Kuna faida gani za nchi kuruhusu mataifa kuingia bila VISA?

Kuna faida gani za nchi kuruhusu mataifa kuingia bila VISA?

Kwahiyo nchi zilizoendelea nazo ni ujinga wa mtu mweupe! Ndio maana hii nchi inachelewa kusonga mbele, mnawazaga kinyume tu
Wanao uwezo mkubwa wa kumeneji mambo hivyo wanatumia trick kutuingiza sisi kwenye njia yao wakati atufanani ...mfano tajiri anaweza kutumia milioni 3 kila siku kwa mambo yasiyo ya msingi na anasa sasa masikini ukisema mbona tajiri anatumia hiyo pesa na wewe kumuiga nini kitatokea kwako.hizo ni trick za kitoto wanazo tumia wajanja kufanikisha malengo yao mabaya kwenye nchi zetu masikini
 
umeangalia upande mmoja wa shilingi, watu kuweza kuingia nchini kutumia mipaka isiyo rasmi haihalalishi kuondoa ulazima wa visa . kama umewahi kwenda marekani au UK ,visa zao zina chukua hadi mwezi kuzipata ,tena lazima uoneshe proof ya namna utakavyoishi nchini kwao , kuhalalisha watu kuingia nchini kiholela utakuaja kushtuka hata kazi za kuuza karanga zinafanywa na wachina ,na hutakua umelinda ajira za watu wako.
la pili fikiria kuhusu ujio wa majasusi wa kigeni ambao wengine wanaweza kuja kwa njia halali na wakadhuru watu wetu , kupitia balozi zetu watu hao wakiomba visa , screening ama vetting hufanyika kujua back ground za watu hawa
Mkuu kuondoa urazima wa visa haimaanishi kuwa una ruhusiwa kuingia kwenye nchi husika kiholela , kuondoa visa ni katika jitihada za kupunguza usumbufu tu na upotevu wa muda.

Hiyo Uingereza kuna raia wa mataifa kibao wanaruhusiwa kuingia nchini humo bila visa.
Mataifa ya Africa Magharibi yote yaliyo tawaliwa na Ufaransa raia wake hawahitaji visa kuingia nchini Ufaransa.
 
Watanzania wengi hatuja funguka kifikra na kimawazo na hii imetokana na wengi wetu kurundikana ndani ya nchi bila kutoka.
Suala la Kenya kuondoa visa wala si jambo baya na sisi kama africa tumechelwa sana na tumegawanywa na hao wenzetu wa mbele ili waendele kutunyonya na kuchukua wanachojiskia.
Leo hii Mtanzania ukitoka kuelekea Mauritania ni lazima uwe na visa na unaweza pia hisiwa kama umeleta kitu flani kibaya katika nchi yao.
Lakini mmarekani anaweza ingia na kutoka bila visa na atapewa jina zuri kuwa yeye ni mtalii.
Tushajazwa chuki kubwa sana baina yetu wa africa na si aghlabu hatupendani na tumewekeana vikwazo lukuki ambavyo havina msingi.
Najua wengi watakuja kupigia mstari suala la umaskini na ugaidi ambao wenyewe unaletwa na hao tunao wapa majina mazuri ya kuwa ni watalii aflafu wanapewa wacongo au wasomali wachinjane wenyewe kwa wenyewe.
Leo hii Europe nzima raia wa taifa lolote anaweza toka nchi moja kwenda nyengine bila visa na kuna nyengine bila hata ya passport yani National ID tu, na vivyo hivyo bara la North America nk.
Kweli kwetu kuna changamoto za usalama lakini hizi nazo zimeletwa na hao hao na wanajulikana.
 
Tatizo ni Elimu ndogo na uelewa mdogo sana kuhusiana na Masuala ya Diaspora and International Migration. Suala hili Lina faida zake lakini pia Lina hasara zake kulingana na nyinyi wenyewe wananchi jinsi mlivyojipanga na kujiandaa.
Ni nature ya mwanadamu kujifunza kutokana na makosa !
Tusiogope kujifunza kutokana na makosa tunayoweza kuyafanya !!
 
