Kuna kiashiria chochote cha tabia kwa mtoto anayenyonya kidole?

Kuna kiashiria chochote cha tabia kwa mtoto anayenyonya kidole?

Mfunge plasta hicho kidole anachonyonya mpaka atakaposahau na kuacha.wakati mwingine inakujaga kuwa ngumu sana kumuachisha mtoto kidole akiishazoea sana
 
Wa kwangu ananyonya mdomo wa chini tena nusu na anajaribia miaka mitano, tushakemea sana lakini wap..
 
Ndo hivyo wakuu, naomba nisaidiwe hilo!. Najua kuna wataalamu na wazoefu wa kung'amua tabia humu.
Mtoto ni wa kike, still todler (2+ yrs). Mtoto huyu halali kama hayanyonya kidole chake gumba cha mkono wa kushoto huku mkono wa kulia akiutumia kumfinyafinya mama yake (au yeyote aliyemshika). Na sehemu anayopenda kumfinya aliyemshika ni kwny kiwiko cha mkono.
Ukimtoa kidole hiko halali na lazime akupigie kelele za kilio. Huhakikisha analala nacho na muda pekee wa kuweza kumtoa ni wakati wa amelala fofofo!
Haina shida hata kidogo wala usihofu. Usikubali kufuata ushauri wa watu makatili eti paka pilipili au mambo mengine. Kwenye familia yetu karibu kila mtu alikuwa ananyonya kidole na wengine wamenyonya mpaka walipofikisha miaka 7 na 9. Wazazi wetu walikuwa wasomi hivyo haikuwa ni issue kwao. Pia najua watoto wengi walinyonya na vidole na wamekuwa kama watoto wengine. Tena kuna dhana kwamba wanaonyonya vidole mara nyingi huwa na akili nzuri ukubwani. La muhimu mwache anyonye kwa raha zake na akikua ataacha.
 
Ndo hivyo wakuu, naomba nisaidiwe hilo!. Najua kuna wataalamu na wazoefu wa kung'amua tabia humu.
Mtoto ni wa kike, still todler (2+ yrs). Mtoto huyu halali kama hayanyonya kidole chake gumba cha mkono wa kushoto huku mkono wa kulia akiutumia kumfinyafinya mama yake (au yeyote aliyemshika). Na sehemu anayopenda kumfinya aliyemshika ni kwny kiwiko cha mkono.
Ukimtoa kidole hiko halali na lazime akupigie kelele za kilio. Huhakikisha analala nacho na muda pekee wa kuweza kumtoa ni wakati wa amelala fofofo!
Mama yake alikuwa anamwacha analala ilhali ziwa liko mdomoni?
Watoto hata wawe wadogo kiasi gani, wanatakiwa wawe na kitanda Chao. Sasa kama mpaka ana miaka 2 analala na mtu mzima akiwa anachezea kiwiko au kama nilivyoanza, pengine alizoeshwa kulala ziwa likiwa mdomoni. Sasa kiashiria ni ninyi wazazi mlimvyomzoesha sio yeye.
 
Kuna mwanangu nlkuwa na university pale yuko 26 now na mindevu kabisa

Yani unaeza ingia ghetto kwake unakuta ako bize na simu huku kaweka kidole gumba mdomoni
 
Ndo hivyo wakuu, naomba nisaidiwe hilo!. Najua kuna wataalamu na wazoefu wa kung'amua tabia humu.
Mtoto ni wa kike, still todler (2+ yrs).

Mtoto huyu halali kama hajanyonya kidole chake gumba cha mkono wa kushoto huku mkono wa kulia akiutumia kumfinyafinya mama yake (au yeyote aliyemshika). Na sehemu anayopenda kumfinya aliyemshika ni kwenye kiwiko cha mkono.

Ukimtoa kidole hiko halali na lazime akupigie kelele za kilio. Huhakikisha analala nacho na muda pekee wa kuweza kumtoa ni wakati wa amelala fofofo!

Niliacha kunyonya vidole baada ya kuanza darasa la kwanza. Home ilifikia hatua hadi nilikuwa navalishwa soksi kwenye mkono 😅😅😅.

Nilikuwa napenda kunyonya vidole viwili vya kati, vya mkono wa kushoto. Na nikivinyonya, huu mkono mwingine lazima nijishike sikio au chuchu, au hata kumshika sikio sehem ya hereni aliyekuwa pembeni yangu
 
Ndo hivyo wakuu, naomba nisaidiwe hilo!. Najua kuna wataalamu na wazoefu wa kung'amua tabia humu.
Mtoto ni wa kike, still todler (2+ yrs).

Mtoto huyu halali kama hajanyonya kidole chake gumba cha mkono wa kushoto huku mkono wa kulia akiutumia kumfinyafinya mama yake (au yeyote aliyemshika). Na sehemu anayopenda kumfinya aliyemshika ni kwenye kiwiko cha mkono.

Ukimtoa kidole hiko halali na lazime akupigie kelele za kilio. Huhakikisha analala nacho na muda pekee wa kuweza kumtoa ni wakati wa amelala fofofo!

Tafiti zinasema watoto wanaopenda kunyonya vidole uwezo wao wa kufikiri ni mdogo, wakiwa wakubwa wakikumbana na msongo wa mawazo ni rahisi kusambaratika hawawezi kujipagania wenyewe.
 
Niliacha kunyonya vidole baada ya kuanza darasa la kwanza. Home ilifikia hatua hadi nilikuwa navalishwa soksi kwenye mkono 😅😅😅.

Nilikuwa napenda kunyonya vidole viwili vya kati, vya mkono wa kushoto. Na nikivinyonya, huu mkono mwingine lazima nijishike sikio au chuchu, au hata kumshika sikio sehem ya hereni aliyekuwa pembeni yangu
🤣🤣🤣
Natamani nipate sababu hisia za kushika hayo maeneo. Kwa mfano huyu wangu lazima akushike kiwiko cha mkono wakati ananyonya hicho kidole chake kama upo karibu......lazima!!
 
Na wakianza kuota meno, Ronaldinho aingii ndani...
 
Haina shida mkuu. Hiyo inaitwa sucking reflex ambayo ni hali inayoanzia tokea mtoto akiwa tumboni, huanza kuanzia mwezi wa tatu wa ujauzito.

Wataalamu wanasema hali hiyo hujijenga ili mtoto atakapozaliwa aweze kunyonya. Ndio maana ukiona viumbe hai wengi hawafundishwi kunyonya auto tu akiipata chuchu anafanya yake.

So wanasema kitu chochote kikigusa (hard palate) sehemu ngumu juu ndani ya mdomo hiyo suck reflex inatokea ana anajikuta ananyonya.

Hiyo hali inaweza kuendelea kwa mtoto mpaka miaka kadhaa hata baada ya kuacha kunyonya.

I stand to be corrected.
Mwanafunzi mmoja wa kidato cha sita, alikuwa ananyonya kidole. Mpaka ukubwani eti.
 
Back
Top Bottom