Kwa nchi nyingi Visa ni sehemu ya mapato na wala haihusiani na usalama!kufanya vetting kwa watu wanaotaka kuingia nchini ni moja ya process ya kutoa visa , ukiondoa restriction hio ni sawa na kuwa na mfumo wa bank ambao huhitaji password kulogin , wahalifu watahack mfumo na utalia sana