Watanzania wengi hatuja funguka kifikra na kimawazo na hii imetokana na wengi wetu kurundikana ndani ya nchi bila kutoka.
Suala la Kenya kuondoa visa wala si jambo baya na sisi kama africa tumechelwa sana na tumegawanywa na hao wenzetu wa mbele ili waendele kutunyonya na kuchukua wanachojiskia.
Leo hii Mtanzania ukitoka kuelekea Mauritania ni lazima uwe na visa na unaweza pia hisiwa kama umeleta kitu flani kibaya katika nchi yao.
Lakini mmarekani anaweza ingia na kutoka bila visa na atapewa jina zuri kuwa yeye ni mtalii.
Tushajazwa chuki kubwa sana baina yetu wa africa na si aghlabu hatupendani na tumewekeana vikwazo lukuki ambavyo havina msingi.
Najua wengi watakuja kupigia mstari suala la umaskini na ugaidi ambao wenyewe unaletwa na hao tunao wapa majina mazuri ya kuwa ni watalii aflafu wanapewa wacongo au wasomali wachinjane wenyewe kwa wenyewe.
Leo hii Europe nzima raia wa taifa lolote anaweza toka nchi moja kwenda nyengine bila visa na kuna nyengine bila hata ya passport yani National ID tu, na vivyo hivyo bara la North America nk.
Kweli kwetu kuna changamoto za usalama lakini hizi nazo zimeletwa na hao hao na wanajulikana.
Bado tupo mbali sana na Dunia ya sasa !
Ndio maana unaona Nchi nzima watu wote bado wanashabikia timu za Yanga na Simba utadhani hakuna timu nyingine kwenye maeneo yetu tunakotoka au tulipozaliwa 😂😂🙏🙏 !!
 
Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.

Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?

Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?

Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?

Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania? ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
Kwa uelewa wangu ni kwamba, Kuwa "visa free" haina maana kwamba wageni wawe wanaingia kiholela. Udhibiti wa kiusalama una baki ni jukumu la msingi la Vyombo vya Usalama. Kilichoondolewa ni malipo yanayaoambatana na Visa au ruhusa ya kuingia nchi husika
 
Visa ni first line of defence , ukienda balozi za UK na Marekani kuna maelfu ya watu wanakataliwa kwenda
wengine wana historia za ugaidi nk.
Ukiondoa visa restriction kwa nchi zote nchi yako inaweza kuwa terrorist hub
hozo nchi ulitaja huzuiliwi wanachotaka upe na uwezo wa kujikimu uwapo huko usilete tafrani kwao kwa kuanza kutafuta kazi na vinginevyo ikiwa una uwezo unaingia kwa mapana na marefu
 
Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.

Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?

Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?

Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?

Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania? ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
Kwa kweli hapo mlengwa ni Tz, ili tukosee tu na sisi tuingie kichwa kichwa jamaa waje wajae hunu halafu kuwatoa iwr issue. Bongo ina rasilimali nyingi saana ambazo wenzetu wanazitaka ikiwemo ardhi. Sisi tusikubali hata kidogo. Mwekezaji au yeyote anayetaka kuja afuate sheria zetu ikiwemp visa na atakaa tunamjua na hadi mwisho wa kibali chake. Hao Kenya tuwape muda tu watakuja farakana soon. Huwezi iacha nchi watu waingie kama sokoni
 
Visa ni first line of defence , ukienda balozi za UK na Marekani kuna maelfu ya watu wanakataliwa kwenda
wengine wana historia za ugaidi nk.
Ukiondoa visa restriction kwa nchi zote nchi yako inaweza kuwa terrorist hub
kumbuka jambo hayo mataifa wanajijua ni jinsi gani kuwa wao ni maadui wa dunia wajua hwatakiwi wanaishi kwa wasiwasi wanateseka sana mpaka huruma hawana amani kwamaana hiyo ukipanda mahindi utavuna mahindi huwezi vuna mbaazi
 
Wanao uwezo mkubwa wa kimeneji mambo hivyo wanatumia trick kutuingiza sisi kwenye nyia yao wakati hatu fanani ...mfano tajiri anaweza kutumia milioni 3 kila siku kwa mambo yasiyo ya msingi na anasa sasa masikini ukisema mbona tajiri anatumia hiyo pesa na wewe kumuiga nini kitatokea kwako.hizo ni trick za kitoto wanazo tumia wajanja kugikia malengo yao mabaya kwenye nchi zetu masikini

Nani kakwambia 🇹🇿 maskini! Au watu wake ndio maskini!

Wengi wenu huwa mnatanguliza shari, na roho mbaya kwa wageni/wawekezaji na ndio maana umaskini hautakuja kuisha, viongozi wengi ama baadhi yao wanakula mema ya nchi, wewe utabaki kulaumu matajiri tu wakati hawa hawa matatajiri ndio wanatufanya tupate rizki ya kula kupitia kwa Mwenyezi Mungu.

