BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Ha ha ha ha umeniumiza mbavuKuna mama wa kambo ana meno aina hiyo usiombe akacheka uwiii kama zombi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha umeniumiza mbavuKuna mama wa kambo ana meno aina hiyo usiombe akacheka uwiii kama zombi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahKuna mama wa kambo ana meno aina hiyo usiombe akacheka uwiii kama zombi
Asante kwa ushuhuda mkuu, vp IQ yako unaionaje.Tangu nazaliwa mpaka nafika miaka 11, nilikuwa nikinyonya kidole gumba cha mkono wa kushoto. Walitumia kila njia kuniachisha ikadhindikana.
Nilikuja tu kuacha mwenyewe.
Haina shida hata kidogo wala usihofu. Usikubali kufuata ushauri wa watu makatili eti paka pilipili au mambo mengine. Kwenye familia yetu karibu kila mtu alikuwa ananyonya kidole na wengine wamenyonya mpaka walipofikisha miaka 7 na 9. Wazazi wetu walikuwa wasomi hivyo haikuwa ni issue kwao. Pia najua watoto wengi walinyonya na vidole na wamekuwa kama watoto wengine. Tena kuna dhana kwamba wanaonyonya vidole mara nyingi huwa na akili nzuri ukubwani. La muhimu mwache anyonye kwa raha zake na akikua ataacha.Ndo hivyo wakuu, naomba nisaidiwe hilo!. Najua kuna wataalamu na wazoefu wa kung'amua tabia humu.
Mtoto ni wa kike, still todler (2+ yrs). Mtoto huyu halali kama hayanyonya kidole chake gumba cha mkono wa kushoto huku mkono wa kulia akiutumia kumfinyafinya mama yake (au yeyote aliyemshika). Na sehemu anayopenda kumfinya aliyemshika ni kwny kiwiko cha mkono.
Ukimtoa kidole hiko halali na lazime akupigie kelele za kilio. Huhakikisha analala nacho na muda pekee wa kuweza kumtoa ni wakati wa amelala fofofo!
Ahaa ndugu yangu wee. Nawajua wengi wamenyonya mpaka walipofikisha miaka 10, wengine mpaka darasa la saba.
Sahihi kabisa Niko nao wawili mtu na dada yake warembo haswaa mdogo miez 11 mkubwa miaka 3, 8/12 hawana tabu kabisa wamerithi kwa mama YaoHakuna shida hiyo ni tabia ambayo iko kwenye kizalia cha ukoo/familia.. In fact mtoto anayenyonya kidole sio msumbufu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama yake alikuwa anamwacha analala ilhali ziwa liko mdomoni?Ndo hivyo wakuu, naomba nisaidiwe hilo!. Najua kuna wataalamu na wazoefu wa kung'amua tabia humu.
Mtoto ni wa kike, still todler (2+ yrs). Mtoto huyu halali kama hayanyonya kidole chake gumba cha mkono wa kushoto huku mkono wa kulia akiutumia kumfinyafinya mama yake (au yeyote aliyemshika). Na sehemu anayopenda kumfinya aliyemshika ni kwny kiwiko cha mkono.
Ukimtoa kidole hiko halali na lazime akupigie kelele za kilio. Huhakikisha analala nacho na muda pekee wa kuweza kumtoa ni wakati wa amelala fofofo!
Daah! Kuna wakati natamani nikikate hiki kichwa niweke kingine chenye akili za kuvukia bara bara tu 😀😀😀Asante kwa ushuhuda mkuu, vp IQ yako unaionaje.
JESUS IS LORD
Niliacha kunyonya vidole baada ya kuanza darasa la kwanza. Home ilifikia hatua hadi nilikuwa navalishwa soksi kwenye mkono 😅😅😅.Ndo hivyo wakuu, naomba nisaidiwe hilo!. Najua kuna wataalamu na wazoefu wa kung'amua tabia humu.
Mtoto ni wa kike, still todler (2+ yrs).
Mtoto huyu halali kama hajanyonya kidole chake gumba cha mkono wa kushoto huku mkono wa kulia akiutumia kumfinyafinya mama yake (au yeyote aliyemshika). Na sehemu anayopenda kumfinya aliyemshika ni kwenye kiwiko cha mkono.
Ukimtoa kidole hiko halali na lazime akupigie kelele za kilio. Huhakikisha analala nacho na muda pekee wa kuweza kumtoa ni wakati wa amelala fofofo!
Tafiti zinasema watoto wanaopenda kunyonya vidole uwezo wao wa kufikiri ni mdogo, wakiwa wakubwa wakikumbana na msongo wa mawazo ni rahisi kusambaratika hawawezi kujipagania wenyewe.Ndo hivyo wakuu, naomba nisaidiwe hilo!. Najua kuna wataalamu na wazoefu wa kung'amua tabia humu.
Mtoto ni wa kike, still todler (2+ yrs).
Mtoto huyu halali kama hajanyonya kidole chake gumba cha mkono wa kushoto huku mkono wa kulia akiutumia kumfinyafinya mama yake (au yeyote aliyemshika). Na sehemu anayopenda kumfinya aliyemshika ni kwenye kiwiko cha mkono.
Ukimtoa kidole hiko halali na lazime akupigie kelele za kilio. Huhakikisha analala nacho na muda pekee wa kuweza kumtoa ni wakati wa amelala fofofo!
😀😀😀 mhurumie kidogo, kama zombie tena?!!!!Kuna mama wa kambo ana meno aina hiyo usiombe akacheka uwiii kama zombi
🤣🤣🤣Niliacha kunyonya vidole baada ya kuanza darasa la kwanza. Home ilifikia hatua hadi nilikuwa navalishwa soksi kwenye mkono 😅😅😅.
Nilikuwa napenda kunyonya vidole viwili vya kati, vya mkono wa kushoto. Na nikivinyonya, huu mkono mwingine lazima nijishike sikio au chuchu, au hata kumshika sikio sehem ya hereni aliyekuwa pembeni yangu
Zombie ndio😀😀😀 mhurumie kidogo, kama zombie tena?!!!!
Acha ukatili Kapeace, nilivyokuota haufanani nao!!Zombie ndio
😂😂😂 Ndo umkomalie mrembo huyo lasivyo ataharibu menoAcha ukatili Kapeace, nilivyokuota haufanani nao!!
Mwanafunzi mmoja wa kidato cha sita, alikuwa ananyonya kidole. Mpaka ukubwani eti.Haina shida mkuu. Hiyo inaitwa sucking reflex ambayo ni hali inayoanzia tokea mtoto akiwa tumboni, huanza kuanzia mwezi wa tatu wa ujauzito.
Wataalamu wanasema hali hiyo hujijenga ili mtoto atakapozaliwa aweze kunyonya. Ndio maana ukiona viumbe hai wengi hawafundishwi kunyonya auto tu akiipata chuchu anafanya yake.
So wanasema kitu chochote kikigusa (hard palate) sehemu ngumu juu ndani ya mdomo hiyo suck reflex inatokea ana anajikuta ananyonya.
Hiyo hali inaweza kuendelea kwa mtoto mpaka miaka kadhaa hata baada ya kuacha kunyonya.
I stand to be corrected.