madala mujipa
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 1,417
- 862
Akienda sokoni hatumii zote kuna nyingine anabana ndio hayo maarifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akachepuke alete mboga hahahahahahahahahUmeoa mwanamke unajua ni mama wa nyumbani, asubuhi anakueleza mahitaji ya nyumbani unamwambia mke wangu fanya maarifa. Haya maarifa ni maarifa gani unayotaka mtoto wa watu ayafanye?
Umeoa mwanamke unajua ni mama wa nyumbani, asubuhi anakueleza mahitaji ya nyumbani unamwambia mke wangu fanya maarifa. Haya maarifa ni maarifa gani unayotaka mtoto wa watu ayafanye?
Kwani mwanaume anafanya maarifa gani kuleta mahitaji ya nyumbani?Umeoa mwanamke unajua ni mama wa nyumbani, asubuhi anakueleza mahitaji ya nyumbani unamwambia mke wangu fanya maarifa. Haya maarifa ni maarifa gani unayotaka mtoto wa watu ayafanye?
Kwahiyo atoke akafanye chochote kile ili mradi mezani kuwe na chakula?Kwani mwanaume anafanya maarifa gani kuleta mahitaji ya nyumbani?
Kwani unajua nini na chochote wanaume wanachofanya mpaka mezani kuwe na chakula?Kwahiyo atoke akafanye chochote kile ili mradi mezani kuwe na chakula?
Kwahiyo unaweza kumuacha mke wako akalime mashamba ya watu ili anunue chakula?Kwani unajua nini na chochote wanaume wanachofanya mpaka mezani kuwe na chakula?
Mbona mimi naenda kulima mashamba ya watu ili ninunue chakulaKwahiyo unaweza kumuacha mke wako akalime mashamba ya watu ili anunue chakula?
Wengine twala huku wewe wataja kohozi daahMwanaume asiyejua kuwajibika kwa ajili ya familia yake sielewi nimuweke kundi gani wanakera wanakera mpaka basi yaani unatamani hata umtemee makohozi, yaani mume wa ivo putuuuuu
Sasa mbona nawe umelitaja!!Wengine twala huku wewe wataja kohozi daah
Hahah sio kama yeye alivyotajaSasa mbona nawe umelitaja!!
Haya.Hahah sio kama yeye alivyotaja
Ayamu sore saWengine twala huku wewe wataja kohozi daah
Daah poa poaAyamu sore sa