Kuna faida gani za nchi kuruhusu mataifa kuingia bila VISA?

Kuna faida gani za nchi kuruhusu mataifa kuingia bila VISA?

Raia wamedinda

1000064902.jpg
 
Nani kakwambia [emoji1241] maskini! Au watu wake ndio maskini!

Wengi wenu huwa mnatanguliza shari, na roho mbaya kwa wageni/wawekezaji na ndio maana umaskini hautakuja kuisha, viongozi wengi ama baadhi yao wanakula mema ya nchi, wewe utabaki kulaumu matajiri tu wakati hawa hawa matatajiri ndio wanatufanya tupate rizki ya kula kupitia kwa Mwenyezi Mungu.

So endeleeni tu kukaza ila baadhi ya viongozi wetu wakiwemo mawaziri, wabunge n.k wanachekelea tu, wewe utabaki kulaumu matajiri
Wewe unadhani huyo mgeni anakupenda sana wewe sokwe mtu
 
Nani kakwambia [emoji1241] maskini! Au watu wake ndio maskini!

Wengi wenu huwa mnatanguliza shari, na roho mbaya kwa wageni/wawekezaji na ndio maana umaskini hautakuja kuisha, viongozi wengi ama baadhi yao wanakula mema ya nchi, wewe utabaki kulaumu matajiri tu wakati hawa hawa matatajiri ndio wanatufanya tupate rizki ya kula kupitia kwa Mwenyezi Mungu.

So endeleeni tu kukaza ila baadhi ya viongozi wetu wakiwemo mawaziri, wabunge n.k wanachekelea tu, wewe utabaki kulaumu matajiri
Wewe unadhani huyo mgeni anakupenda sana wewe sokwe mtu
 
Tunataka afrika moja mataifa yote yawe wamoja bila visa,achen porojo zenu za vjiwen,hii ndo afrika gadafi alioitaka
 
Sasa mbona kutwa Usalama wa nchi
Sijui na kiduku asemaje
Hizo sub sasa utasikia kina Maulidi ndio wametengeneza
UJamaa feki uliharibu Mindset zetu tunajua fika kile kipindi tunapata Uhuru kilikuwa ni kipindi cha COLD WAR lakini sisi bado tu tumegandisha mawazo yetu wakati wenzetu walishaondoka huko😁
 
Tunataka afrika moja mataifa yote yawe wamoja bila visa,achen porojo zenu za vjiwen,hii ndo afrika gadafi alioitaka

Kwani Gaddafi ni nani hadi tumsikilize?

Hatutaki Africa iungane huo mpango ushindwe na ufe. We're a melting pot of different cultures, traditios, customs and values hatuwezi kuwa kitu kimoja. Ni rahisi tulivyo sasa kuliko kuungana. Kawaambie SA waungane na CAR(sio Congo) uone kama watakuelewa.
 
Tanzanians should focus on policies regarding their country. Kenyans don't even know who is your deputy president yet you are concerned with kenyan matters, you should use this energy to increase move your country from LDC
 
Wewe umiliki wa ardhi umekufikisha wapi? Unaweza kufananisha uchumi wa TZ na Kenya? I hate to say this but Ukitoa ujinga na umaskini nini kingine mmeizidi Kenya? Ukienda nje ili mtu ajue TZ ipo wapi inabidi useme ipo karibu na Kenya.

Point yangu haikuwa based btn Kenya vs TZ tu bali kwa ujumla wake. Kuna notion ambayo wabongo mmemezeshwa miaka yote kwamba TZ ni special na dunia nzima watu wanaionea donge. SSH kuna siku alisema TZ ni kama binti mrembo kila mtu anamtolea macho something in those lines. Hii notion imefanya wabongo wawe mavuvuzela kwenye ulimwengu wa ushindani. Wabongo hawataki kutoka nje, hawataki kujichanganya, hawataki uraia pacha, hawataki wageni wanaamini wao ni special kila mtu anataka kuwaibia. Huu ni uzwazwa.

