umeangalia upande mmoja wa shilingi, watu kuweza kuingia nchini kutumia mipaka isiyo rasmi haihalalishi kuondoa ulazima wa visa . kama umewahi kwenda marekani au UK ,visa zao zina chukua hadi mwezi kuzipata ,tena lazima uoneshe proof ya namna utakavyoishi nchini kwao , kuhalalisha watu kuingia nchini kiholela utakuaja kushtuka hata kazi za kuuza karanga zinafanywa na wachina ,na hutakua umelinda ajira za watu wako.
la pili fikiria kuhusu ujio wa majasusi wa kigeni ambao wengine wanaweza kuja kwa njia halali na wakadhuru watu wetu , kupitia balozi zetu watu hao wakiomba visa , screening ama vetting hufanyika kujua back ground za watu hawa