Ndo hivyo wakuu, naomba nisaidiwe hilo!. Najua kuna wataalamu na wazoefu wa kung'amua tabia humu.
Mtoto ni wa kike, still todler (2+ yrs).
Mtoto huyu halali kama hajanyonya kidole chake gumba cha mkono wa kushoto huku mkono wa kulia akiutumia kumfinyafinya mama yake (au yeyote aliyemshika). Na sehemu anayopenda kumfinya aliyemshika ni kwenye kiwiko cha mkono.
Ukimtoa kidole hiko halali na lazime akupigie kelele za kilio. Huhakikisha analala nacho na muda pekee wa kuweza kumtoa ni wakati wa amelala fofofo!
Mtoto ni wa kike, still todler (2+ yrs).
Mtoto huyu halali kama hajanyonya kidole chake gumba cha mkono wa kushoto huku mkono wa kulia akiutumia kumfinyafinya mama yake (au yeyote aliyemshika). Na sehemu anayopenda kumfinya aliyemshika ni kwenye kiwiko cha mkono.
Ukimtoa kidole hiko halali na lazime akupigie kelele za kilio. Huhakikisha analala nacho na muda pekee wa kuweza kumtoa ni wakati wa amelala fofofo!