Kama mbuga SA kuna mbuga nzuri na zenye miundombinu bora kuliko bongo. Madini Congo wametuzidi mbali labda tanzanite tu. Visiwa na maziwa kila nchi yapo. Uchumi hatupo hata top10 Africa let alone worldwide. Same kwenye miundombinu na welfare ya wananchi. Huo uspecial wenu ni nini? Wenzenu wanafunguka wanaendelea nyie endeleeni kujifungia maghettoni mkiamini ni special.
Uraia wetu ni tunu.
Hii ipo ktk tunu za Taifa la Tanzania.
Ingawa hatukumwaga damu kama nchi nyingine lakini Imani yetu tangu mwanzo ni kuwa Mtanganyika ama kuwa Mtanzania ni kitu Cha kujivunia. Asiyetaka hakatazwi kuukana utanzania.

Kuna nchi ambazo zimeendelea na bado uraia wao ni tunu kubwa na kila raia anawajibika kutumia muda wake kwa ulinzi wa kijeshi ktk nchi yake.
 
Una hoja nzito, usikilizwe. Kwasababu this is not an overnight petty issue to deal with kwa maana vyombo vyetu vya usalama visijekuwa overloaded with huge task itakayopelekea loopholes, unless wa isolate kitengo so special and specific ku deal na hiyo section.

Nchi hupangwa kwa madaraja na (wao) uhamiaji hutumia rangi katika hayo madaraja, ya kuwa raia wa nchi fulani rangi zao ni hizi, na wa nchi fulani rangi zao ni hizi. Kuanzia red hadi green.
Kwa mfano kipindi Osama yupo Afghanistan, visa aa raia wanaotoka hizo nchi huwa stepped up kwny rangi fulani ambayo inamaanisha kuwazuia ama kuwachekecha hasa raia wa nchi hizo wanaoingia.

Nchi ikiwa na rangi ambayo wao uhamiaji wameiona ni hatari kwa usalama, ama dawa za kulevya nk, visa zao huwa na vgezo kigumu sana kuingia Tz au nchi yyte duniani. Hata raia wa Tz wanaotembelea hizo nchi na kuwa na stamp ya exit ya hizo nchi wakiingia at any point of Entry katika nchi yetu, ukaguzi wao huwa wa hali ya juu.

Upo sahihi kwa worry yako, lakn rais wao haja identify vikwazo vimeondolewa kwny nchi zenye rangi ipi na ni vikwazo vipi. Maana kuna nchi ambazo hazihitaji viza kuja Tz au kwao Kenya.

Beside waalifu kama magaidi nk, wana all means ya kuingia nchini kwakutumia any document au kuingia kwny mipaka yetu dhaifu
 
Wewe umiliki wa ardhi umekufikisha wapi? Unaweza kufananisha uchumi wa TZ na Kenya? I hate to say this but Ukitoa ujinga na umaskini nini kingine mmeizidi Kenya? Ukienda nje ili mtu ajue TZ ipo wapi inabidi useme ipo karibu na Kenya.

Point yangu haikuwa based btn Kenya vs TZ tu bali kwa ujumla wake. Kuna notion ambayo wabongo mmemezeshwa miaka yote kwamba TZ ni special na dunia nzima watu wanaionea donge. SSH kuna siku alisema TZ ni kama binti mrembo kila mtu anamtolea macho something in those lines. Hii notion imefanya wabongo wawe mavuvuzela kwenye ulimwengu wa ushindani. Wabongo hawataki kutoka nje, hawataki kujichanganya, hawataki uraia pacha, hawataki wageni wanaamini wao ni special kila mtu anataka kuwaibia. Huu ni uzwazwa.

Kama mbuga SA kuna mbuga nzuri na zenye miundombinu bora kuliko bongo. Madini Congo wametuzidi mbali labda tanzanite tu. Visiwa na maziwa kila nchi yapo. Uchumi hatupo hata top10 Africa let alone worldwide. Same kwenye miundombinu na welfare ya wananchi. Huo uspecial wenu ni nini? Wenzenu wanafunguka wanaendelea nyie endeleeni kujifungia maghettoni mkiamini ni special.
Congo pamoja na yote lakini hakuna amani. Amani ni kitu Cha kujivunia sana kama Mtz. Sisemi hakuna matatizo ila Congo wametuzidi labda Rhumba. Mali zao zinaibiwa kila siku.
 
