Kumtumia mtu mmoja [Rais Samia] kuwa mwakilishi wa jinsia nzima nchini; ni akili timamu kweli?

Duh..
Una hoja serious halafu unachomekea mzaha kama huu?!! Umeharibu bro.

Unaona sasa kuna wadau wanafikiri umesema kweli..
👇👇
🤣🤣🤣

Hapo nilikuwa nachomekea chomekea tu.

Kuhusu mdau kufikiri nasema ukweli kuhusu jeshi letu…..hilo ni jambo zuri linalotuonyesha aina ya watu tulionao.
 
Hasty generalization fallacy is hardly a new thing in inductive reasoning.

But it is also true that most women are just life support systems for pussy.
 
Tatizo la nchi yetu siyo Samia ni mfumo mbovu hata umlete nani atakwama, tuna mifumo ya kijinga sn ya kutegemea akili ya mtu mmoja iwaze kwa niamba ya watu 61M
 
Wataje basi hao wanawake wa kitanzania wenye uwezo wa kumzidi Mama Dully kwa sifa za kushika nafasi ya Urais wa JMT. Wapo wang
 
Tulia Ackson
Samia Suluhu ..... Hovyooo kabisa ikitokea Tz tukatoa kiongozi mkubwa wa jinsia ya kike tutakuwa wapuuuzi.
 
Mkuu wanawake hawafai kuongoza. Hasa nafasi nyeti za juu kabisa.

Hata USA, wanatambua hili.

Hillary Clinton alipojaribu kinyang'anyiro cha kuwania Urais alichinjiwa baharini chini kwa chini kijanja.

Wanawake wana ongozwa na emotions sana sana.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Sio Samia tu.

Hillary Clinton alipojaribu kinyang'anyiro cha kuwania Urais wa Marekani, nadhani kuna ka namna kalifanyika chini kwa chini asishinde.

Wanawake wanahofiwa sana, kuwa viongozi wa juu hasa kwenye sehemu nyeti.

Maana kwa wanawake wengi, Always Emotions overrides Logic.



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Binafsi si amini ni yeye anatuongoza ila kuna remote imetulia mezani.
 
Binafsi si amini ni yeye anatuongoza ila kuna remote imetulia mezani.
Unajua hata mwanzoni mwa uongozi wa Magufuli ilisemwa hivyo hivyo kuwa kuna remote kutoka msoga, inawezekana ilikuwa kweli ila baadaye hali ikachange.
 
Hivi Kiongozi hapo kwenye heading ..una maanisha Jinsi au Jinsia! Naona watu wanajadili hoja bila kujali wewe una maana gani...hebu fafanua kidogo!
 
Hivi Kiongozi hapo kwenye heading ..una maanisha Jinsi au Jinsia! Naona watu wanajadili hoja bila kujali wewe una maana gani...hebu fafanua kidogo!
Jinsi ni nini na jinsia ni nini?
 
Msoga ndiye mbovu kuanzia wa moyo na utendaji
 
Nadhani kama sijakosea thread iliyoamusha fikra/mjadala katika bandiko hili ni hii;

Rais Samia ameua ndoto ya Urais kwa wanawake wengine nchini!
 
Kwani nani kakudanganya kuwa mama ana uwezo duni?
 
Mama yako alishajaribu uongozi gani akashindwa au ameishia kuzaa na kulea tutusa kama wewe?🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…