So endeleeni tu kukaza ila baadhi ya viongozi wetu wakiwemo mawaziri, wabunge n.k wanachekelea tu, wewe utabaki kulaumu matajiri
 
Kwa kweli hapo mlengwa ni Tz, ili tukosee tu na sisi tuingie kichwa kichwa jamaa waje wajae hunu halafu kuwatoa iwr issue. Bongo ina rasilimali nyingi saana ambazo wenzetu wanazitaka ikiwemo ardhi. Sisi tusikubali hata kidogo. Mwekezaji au yeyote anayetaka kuja afuate sheria zetu ikiwemp visa na atakaa tunamjua na hadi mwisho wa kibali chake. Hao Kenya tuwape muda tu watakuja farakana soon. Huwezi iacha nchi watu waingie kama sokoni

Kenya wanajitambua, inathamini wageni na kuwajali, mgeni ukishampa masharti magumu usifikiri atakukalia, nchi nyingi tu zinamhitaji ambazo hazina masharti, hata mzawa kuna mahala anashindwa kurun biashara zake kutokana na kodi kubwa anatozwa mpaka anasajili gari zake nje ya nchi, kama ni rwanda, burundi au congo, hii nchi ngumu sana. Wageni wana haki kukimbilia nchi zenye masharti rafiki, Mzawa ana haki kulipia nchi za jirani na kuachana na huku kwenye kodi kubwa


Wengi wetu watanzania roho mbaya na wivu inatuponza, na ndio maana mambo yetu hayaendi

Nimemaliza......
 
Nimeona Rais wa Kenya Ruto amefuta visa entry requirement kwake.

Kuna faida yeyote ya kiuwekezaji?

Je dola 20 au 50 zilikua kikwazo kuingiza watu nchini?

Kwamba kuna wawekezaji serious walishindwa kwenda Kenya kwa kukosa dola 30?

Hii kwangu naiona kama njia ya kukaribisha magaidi nchini Kenya na sio njia au jambo zuri la kuiga Tanzania? ukifanya hivyo, kesho uhamiaji watajaa wasomali maelfu kwa kigezo cha utalii tutaingiza magaidi nchini.
Umeanza vizuri lakini umemaliza vibaya , ungesubiri majibu ya wadau badala ya kuhitimisha mwenyewe na hoja ya ugaidi
 
Tuelezee mkuu, kwanini unasema ili Tanzania aingie? Kwanini Tanzania awe target?
Ameplan nini kenya kwa Tz?
Tupe madini mkuu.
Nchi zote zinazoizunguka Tanzania. Do not have what Tanzania has. Ila wao Wana akili ambayo kwa kiasi kikubwa watanzania hawana kulingana nao.

Mpaka leo Tanzania pekee ndiye aliyepinga political federation ndani ya EAC. Tena kipindi kile tunapinga tulikuwa nchi tano.
Hivi unahisi kama tungekubali kipindi kile leo wakongo ( including M23 PK fronts wangekuwa na uhalali wa kuhodhi nyazifa na ardhi ndani ya Tz), pastoralists from Rwanda, South Sudan and Shabaab from Mogadishu wangekuwa na haki sawa na mmatumbi wa Tz.

Hivyo, hiyo sera ni ama Kagame anataka kutuingiza kingi ama ashatuingiza kumbuka tuko naye EAC. Pia kwa nyingeza ana Dili la wakimbizi kutoka Britain na hela ashakula.
 
Your reasoning capacity yako iko chini below average......nchi kama Tanzania inauwezo wa kuzuia magaidi kuingia wakitaka?, Nani kakuambia kwamba gaidi anahitaji viza kuingia hapa Tanzania?
Uko sahihi, lakini visa free inakupa hata uwanda mpana wa kutokuzuia vitu vingi. Tuzidi kutafakari.
 
Ruto anatafuta publicity ,ana joto la kisiasa kwake , lakini ukweli ni kua kuondoa visa restriction ni kuondoa geti mlangoni
Kweli hata mimi naona kaingia chaka ila labda ameona hela zinapigwa ila hili nalo sidhani maana sio hela nyingi hivyo mpaka aamue tukose wote
Labda kutakuwa na utaratibu wa kuhojiwa kama una kiasi gani na umekuja kufanya nini

Waarabu wa UAE wanataka watu waingie nchini kwao bila passports kabisa naona ni Dubai kwa kuanzia
Unajaza form online halafu unaandika details zote wanahakiki na passport kama ni Biometric basi unaenda tu, ukifika airport inakupa green light ila kama hamfanani au kuna kasoro Red inawaka unakaa pembeni kusubiri maswali
 
Nadhani na sisi tuondoe vikwazo vya visa kwa nchi zote za Africa isipokua zenye usalama mbovu wa raia wake.
Hii italeta chachu ya maendeleo.
Ila serekali iwe makini na kuongeza ufuatiliaji.
Hapa kuna kujiandaa ki ulinzi na usalama. Kwa haya mazoea ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Kwa mapenzi mema kabisaa sishauri hili.
 
Back
Top Bottom