Kumwambia mwanamke 'FANYA MAARIFA'

Kumwambia mwanamke 'FANYA MAARIFA'

Umeoa mwanamke unajua ni mama wa nyumbani, asubuhi anakueleza mahitaji ya nyumbani unamwambia mke wangu fanya maarifa. Haya maarifa ni maarifa gani unayotaka mtoto wa watu ayafanye?
akachepuke alete mboga hahahahahahahahah
 
Fanya maarifa, aisee kirahisi namna hiyo, labda kuna kingine anakifahamu kwa mke wake siye hatujui tu, unless huyo mtu alioambiwa hayo maneno ni wewe mwenyewe Sky Eclat unaweza toa ufafanuzi zaidi katika mkutadha wa kiuchumi.
 
Umeoa mwanamke unajua ni mama wa nyumbani, asubuhi anakueleza mahitaji ya nyumbani unamwambia mke wangu fanya maarifa. Haya maarifa ni maarifa gani unayotaka mtoto wa watu ayafanye?

hapo ndio huwa sielewi

labda mama akope then alete proforma kwa mzee baadae hela itafutwe
 
Umeoa mwanamke unajua ni mama wa nyumbani, asubuhi anakueleza mahitaji ya nyumbani unamwambia mke wangu fanya maarifa. Haya maarifa ni maarifa gani unayotaka mtoto wa watu ayafanye?
Kwani mwanaume anafanya maarifa gani kuleta mahitaji ya nyumbani?
 
We hukusomA maarifa ya jamii heee ndo hayo sasa changanya
 
We hukusomA maarifa ya jamii heee ndo hayo sasa changanya
 
Mwanaume asiyejua kuwajibika kwa ajili ya familia yake sielewi nimuweke kundi gani wanakera wanakera mpaka basi yaani unatamani hata umtemee makohozi, yaani mume wa ivo putuuuuu
Wengine twala huku wewe wataja kohozi daah
 
Ni maarifa ya jamii mkuu, inawezekana anamkumbusha kufanya homework
 
Back
Top Bottom