Kuna kiashiria chochote cha tabia kwa mtoto anayenyonya kidole?

Kuna kiashiria chochote cha tabia kwa mtoto anayenyonya kidole?

Sina scientific research ila kwa uzoefu wangu watoto ambao wananyonya vidole kwa umri mrefu wanakuwa na shida kwenye IQ yao. Ama anakuwa mzubaifu, mzito kiakili, mpole kupitiliza au mnyonge. Na mara nyingi hujiliza sana.
Tazama anavyokuwa ananyonya kidole anavyopigwa na butwaa au mshangao. Huwa naona ni weakness ya kupambana nayo mapema kwa mtoto.
Ni ukweli. Inakuwa mijinga mijinga na mizembe. Amuwahi hiyo tabia aache. Huwa wanakuwa mafala
 
Mdogo wangu anakaribia 18 yrs na bado ananyonya vidole
Tulipaka upupu, shubiri sijui alovera, pilipili tulifunga hadi plaster lakini hakuacha
Aisee, poleni sana!
 
Mimi wa kwangu nilimpaka pilipili wapi zaidi anajiminya macho ikawa inamuwasha nikaacha nikavikata kiaina kwa wembe lakini wapi akalia kwa ule muda kaona damu baadae nakutana naye anyonya nikaachana nae
Alikuja kuacha mwenyewe akiwa na miaka 9, haya mdogo wake kwa sasa ana miaka 5 yumo tu kwenye kunyonya mbaya zaidi nae ni vidole gumba vyote.
Ko huyo wa kwako muache atacha tu muda ukifika.
 
Sina scientific research ila kwa uzoefu wangu watoto ambao wananyonya vidole kwa umri mrefu wanakuwa na shida kwenye IQ yao. Ama anakuwa mzubaifu, mzito kiakili, mpole kupitiliza au mnyonge. Na mara nyingi hujiliza sana.
Tazama anavyokuwa ananyonya kidole anavyopigwa na butwaa au mshangao. Huwa naona ni weakness ya kupambana nayo mapema kwa mtoto.
Ahsante sana kwa alert hii
 
Mdogo angu alikua ananyonya kidole gumba cha mkono wa kulia, alikua anakatazwaa sana had kuchapwa fimbo akikutwa, ila akikaa mda ananyonya tena,

Alikuja kuacha akiwa Sec O level, ilitokea tyuuh akaacha. Ko hata huyo ataacha yeye mwenyewe, ila wengine wanaendelea had ukubwani.
Ahsante
 
Mimi wa kwangu nilimpaka pilipili wapi zaidi anajiminya macho ikawa inamuwasha nikaacha nikavikata kiaina kwa wembe lakini wapi akalia kwa ule muda kaona damu baadae nakutana naye anyonya nikaachana nae
Alikuja kuacha mwenyewe akiwa na miaka 9, haya mdogo wake kwa sasa ana miaka 5 yumo tu kwenye kunyonya mbaya zaidi nae ni vidole gumba vyote.
Ko huyo wa kwako muache atacha tu muda ukifika.
Oh, shukrani mkuu!
 
Mimi nilikuwa nayonya vidole viwili mpaka miaka 18 nikaacha mwenyewe mimi nilikuwa nayonya huku nafinya finya sikio la kulia, mpaka leo linakujika lenyewe mpaka watu wananishangaa😃
🤣🤣🤣
Bila kukuna hilo sikio unajisikiaje?
 
Nilijifunza chuoni hii kwenye saikolojia. Hiyo nguvu ya kunyonya huzaliwa nayo viumbe vyote vinavyonyonya. Ndiyo maana mbuzi, ng'ombe na nguruwe vikizaliwa tu hakuna mwalimu wa kumfundisha kunyonya. Wanyama pori ni zaidi huanza kunyonya ndani ya dakika 5 baada ya kuzaliwa. Nguvu hii huitwa libido energy au conscious activity kama sijasahau mana nimesoma zamani. Ni sawa na hamu ya kufanya mapenz Kwa wanyama huzaliwa nayo na hawafundishwi, paka, njiwa, kuku, huyo mtoto muda ukifika ataacha na akikua ataanza kufanya mapenz bila kuingia darasani kufundishwa. Mungu katuumba hivyo.
Ahsante sana!!
 
Hata mdogoangu alikuwa anatabia hiyo akiwa mdogo Hadi anafikisha miaka 7 hapo faza akaamua amuachishe kinguvu alitumia mbinu hii na ilifanya kazi.

Alimwita Kama kumkatakucha mikononi harafu akamkata jeraha dogo kwenye kidole husika baada ya hapo akamuwekea bonge la bandeji katika hicho kidole baada ya wiki alipo itoa bandeji, dogo hajawahi nyonya Tena Hadi leo ana miaka 30.
 
Ndo hivyo wakuu, naomba nisaidiwe hilo!. Najua kuna wataalamu na wazoefu wa kung'amua tabia humu.
Mtoto ni wa kike, still todler (2+ yrs). Mtoto huyu halali kama hayanyonya kidole chake gumba cha mkono wa kushoto huku mkono wa kulia akiutumia kumfinyafinya mama yake (au yeyote aliyemshika). Na sehemu anayopenda kumfinya aliyemshika ni kwny kiwiko cha mkono.
Ukimtoa kidole hiko halali na lazime akupigie kelele za kilio. Huhakikisha analala nacho na muda pekee wa kuweza kumtoa ni wakati wa amelala fofofo!
Ni kawaida japo kwangu mm najitahidi kumkataza toka akiwa mdogo mfano mwangu wa kiume alianza kula mikono toka akiwa na 2mnth ukimbeba anaweka mkono mdomoni anaanza kutafuta pozi la kidole gani anyonye nikajitahidi kumkataza na mama yake akafanya hivyo mpaka kakua akawa ameacha bila kupaka pilipili. Usihofu ni tabia ya kawaida ukitaka asizoee mikono mnunulie pacifier itamkeep busy muda ambao ananyonya vidole. Na haihusiani na mtoto kushiba au kutoshiba
 
Kisaikolojia hii ina implication mara nyingi watoto wanaofanyiwa ukatili, manyanyaso, kutengwa au wasioridhishwa na mwenendo wa mambo flani flani katika malezi yao (mfano kuachishwa nyonyo kablabla ya muda kutokana na ubize wa ma, mama kumuacha mwanae na hausigeli ilihali mtoto anaona watoto wenzie wanabeng na mama zao n.k)

Watoto wa ana nilizotaja hapo juu kua wakati (sio lazima) hudevelop vijitabia vya dizaini hizo kama namna ya kujifariji na mara nyingi hii huendelea hadi utu uzima kama chanzo kisipotibiwa mapema
 
Tatizo lipo. Meno yake ya mbele hasa ya juu hayatakuwa sawia. Nashindwa kuelezea vizuri ila kuna mbunge mmoja mwanamke na ni waziri nimemsahau jina, mweupe meno yake ya juu ni uthibitisho tosha kuwa utotoni alinyonya vidole. Huo ni uhakika 💯%. Uliza hata wengine watu wazima km mimi watakuambia hivihivi, ila kiafya hakuna madhara.
 
Back
Top Bottom