Kuna jambo zito linawakabili vijana wa kiume wa Arusha. Msaada wa haraka unatakiwa

Duuuh
 
Correct
 
Hapo ktk niliyotaja ni lipi halipo hapo Arachuga, Ungalimited na Tengeru?
Mh unaijua ngalimi au galeloo na hyo tengeru au umeadsiwa kwa wiz hapo sawa n asili ya hzo mitaa unakuta mtu chali n fund magar au anacho karakana lakn ukiwa mshamba lazima akuibie na anayo pesa kwa uwizi n ipo kweny damu lakn ushoga dah watake radhi mkuu
 
Baadhi ya vijana wa Arusha:

Wanapenda kulelewa na wanawake watu wazima au wadada wenye uwezo.

Wanapenda favour, zawadi, surprise na kulipuwa bills. Kwa mara ya kwanza mwanaume ananikumbusha mwezi ule atakuwa na birthday nimpe zawadi alikuwa wa Arusha.

Ni watelekezaji wa familia. Kuacha mke na watoto wawili wachanga akaja Dar akabadili mawasiliano jambo la kawaida kwao.

Wanapenda kutegemea ukweni. "Yule si nilizaa nae ila kwao wanajiweza, mtoto anasomeshwa na mamamkwe"

Wanapenda kujipendekeza na kutegemea ndugu wenye uwezo kubebwa bila jitihada zao binafsi. Ile "nina bro wangu atamaliza we usiwaze"

Depal my friend kwa hawa kaka zako kazi unayo
 
Robert Heriel Mtibeli umetolewa kabisa na bqngo
 
Kazi ipo
 
Sehemu zote duniani ambayo utalii ndiyo njia kuu ya uchumi, maadili hua hakuna 100%!

Uchumi huondoka kwenye uzalishaji na kuwa huduma!
Sasa fikiria huduma gani utauza kwenye soko hili? Bidhaa namba Moja ni matundu ya mwili!

Chukulia mfano wa Zanzibar, Thailand, Bali, Miami..

Inasikitisha lakini ukweli ndio huo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…