Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Wazungu baada ya kuona ndoa haina maana wameacha wake zao hivi sasa wanatinduana menyewe kwa menyewe je na wewe uko tayari kumiminwA?
Naheshimu mtazamo wako, ila kumbuka wazungu ndio waliwaletea hizo "ndoa" na imani unayoamini pia, kabla ya hapo mlikuwa mapangoni na maisha ya kula mizizi yanaendelea tu poa.