AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,318
- 4,106
Na wakumbuke SOMALIA wameruhusiwa kuingia EAC mwaka huu[emoji23][emoji23]Ujinga nao ni kipaji, kwani kuna Visa inadaiwa unapotembelea nchi za Afrika Mashariki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wakumbuke SOMALIA wameruhusiwa kuingia EAC mwaka huu[emoji23][emoji23]Ujinga nao ni kipaji, kwani kuna Visa inadaiwa unapotembelea nchi za Afrika Mashariki?
EAC HAKUNA VIZA KWA NCHI WANACHAMA. SO WAKENYA, WAGANDA, CONGO, RWANDA ETC HAWAHITAJI VIZA KUINGIA BONGOMchakato wa kupatikana VISA unaweza kua na mlolongo mrefu mpaka ukaleta dosari.
Mfano. Taratibu za kupata VISA ya Marekani zinaboa sana kama ulikua una plan kwenda vaccation tu unaweza kata tamaa.
Sijajua taratibu za kupata VISA ya kwetu hapa bongo/Kenya
Mkuu nahisi umemuelewa vizuri Rais Ruto.Haiwezi kuwa rahisi hivyo, kuna masharti ni lazima waweke ili kulinda usalama wa nchi.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Kuna mtazamo kuwa generation ya sasa inayo / inauwezo mkubwa wa kupata maarifa(knowledge), ila ina shida kubwa sana ya uelewa (comprehension).gaidi akiomba visa kuna possibility akawa denied
Suala la visa free halihusiani na malipo .Unapoambiwa free visa haimanishi utaingia kiholela bila ukaguzi au kujikalia tu.
Kitakachokosekana ni ile kulipia visa lkn ukaguzi na ufuatiliaji kuwa unafanya nini utafuatiliwa kama kawaida na lazima ueleze utakuwepo kwa muda gani.
gaidi akiomba visa kuna possibility akawa denied
naimani serikali inatambua uwezo wake visa sio kigezo kinaweza kumzuia mhalifu kuingia...tufahamishe kwanini tanzania iige kenya?? unataka kusema serikali ya tanzania haitambui kipi cha kufanya kwa maslahi ya taifaNimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.
Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?
Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?
Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?
Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania? ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
Basi kusiwe na vitambulisho vyovyote nchini wala kusiwe na mapolisi maana majambazi yapo hata sasa ...viza inasaidia siyo kukamata wahalifu tu hata kuzuia watu kuwa wahalifu . Wewe akili yako ni sawa na kuku ...baba yako aliuza ng'ombe kuku somesha kumbe kauza ng'ombe kusomesha ng'ombeLugha yako uliyo itumia hapo linakudhihirisha ww ni mtu gani.
Hivi hiyo visa ina saidiaje kudhibiti uharifu kwa nchi kama Tz ambayo kila mwaka watu kutoka nchi jirani wanaingia na kutoka kiholela kupitia mipaka isio rasimi na wengine wanaishi kabisa tena bila kubugudhiwa na mamlaka?
Visa ipo kisheria lakini kusema eti visa ndo ina ifanya Tz kuwa salama ni hoja ya kipumbavu.
Hao magaidi hawana muda na Tz kwa sababu hawana maslahi yeyote ya kutushambulia na pia hatujawahi kuwachokoza.
kwa sehemu kubwa ,visa ni sehemu ya vetting ya kiusalama , ili kupunguza uwezekano wa kuleta watu wasio sahihi nchiniKwa nchi nyingi Visa ni sehemu ya mapato na wala haihusiani na usalama!
kuna faida nyingi kiusalama za kuwa na visa requirements ,Kwamba magaidi kukiwa na visa hawaingii!!!??? Sijui umetafakari kabla ya kuanfika!? Anyway...
Tuelezee mkuu, kwanini unasema ili Tanzania aingie? Kwanini Tanzania awe target?
Ameplan nini kenya kwa Tz?
Tupe madini mkuu.
when did Ruto say this? You are the serial liar yourself.hujui ruto ni mpenda sifa na populist?
jamaa ni demagogue to the core
ni professional serial lier!
yaani anadanganya eti "GRAMMY" watafungua studio Kenya za kufanya movie production kiasi kwamba hajui GRAMMY haijihusishi na movie production at all
huyu jamaa na pepo la uongo na populism
na cha ajabu Kenyans hua they believe what this lunatic says
umeangalia upande mmoja wa shilingi, watu kuweza kuingia nchini kutumia mipaka isiyo rasmi haihalalishi kuondoa ulazima wa visa . kama umewahi kwenda marekani au UK ,visa zao zina chukua hadi mwezi kuzipata ,tena lazima uoneshe proof ya namna utakavyoishi nchini kwao , kuhalalisha watu kuingia nchini kiholela utakuaja kushtuka hata kazi za kuuza karanga zinafanywa na wachina ,na hutakua umelinda ajira za watu wako.Ndo maana nime kuuliza kuwa lini visa ikazuia gaidi?
Kila mwaka maelfu ya raia kutoka nje wanaingia nchini kwa kutumia mipaka isiyo rasimi na wanaishi ndani ya nchi bila vibari vyovyote wakiwemo hao wasomali.
Ukiona hao unao waita magaidi hawaishambulii Tz haimaanishi kuwa hawawezi kufanya hivyo kwa sababu ya visa ,bali ni kwa sababu mashambulizi yao dhidi ya Tz hayana masilahi yeyote kwao na pia Tz hatujawahi kuwachokoza.
Tanzania na marekani ni nchi mbili tofauti ,maadui wa marekani ni tofauti na maadui wa TanzaniaJao wenye mtazamo huo wa ugaidi hawajielewi.
Tuelewe kwamba Kenya ishashambuliwa Na matukio ya kigaidi kulipo Tanzania kabla ya hapo
Marekani ni nchi ngumu kutoa visa Ila inashambuliwa Na magaidi.
Hii ni job true true kweli kweli !😂Haiwezi kuwa rahisi hivyo, kuna masharti ni lazima waweke ili kulinda usalama wa nchi.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Ruto anatafuta publicity ,ana joto la kisiasa kwake , lakini ukweli ni kua kuondoa visa restriction ni kuondoa geti mlangoniUSA na nchi za magharibi unaomba visa unatoa hela ukinyimwa hela imeenda, hebu fikiria hicho kitega uchumi wamejiwekea hawa jamaa cha kula pesa kiulaini
Watu wangapi wanaoomba na kukataliwa ni kama pata potea katika elfu huenda kumi wakapewa
Labda Ruto ana sababu zake ngoja wakenya waje
Visa ni first line of defence , ukienda balozi za UK na Marekani kuna maelfu ya watu wanakataliwa kwendanaimani serikali inatambua uwezo wake visa sio kigezo kinaweza kumzuia mhalifu kuingia...tufahamishe kwanini tanzania iige kenya?? unataka kusema serikali ya tanzania haitambui kipi cha kufanya kwa maslahi ya taifa
mwizi hauzuiwi na geti ,lakini tunaweka mageti ili kupunguza urahisi wa mwizi kukushambuliaUnajua Europe ni free zone kwa hizo nchi zote. Na uturuki ni let say waarabu Kuna Kazakhstan etc but hatusikii hizo shida why Africa. Hapo Kenya ugaidi upo hata B4 hii free zone. Gaidi akiamua Kuja atafika tu iwe free zone au LA.