Kuna kijimstari chembamba sana kinachomtenganisha mwanamke anayevaa shanga kiunoni na tabia za umalaya

Kuna kijimstari chembamba sana kinachomtenganisha mwanamke anayevaa shanga kiunoni na tabia za umalaya

Habari wakuu,

Kuna observation nimekuwa naifanya, nimegundua wanawake wengi wanaovaa shanga kiuononi ni malaya waliokubuhu.

Asanteni
Mbona baadhi ya makabila shanga ni utamaduni wao watoto huvalishwa tangu wakiwa wadogo nao ni malaya[emoji849][emoji849]utakuwa na matatizo weye sio bure[emoji1732][emoji1732]mwanamke bila shanga au cheni kiuno hakinogi
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ mwenyewe
Lione.
Ndio maana manzi ako havai waist chain ๐Ÿคญ๐Ÿ˜‹
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚ alipoanza kuvaa tu akaanza badilika, nilimuona mara mbili tangu aanze kuvaa hizo madude akataka na nyingine nikamwambia siwezi mnunulia hiyo. Baada ya hapo sijui aliniona mshamba_hachekwi ๐Ÿ˜…
 
Back
Top Bottom