, n.k.
Kuna makosa kadhaa hapo ya kimantiki ambayo yananifanya nihoji pia uwezo wa kiakili wa watu wanaoshikilia aina hiyo ya mitazamo;
1. Kushindwa kutenganisha uwezo wa mtu binafsi na badala yake kuuhusisha utovu wake wa uwezo wa kiuongozi na jinsia nzima yenye mamilioni ya watu nchini, ni uwezo duni wa kufikiri.
How come I am able to [easily] compartmentalize her serious lacking of leadership ability and separate it from her gender and therefore not lump all the women together with her? Seriously, how come?
2. Kosa jingine la kimantiki ni; Kama Rais Samia kaonyesha kuwa wanawake hawafai katika nyanja za uongozi wa juu kitaifa, ina maana wanaume ndo wanafaa?
Mpaka kufikia hivi sasa, kati ya marais 6 ambao tumewahi kuwa nao, watano ni wanaume. Mwanamke ni Samia tu.
Ina maana hao wanaume watano wote walifanya kazi maridadi sana katika vipindi vyao vya uongozi?
Walikuza GDP kwa viwango vikubwa sana? Waliboresha viwango vya maisha vya Mtanzania? Walitengeneza ajira nyingi na zilizo bora kwa Watanzania? Walifuta kabisa deni la taifa? Walikuza demokrasia? Walilinda na kutetea haki za watu?
Kama kuna kati ya hao watano wanaume ambao hawakuwa viongozi wazuri, kwa nini hatukusikia maneno ya kuwa hao ambao hawakuwa viongozi wazuri wamethibitisha kuwa wanaume hawafai kushikilia nafasi za juu za kiuongozi nchini?
Zaidi ya miaka 60 ya uhuru, Tanzania bado ni nchi maskini ya kutupwa. Tuko wa mwisho mwisho karibu kwenye kila kigezo cha ubora wa maisha.
Sehemu pekee ambayo tupo juu juu kidogo ni jeshi. Jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
But seriously, kama marais wanaume ambao hawakuwa na uwezo mzuri wa kiuongozi hawatumiki kuwa ndo kigezo cha kusema kwamba wanaume hawafai kuwa viongozi, kwa nini Samia ndo atumike kama kigezo cha kusema kwamba wanawake hawafai kuongoza?
Ambaye hafai ni Rais Samia. Siyo wanawake.
Deuces [emoji3577].
Uko sawa.Yaani bado hujasema.
Hapa mpaka useme.
Walioanzisha ligi ni wale walioleta hoja ya "Mama kuupiga mwingi" wakihusisha kauli hiyo na jinsi yake. Walisema mengi na mpaka Leo wanasema "Mwanamke" kaweza yaliyowashinda Wanaume 5.
Nilimsikia Mzee mmoja aliyehidumu awamu zote akisema yaliyofanywa na wanaume miaka 60, Mwanamke kayafanya Kwa miaka 2 tu.
Kwa nini anaposifiwa Kwa jinsi yake inakuwa Sawa lakini hamtaki akosolewe Kwa jinsi yake?
Nasubiri jibu toka Marekani.
Kwa wanawake wa kiafrika bado sana kustahili kupewa uongozi wa juu wa nchi. Kimila na kitamaduni za kiafrika mwanamke lazima awe chini ya mwanamme, amsikilize, anaheshimu na kumtii. Ndilo tatizo la samia, kuna remote control za wanaume zinazomuendeshaMsimamo wangu unajulikana. Nausimamia bila chembe ya soni.
Na ndani kabisa katika kilindi cha moyo wangu, najua kuwa niko sahihi. Tena sahihi kabisa.
Lakini kuna suala moja ambalo nimeanza kuliona humu ambalo halinipendezi hata kidogo.
Hii habari ya kuuhusisha uwezo duni wa Rais Samia na wanawake wengine wote nchini!!
Nasoma soma hapa na pale pindi nipatapo wasaa wa kufanya hivyo humu [isomeke: pale mtu anaponinunulia salio la mtandao😀. Umaskini mbaya nyie watu….usikieni kwa mbali tu].
Naweza kusema mara nyingi sasa nimeona watu wakisema humu kuwa Rais Samia kathibitisha kuwa wanawake hawafai kabisa katika nyanja za uongozi…wengine wanasema kuwa Rais Samia ndo keshawaharibia fursa wanawake wenye ndoto za kupata nafasi za juu za kiuongozi, n.k.
Kuna makosa kadhaa hapo ya kimantiki ambayo yananifanya nihoji pia uwezo wa kiakili wa watu wanaoshikilia aina hiyo ya mitazamo;
1. Kushindwa kutenganisha uwezo wa mtu binafsi na badala yake kuuhusisha utovu wake wa uwezo wa kiuongozi na jinsia nzima yenye mamilioni ya watu nchini, ni uwezo duni wa kufikiri.
How come I am able to [easily] compartmentalize her serious lacking of leadership ability and separate it from her gender and therefore not lump all the women together with her? Seriously, how come?
2. Kosa jingine la kimantiki ni; Kama Rais Samia kaonyesha kuwa wanawake hawafai katika nyanja za uongozi wa juu kitaifa, ina maana wanaume ndo wanafaa?
Mpaka kufikia hivi sasa, kati ya marais 6 ambao tumewahi kuwa nao, watano ni wanaume. Mwanamke ni Samia tu.
Ina maana hao wanaume watano wote walifanya kazi maridadi sana katika vipindi vyao vya uongozi?
Walikuza GDP kwa viwango vikubwa sana? Waliboresha viwango vya maisha vya Mtanzania? Walitengeneza ajira nyingi na zilizo bora kwa Watanzania? Walifuta kabisa deni la taifa? Walikuza demokrasia? Walilinda na kutetea haki za watu?
Kama kuna kati ya hao watano wanaume ambao hawakuwa viongozi wazuri, kwa nini hatukusikia maneno ya kuwa hao ambao hawakuwa viongozi wazuri wamethibitisha kuwa wanaume hawafai kushikilia nafasi za juu za kiuongozi nchini?
Zaidi ya miaka 60 ya uhuru, Tanzania bado ni nchi maskini ya kutupwa. Tuko wa mwisho mwisho karibu kwenye kila kigezo cha ubora wa maisha.
Sehemu pekee ambayo tupo juu juu kidogo ni jeshi. Jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani 🤣🤣🤣.
But seriously, kama marais wanaume ambao hawakuwa na uwezo mzuri wa kiuongozi hawatumiki kuwa ndo kigezo cha kusema kwamba wanaume hawafai kuwa viongozi, kwa nini Samia ndo atumike kama kigezo cha kusema kwamba wanawake hawafai kuongoza?
Ambaye hafai ni Rais Samia. Siyo wanawake.
Deuces ✌️.
Duh..Sehemu pekee ambayo tupo juu juu kidogo ni jeshi. Jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani 🤣🤣🤣.
Kumbe jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani, hii ni habari mpya.
Asante Kwa appreciation.Uko sawa.
The bad has a tendency to outweigh the good. Na pengine ndo maana sikulitaja hilo la yeye kusifiwa kutokana na jinsia yake.
Vyote viwili mimi navipinga.
Kwanza hakuna kabisa chochote kile alichokifanya yeye [Samia] kwa miaka miwili ambacho kiliwachukua wanaume watano kukifanya kwa miaka 60.
Umeme huu hata yeye umemshinda.
Good observation and good point!