Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Wazungu baada ya kuona ndoa haina maana wameacha wake zao hivi sasa wanatinduana menyewe kwa menyewe je na wewe uko tayari kumiminwA?
🚮Samahani kwa hili swali je Mama ako Aliolewa au hakuolewa Alivyokupata wewe?
Nashukuru kwa uelewa wako, hali ni mbaya sana, ndo maana vijana smart swala la kuoa linatufikirisha sana, wengine tunafikria kuzalisha tuu na kubaki kama waleziNafikiri malezi, Kuna sehemu kama Wazazi tumelega kwenye malezi ya mabinti zetu.
Zamani mabinti walikuwa waoga kuanzisha mahusiano kabla ya Ndoa, Siku hizi imekuwa ni kinyume chake.
Mwanamke anapoanza mahusiano ya kingono kabla ya Ndoa, hadi aje apate Mume atakuwa ametembea na Wanaume zaidi ya 20.
Mwanamke wa hivyo kuja kutulia huwa ni nadra sana, maana Kuna vitu atakuwa anavikosa Kwa aliyemuoa ila Kuna X wake alishawahi kumpatia
That's a terrible 🙌
Huyu Fredy labda iwe ndoa imemshinda, lakini ni mwanandoa huyu kwa mujibu wa kikristo ambapo ndoa ni moja tu.Wewe ambae umeoa na vunjabei ambae yupo single
Kuna wazee wanawajaza sana ujinga vijana wanawahamisisha waoe na ukiangalia uchumi wao haueleweki eti mke anakuja na baraka
Wanawaambia utakachokula ndio hichohicho atakula mkeo
Sasa ugali wa mtu mmoja ni sawa na wa watu wawili?
Kabisa vijana wanakimbilia kuzaa watoto wakidhani wanapopoa maembe mtini.Vijana tengenezeni uchumi kabla hamjaoa la sivyo mtawarithisha watoto wenu umasikini
Sijawahi kufanya ujinga huo.Ulianza sex baada ya kuingia kwenye ndoa?
Unfortunately, huwezi kujua unaoa nani. Watu hubadilika.Kuoa sioni kama ni jambo baya bali una oa nani na mchango wake ni upi kwako hilo ndio swali la msingi linapaswa hawa kataa ndoa mnatakiwa muwajibu?
Kwahiyo kuweka akiba mpaka uoe!!?Nimeoa nikiwa na miaka 22 nafikisha miaka 27 tayari nina nyumba ya kuishi nzuri na gari ya kuendea mishenishe na nina watoto wawili bro acha kudanganya watu,, maana nililia tu nikaanza kuweka akiba
Kwa taarifa yako: mkizeeka wanao watakuwa busy na mama yao. Wewe utatelekezwa ubaki unatia huruma. Jiandalie future yako mwenyewe ikiwemo plan ya kusubiria kifo uzeeni.Kuna circumstance za maisha zinaweza kutokea ukiwa above 60 utamuhitaji sana huyo mke, hapo watoto wote na wao wanahangaika na maisha yao, ndipo utakapouona umuhimu wa ndoa
Unfortunately, hata huyo feminist akiwa anaihitaji ndoa ata-act ni a traditional woman. Jichanganye uone kitakachokukuta.Ndoa ni Heshima ndoa ni Utamaduni ndoa ni Dini Ndoa ni Uhalali.
Ukipata Mwanamke Anaeujua Ufeminism na akajua Ubaya wake na Akautukana mbele yako Oa nasisitiza Oa.
Na kama haujui basi mfundishe aujue hadi aelewe kuwa ni Mfumo wa KISHETANI. akielewa OA.
Akikengeuka ndani ya Ndoa Usicheleweshe Kupiga Chini HUTOISHI MAISHA YA AMANI NA FURAHA NA FEMINIST.
LABDA KAMA UTAKUBALI NA WEWE UWE MWANAMKE.
Let this sink in.Nafikiri malezi, Kuna sehemu kama Wazazi tumelega kwenye malezi ya mabinti zetu.
Zamani mabinti walikuwa waoga kuanzisha mahusiano kabla ya Ndoa, Siku hizi imekuwa ni kinyume chake.
Mwanamke anapoanza mahusiano ya kingono kabla ya Ndoa, hadi aje apate Mume atakuwa ametembea na Wanaume zaidi ya 20.
