Kuna faida gani za nchi kuruhusu mataifa kuingia bila VISA?

Kuna faida gani za nchi kuruhusu mataifa kuingia bila VISA?

Kenya wanajitambua, inathamini wageni na kuwajali, mgeni ukishampa masharti magumu usifikiri atakukalia, nchi nyingi tu zinamhitaji ambazo hazina masharti, hata mzawa kuna mahala anashindwa kurun biashara zake kutokana na kodi kubwa anatozwa mpaka anasajili gari zake nje ya nchi, kama ni rwanda, burundi au congo, hii nchi ngumu sana. Wageni wana haki kukimbilia nchi zenye masharti rafiki, Mzawa ana haki kulipia nchi za jirani na kuachana na huku kwenye kodi kubwa


Wengi wetu watanzania roho mbaya na wivu inatuponza, na ndio maana mambo yetu hayaendi

Nimemaliza......
Kuna ukweli Fulani kwenye hoja yako.
Mfano mzuri ulio hai ni Bw. Zakaria Hans Poppe, alienda kusajiri magari yake ya usafirishaji mizigo nje ya Tz kutokana hali mbaya ya kisiasa na kiutawala iliyopo hapa Tz, aliona huko nje nchi jirani kuna Sera nzuri kuliko hapa Tz nyumbani kwake alipozaliwa.
 
Uko sahihi, lakini visa free inakupa hata uwanda mpana wa kutokuzuia vitu vingi. Tuzidi kutafakari.
Hujui mpaka leo Tz ni viza free kwa Kenya Uganda Rwanda Burundi zambia nk, unaona kuna impact gani katika usalama wa nchi au katika uchumi?
 
Kuna ukweli Fulani kwenye hoja yako.
Mfano mzuri ulio hai ni Bw. Zakaria Hans Poppe, alienda kusajiri magari yake ya usafirishaji mizigo nje ya Tz kutokana hali mbaya ya kisiasa na kiutawala iliyopo hapa Tz, aliona huko nje nchi jirani kuna Sera nzuri kuliko hapa Tz nyumbani kwake alipozaliwa.

Matruck mengi tu wanasajili nje ili kuepukana na kodi za hapa kwetu, kodi za ukandamizaji na sio rafiki
 
Hujui mpaka leo Tz ni viza free kwa Kenya Uganda Rwanda Burundi zambia nk, unaona kuna impact gani katika usalama wa nchi au katika uchumi?
Mkuu kama Target ni Wasomali Somalia imeshaingizwa kwenye Jumuia ya EAC na Passport ya Somalia ni VISA FREE kuja Uswazi😆😆😂

Mleta mada ana IQ hafifu sana.
 
We are not special as citizens, but we have a country that has plenty of opportunities waiting to be exploited in contrast Kenya doesn't have.
Waafrika wengi ni wapumbavu lakini nchi zetu ni special sana.

Uspecial kwa kipi hasa? Hii ideology imefanya wabongo wawe mavuvuzela kabisa wanadhani kila mtu anawaangalia wao kumbe watu hawana time kabisa.
 
Kweli hata mimi naona kaingia chaka ila labda ameona hela zinapigwa ila hili nalo sidhani maana sio hela nyingi hivyo mpaka aamue tukose wote
Labda kutakuwa na utaratibu wa kuhojiwa kama una kiasi gani na umekuja kufanya nini

Waarabu wa UAE wanataka watu waingie nchini kwao bila passports kabisa naona ni Dubai kwa kuanzia
Unajaza form online halafu unaandika details zote wanahakiki na passport kama ni Biometric basi unaenda tu, ukifika airport inakupa green light ila kama hamfanani au kuna kasoro Red inawaka unakaa pembeni kusubiri maswali
Mkuu raia wa Afghanistan anaweza kuingia Somalia bila Viza?
 
Kwa kweli hapo mlengwa ni Tz, ili tukosee tu na sisi tuingie kichwa kichwa jamaa waje wajae hunu halafu kuwatoa iwr issue. Bongo ina rasilimali nyingi saana ambazo wenzetu wanazitaka ikiwemo ardhi. Sisi tusikubali hata kidogo. Mwekezaji au yeyote anayetaka kuja afuate sheria zetu ikiwemp visa na atakaa tunamjua na hadi mwisho wa kibali chake. Hao Kenya tuwape muda tu watakuja farakana soon. Huwezi iacha nchi watu waingie kama sokoni
Acheni ujinga hivi watz tuna matatizo gani?

Kwanza mambo ya visa na masuala ya rasilimali sijui ardhi vina mahusiano gani?

Hivi katika dunia ya sasa hivi unawaza kujifungia fungia kipumbavu kwa faida gani?

Nchi zinazo fanya mambo ya maana kama Dubai , Uingereza, Ufaransa , Qtaar, Urusi , Uturuki zimeondoa visa sembuse hilo linchi lenu linalo nuka uchafu, umasikini, ufisadi ,uzinzi, na kila aina ya upumbavu?
 
Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.

Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?

Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?

Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?

Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania? ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
Wahanga ni nchi ambayo imetulia zake na Haina matata na jirani wanataka kumvuruga!! Sana sana Tanzania ndio target
 
Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.

Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?

Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?

Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?

Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania? ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
Kenya itakuwa ni kokolo linalokusanya kila mtu hata waharifu - murderers and wengine wote , Logic ni siple sana, volume ya watalii watakuja na ku-spend fedha humo ndani bila kujalisha kama ni waharifu au la. Labda kama wana system ya kuwatambua na kuwa deport wakifanya uharifu.. hii kitu ni ngumu sana kuachia watu watembee na kuingia kokote kama mkondo wa maji... watajirudu tu muda si mrefu
 
Your reasoning capacity yako iko chini below average......nchi kama Tanzania inauwezo wa kuzuia magaidi kuingia wakitaka?, Nani kakuambia kwamba gaidi anahitaji viza kuingia hapa Tanzania?
Elimu yetu mkuu ndio tatizo ukiwasoma Watanzania ndio kiwango cha Elimu tulipofikia hapo magaidi yanazuiwa na Visa...
 
Kenya itakuwa ni kokolo linalokusanya kila mtu hata waharifu - murderers and wengine wote , Logic ni siple sana, volume ya watalii watakuja na ku-spend fedha humo ndani bila kujalisha kama ni waharifu au la. Labda kama wana system ya kuwatambua na kuwa deport wakifanya uharifu.. hii kitu ni ngumu sana kuachia watu watembee na kuingia kokote kama mkondo wa maji... watajirudu tu muda si mrefu
Wanaingia na Passport mkuu umeelewa hapo au unadhani wataingia kama wanaenda Njombe na Mbeya...matumizi ya passport ina maana watu wanatambulika visa wanapata wanapoingia Mpakani au Airport sio ya kufata ubalozini mnavyoandika mnashangaza sana aisee..
 
Wanaingia na Passport mkuu umeelewa hapo au unadhani wataingia kama wanaenda Njombe na Mbeya...matumizi ya passport ina maana watu wanatambulika visa wanapata wanapoingia Mpakani au Airport sio ya kufata ubalozini mnavyoandika mnashangaza sana aisee..
Ndio wataingia na passport, sasa nitajie ni passport gani ya nchi gani humu duniani ina maelezo ya criminal convictions? Visa ina mchakato wake na siwapangii kenya cha kufanya, ila siku moja watajifunza ni kwa nini wakoloni wetu ( UK) walipigia kura ya kujiondoa Jumuiya ya ulaya.. ni kokolo la kuwaruhus hata waharifu- passport haina maelezo kama mtu ni mharifu au la.. ndio hoja hiyo.
Na nimeiangalia clip ya Ruto, kasema kuanzia Jan 2024 hakuna visa na wewe unasema kwamba watapata visa airport au mpakani, mbona hii sentensi yako inapingana na maelezo ya Ruto?
 
Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.

Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?

Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?

Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?

Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania? ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
1.Kukuza biashara na uwekezaji ,Kwa sababu hakutakuwa na extra cost

2.Kuondoa usumbufu usio na lazima,angalia jinsi watu wa migration wanavyosumbuaga.

3.Kukuza Utalii.Watu wengi wanapenda kusafiri Kutoka Nchi Moja Hadi Nyingine au sehemu Moja Hadi Nyingine Kwa Barabara au train hivyo ukiondoa hiyo hakutakuwa na hivyo vikwazo.

4.Kuimarisha Undugu na integration.Umoja ni Nguvu kiasi kwamba itaondoa mivitano mivitano isiyo na msingi.

Mwisho ndio maana Tanzania iliongeza mda wa visa Kwa Wazambia lengo ni Kuimarisha biashara so inatakiwa zifutwe kabisa.

Watu mlio ajiriwa na Serikali hamuwezi usumbufu na kero zilizopo Kwa sababu mnakula pesa bila jasho.
 
Ndio wataingia na passport, sasa nitajie ni passport gani ya nchi gani humu duniani ina maelezo ya criminal convictions? Visa ina mchakato wake na siwapangii kenya cha kufanya, ila siku moja watajifunza ni kwa nini wakoloni wetu ( UK) walipigia kura ya kujiondoa Jumuiya ya ulaya.. ni kokolo la kuwaruhus hata waharifu- passport haina maelezo kama mtu ni mharifu au la.. ndio hoja hiyo.
Na nimeiangalia clip ya Ruto, kasema kuanzia Jan 2024 hakuna visa na wewe unasema kwamba watapata visa airport au mpakani, mbona hii sentensi yako inapingana na maelezo ya Ruto?
Hakuna Nchi zaidi ya Iran ambayo unaweza kuingia bila kugongewa kwenye passport yako wanaposema hakuna visa wanamaanisha wanatoa zile Nchi ambazo unatakiwa uingie kwa kuomba Visa Ubalozini ila ukifika port of entry unagongewa kwa siku ambazo wamepanga kutoa kama sisi tulivyotolewa na Hong Kong tunaruhusiwa kuingia na kukaa siku 90 tu ila ukiweza unaomba unaongezewa siku ila uwe na sababu...swala la Criminal ukiwa unatakiwa utapatikana tuu hayo mambo sema nikuelezee hapa hapa kama hujui..
 
Halafu mimi sijamuelewa Ruto kwenye hili,

Mbona wakenya wenzio juzi kati hapo walikuwa wanaandamana Wachina waondoke Kenya sababu wanajihusisha na fursa ndogo kama vile kuchoma mahindi?

Ruto ameshirikisha ridhaa ya wananchi kweli kwenye hili?

Bunge limeridhia?
 
Nchi za kusini hasa Botswana,Namibia na Zimbabwe walishaondoleana visa na sasa hivi wanataka mtu wenye kitambulisho chochote akitumie kuingia na kutoa Wakenya sisi hatuwezi kuwakosoa kwa mabo yao wapo mbele ya muda kidogo wao hata gari kuingia kuanzia December ni liliotengenezwa kuanzia 2017 wakati kwetu mi dampo harafu kodi kubwa...
 
Back
Top Bottom