Kuna faida gani za nchi kuruhusu mataifa kuingia bila VISA?

Kuna faida gani za nchi kuruhusu mataifa kuingia bila VISA?

hujui ruto ni mpenda sifa na populist?

jamaa ni demagogue to the core

ni professional serial lier!

yaani anadanganya eti "GRAMMY" watafungua studio Kenya za kufanya movie production kiasi kwamba hajui GRAMMY haijihusishi na movie production at all

huyu jamaa na pepo la uongo na populism

na cha ajabu Kenyans hua they believe what this lunatic says
umenichekesha sana ,Ruto ni mjanja mjanja sana yule jamaa
 
It i

It is just of unkown,mawazo ya kuhisi Tanzania anatamaniwa sana wakati hakuna kitu,ule wimbo wa Tanzania nakupenda na mauongo yaliombatana na wimbo
Fear of the unknown. !!
Kama vile kwenye Uraia pacha !!
Sisi tunajiona wajuaji sana kuliko waliopo huko Duniani wanaoruhusu Uraia pacha !!!
Ushamba tu !! 😅🙏🙏
 
Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.

Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?

Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?

Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?

Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania? ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.

Wenzetu wanajitambua, ila huku kwetu roho mbaya sijui!! Au tamaa ya pesa!!
 
Hivi unafahamu kwamba Mkenya haitaji VISA kuja Tanzania?
Sasa watushawishi sisi tuwaige ili iweje wakati wakenya wanaingia Tanzania bila visa
Ok, tunataratibu zetu na mida maalum ya entry pass, tusiongeze au kutanua mipaka zaidi ya hapo. Hao majirani kuna wanachotafuta zaidi ya hapo, be keen!, baada ya kufikia stage fulani, wataanzisha mwafrika ruhusa kanunua ardhi Kenya bila shida yoyote, ni mwendo wa stage by stage, mpaka kufikia kibra.
 
Kwani hio VISA ina miguu mingapi? Kama ina manyoya sawa lakini isiwe na shanga tuu..
 
Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.

Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?

Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?

Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?

Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania? ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
We unazungumzia dola 20 na 50 hujafikiria kiwango atakachotumia huyo mgeni akishaingia kwenye nchi, kuanzia chakula maradhi na usafiri!

Hii akili yako ndyo akili ya waafrica tulio wengi unawaza dola 50 wakati mgeni akiingia anaweza kutumia hadi dola 2000 na kwanini mawazo yasijikite kwenye hyo dola 2000

Na kuhusu ugaidi huwezi kumzuia gaidi kwa kumtoza dola 50 ili asiingie nchini kwako. Gaidi anazuiwa kwa kuweka mifumo imara ya kiulinzi na kama unavyojaribu kutuaminisha hapa kwamba utamzuia gaidi kwa kuweka visa entry ya dola 50.
 
Una hoja nzito, usikilizwe. Kwasababu this is not an overnight petty issue to deal with kwa maana vyombo vyetu vya usalama visijekuwa overloaded with huge task itakayopelekea loopholes, unless wa isolate kitengo so special and specific ku deal na hiyo section.
Kwa akili yako unadhani unaweza kumzuia gaidi kwa kuweka visa entry ya 50 dollar?
 
Your reasoning capacity yako iko chini below average......nchi kama Tanzania inauwezo wa kuzuia magaidi kuingia wakitaka?, Nani kakuambia kwamba gaidi anahitaji viza kuingia hapa Tanzania?
Mi nimeshangaa wanaomuunga mkono mleta mada yaani watanzania wengi iq ipo chini mno! Hawajui kabisa kureason!
 
kwa sehemu kubwa ,visa ni sehemu ya vetting ya kiusalama , ili kupunguza uwezekano wa kuleta watu wasio sahihi nchini
nchi ambazo zina special arrangement ya kuto hitaji visa ,kuna mahusiano maalumu ya serikali mbili zinazoshirikana ,
Labda kama unawaza nchi za Ulaya, Marekani na Uingereza, lakini kwa karibu nchi zote za Afrika Visa inaombwa airport au mji unaoingilia sasa vetting inakuwa imefanywa saa ngapi? Au neno vetting linakusumbua?
 
Hii ni baada ya Tanzania kufanya vizuri sana kwenye Tanzania the Royal Tour, kwa hiyo hii ni vita ya kiuchumi kati Tanzania na Kenya.
 
Fear of the unknown. !!
Kama vile kwenye Uraia pacha !!
Sisi tunajiona wajuaji sana kuliko waliopo huko Duniani wanaoruhusu Uraia pacha !!!
Ushamba tu !! 😅🙏🙏
Tatizo ni Elimu ndogo na uelewa mdogo sana kuhusiana na Masuala ya Diaspora and International Migration. Suala hili Lina faida zake lakini pia Lina hasara zake kulingana na nyinyi wenyewe wananchi jinsi mlivyojipanga na kujiandaa.
 
Basi kusiwe na vitambulisho vyovyote nchini wala kusiwe na mapolisi maana majambazi yapo hata sasa ...viza inasaidia siyo kukamata wahalifu tu hata kuzuia watu kuwa wahalifu . Wewe akili yako ni sawa na kuku ...baba yako aliuza ng'ombe kuku somesha kumbe kauza ng'ombe kusomesha ng'ombe
Ila ww baba yako aliuza ngombe akupeleka shule kujifunza matusi na kukosea heshima watu sio?
Huna akili kwani hapa tumekuja kutukanana au tunajadiliana, au ukitumia lugha ya sitaha unapungukiwa na nn?

Hakuna aliye piga kuwepo sheria bali nilicho pinga ni hiyo hoja ya kusema kuondolewa kwa visa ni kiruhusu waharifu hali ya kuwa maelfu ya watu wanaingia na kutoka nchini bila hizo visa.
Rwanda ilishaondoa mashriti ya visa mbona hatujawahi kusikia huo Uharifu unao usema nchini humo?

Uharifu unazuiwa na ubora wa Integensia bora ya vyombo vya usalama na sio visa.
 
Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.

Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?

Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?

Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?

Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania? ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
HUYU WAKENYA WATAMTOA KWENYE UCHAGUZI UJAO.

KAMA FAIDA ZIPO, ZITAKUWA NI CHACHE MNO UKILINGANISHA NA HASARA ZAKE.
HIKI KITU NI HATARI MNO HATA KWA NCHI AMBAZO ZIKO JIRANI NAYE, ANAWAONGEZEA HEADACHE WANAUSALAMA WA NCHI JIRANI YAKE UNNECESSARILY

UCHAGUZI UJAO HATOBOI, WATAMTOA
 
Tuelezee mkuu, kwanini unasema ili Tanzania aingie? Kwanini Tanzania awe target?
Ameplan nini kenya kwa Tz?
Tupe madini mkuu.
Issue ni kwamba wanaidrag Tanzania ili ifate mkumbo ili wakenya na wanyarwanda wajae nchini na ajira zote wachukue wao mana education ya watanzania IPO chini sana nda mana we huwezi kusecure ajira Kenya ila sisi huku wakenya wamejaa mana hamna control mechanism ya private sector. Ki ufupi Tanzania ni shamba la bibi
 
Back
Top Bottom