Kujichanganya kwa wa Tz tunabfungwa na sera za ki nchi hazisapoti. Hapo Rwanda huwa wanaambiwa kabisaa kuwa nchi yao ni mdogo hivyo wakatafuteali kokote. Na KP anaweka sera za kuwavutia wafanyabiashara na makampuni makubwa hapa kwetu wanasiasa ni changamoto ktk hili. Hapo naomba utofautishe wanasiasa na nchi. Unaweza ukawa proud na nchi yako lakini usiwe proud na wanasiasa na sera zao baadhi ama zote
 
Wewe umiliki wa ardhi umekufikisha wapi? Unaweza kufananisha uchumi wa TZ na Kenya? I hate to say this but Ukitoa ujinga na umaskini nini kingine mmeizidi Kenya? Ukienda nje ili mtu ajue TZ ipo wapi inabidi useme ipo karibu na Kenya.

Point yangu haikuwa based btn Kenya vs TZ tu bali kwa ujumla wake. Kuna notion ambayo wabongo mmemezeshwa miaka yote kwamba TZ ni special na dunia nzima watu wanaionea donge. SSH kuna siku alisema TZ ni kama binti mrembo kila mtu anamtolea macho something in those lines. Hii notion imefanya wabongo wawe mavuvuzela kwenye ulimwengu wa ushindani. Wabongo hawataki kutoka nje, hawataki kujichanganya, hawataki uraia pacha, hawataki wageni wanaamini wao ni special kila mtu anataka kuwaibia. Huu ni uzwazwa.

Kama mbuga SA kuna mbuga nzuri na zenye miundombinu bora kuliko bongo. Madini Congo wametuzidi mbali labda tanzanite tu. Visiwa na maziwa kila nchi yapo. Uchumi hatupo hata top10 Africa let alone worldwide. Same kwenye miundombinu na welfare ya wananchi. Huo uspecial wenu ni nini? Wenzenu wanafunguka wanaendelea nyie endeleeni kujifungia maghettoni mkiamini ni special.
Bado SA Africa Wana ya kujifunza mengi kutoka kwetu. Ukanda, ukabila na uchumi baguzi
 
Wewe umiliki wa ardhi umekufikisha wapi? Unaweza kufananisha uchumi wa TZ na Kenya? I hate to say this but Ukitoa ujinga na umaskini nini kingine mmeizidi Kenya? Ukienda nje ili mtu ajue TZ ipo wapi inabidi useme ipo karibu na Kenya.

Point yangu haikuwa based btn Kenya vs TZ tu bali kwa ujumla wake. Kuna notion ambayo wabongo mmemezeshwa miaka yote kwamba TZ ni special na dunia nzima watu wanaionea donge. SSH kuna siku alisema TZ ni kama binti mrembo kila mtu anamtolea macho something in those lines. Hii notion imefanya wabongo wawe mavuvuzela kwenye ulimwengu wa ushindani. Wabongo hawataki kutoka nje, hawataki kujichanganya, hawataki uraia pacha, hawataki wageni wanaamini wao ni special kila mtu anataka kuwaibia. Huu ni uzwazwa.

Kama mbuga SA kuna mbuga nzuri na zenye miundombinu bora kuliko bongo. Madini Congo wametuzidi mbali labda tanzanite tu. Visiwa na maziwa kila nchi yapo. Uchumi hatupo hata top10 Africa let alone worldwide. Same kwenye miundombinu na welfare ya wananchi. Huo uspecial wenu ni nini? Wenzenu wanafunguka wanaendelea nyie endeleeni kujifungia maghettoni mkiamini ni special.
Uchumi wetu ni mdogo si kwa sababu ya nchi yetu kuwa masikini ila ni sera na usimamizi mbovu wa uchumi wetu.
 
Uchumi wetu ni mdogo si kwa sababu ya nchi yetu kuwa masikini ila ni sera na usimamizi mbovu wa uchumi wetu.

Sio sera, bali ni uongozi.

Dubai hawakuwa na kitu, ila uongozi umewafikisha walipo. Tanzania na nchi nyingi za Africa zina kila kitu yet ni maskini.

Uongozi bora na makini hutengeneza sera zilipo bora na huondoa sera zilizo mbovu.
 
Back
Top Bottom