Mwanamke wa hivyo kuja kutulia huwa ni nadra sana, maana Kuna vitu atakuwa anavikosa Kwa aliyemuoa ila Kuna X wake alishawahi kumpatia
That's a terrible 🙌
Unamfahamu mke wa Elon Musk?U
Ulishawahi kuona Tajiri ambaye hana Mke?
Kuna ile nyingine pacha na hii inasema kila mtoto anakuja na riziki yake. 🤣🤣🤣🤣🤣.Apataye mke apata kitu chema, amepata kibali kwa kwa Bwana, zingatia neno kibali,
Huwez kuwa kiongozi mkubwa bila kuoa, lazima uwe na mke ndipo uaminike, Hata Ben alilazimika kuoa ili awe Raisi, kuna fursa kama hizo huwezi pata kama haujaoa mkuu
Au labda tubadilishe swali: Lulu aliongeza nini kwenye mafanikio ya Majizo?Suala sio kutengeneza pesa suala ni uyo mwanamke ana mchango gani wa moja kwa moja katika izo streams za kutengeneza pesa.
Leo vunjabei akiooa baada ya muda biashara zake zikakua sasa mwanamke ana mchango gani hapo wakati alikuta jamaa tayari ashasimamisha kila kitu.
Jacqueline aliongeza nini kwenye mafanikio ya Reginald Mengi?Twende na huyo huyo vunja bei.. kuna watu wamejaliwa maakili ya biashara, haipingiki. Kila wanachogusa kinageuka dhahabu, na hapo hajaoa. Akioa sasa anachpata kinaongezeka maradufu. Chukua mfano wa Jeff wa amazon au Elon Musk wenye utajiri wa kutisha, mali nyingi zaidi waliweza kutengeza kipindi wapo na wake zao kuliko walivyokuwa peke yao
Lengo la feminism ni kumshusha mwanaume ili mwanamke aonekane yupo juu.Na, lengo kubwa la feminism ni kwamba mwanamke apate fursa sawa ya kielimu, kazi na usawa wa msharahara makazini ili kwamba in the absence of the provider (man) mwanamke na watoto wake wasife na umasikini. Ila kilichoendelea kutokea..... ni kuhasiwa kwa mwanamme. Mwisho wake siku nyuzi kama hizi zinatokea😃
Hauwezi kuchagua mwenza kama simu. Huyo ni binadamu, na wanadamu tunabadilika. Anaweza kuwa mwema sana mwanzoni, halafu baadaye akawa mwema zaidi au mwovu.Na ndio maana taasisi ya familia inahitaji utimamu wa akili kuingia. Kama mtu achaguavyo simu yakutumia au gari la kuendesha, unachukua muda wako kuangalia na kujiridhisha kwamba ni chaguo bora linalokufaa kwa matumizi ya muda mrefu...spare na maintenance yake unaimudu. Kwanini mtu akurupuke kwenye kuchagua mwenza wa maisha yaani mama wa watoto wako?
Na wakishindwana, mwanaume ndiye ana-pay the price. 😁Uchaguzi umekua mgumu, mabinti wengi wameshindwa kutumia uhuru wanaopewa sasa hivi. Umalaya, kuzulula mitaani na kukesha viwanja hot vya mjini wao wanajua ndio uhuru.
Akimalizana na uchafu wote anaona kuna haja ya kutulia. Sasa hapo kijana wa kiume kwenye kuchagua kila ukizama deep unaona past yake ina redflags halafu miaka haikusubiri unaamua kufunika kombe mwana haramu apite, unaoa uyp uyo.
Sasa kutengeneza bond na mtu ambae ana trauma na flashback ya mahusiano yaliyopita ni ngumu sana halafu jasiri haachi asili, mwanamke anamiss maisha yake ya mitoko na party za usiku ndipo hapo wanakuja kushindwana.
Haina uhusiano wa moja kwa moja:Sasa huyo mwanamke wa kuruka majoka anaruka peke yake huko? Atapata wa kufanana nae mruka majoka mwenzake, warukeruke wote maana wanawezana. Tatizo wanaume wengi wanategemea wachovyechovye weee halafu akitaka kuoa aoe mtu alietulia. Hapana, atapata mcharuko mwenzake maana ndio kitu pekee anachofahamu, atajuaje jambo zuri ilihali amezoea heka heka? Heka heka kwake ndio nyumabni, atapata hicho hicho