Unamuamini huyo Lissu?Nimemsikiliza Lissu kwenye mahojiano akasema ikulu inamwambia watampigia simu halafu ikifika wakati kuna njama zinafanyika kuhakikisha Mama anashidwa kuongea naye.
Tujue kuwa kuna wafaudika wakubwa hata ndani ya usalama mfano mitambo ya kudukuwa simu nani katoa budget! Watekaji nani anawalipa, pesa za kununua wapinzani nani anatoa haya ni mabilioni ambayo wanaohopa kuyakosa.
Rais Samia asikokuwa makini hawa jamaa watahakikisha kuna fujo ili waendelee na biashara zao
Tundu Lissu akae ubeleji atulie huko pa sivyo aje aanze Luoga virungu. AnachushaNimemsikiliza Lissu kwenye mahojiano akasema ikulu inamwambia watampigia simu halafu ikifika wakati kuna njama zinafanyika kuhakikisha Mama anashidwa kuongea naye.
Tujue kuwa kuna wafaudika wakubwa hata ndani ya usalama mfano mitambo ya kudukuwa simu nani katoa budget! Watekaji nani anawalipa, pesa za kununua wapinzani nani anatoa haya ni mabilioni ambayo wanaohopa kuyakosa.
Rais Samia asikokuwa makini hawa jamaa watahakikisha kuna fujo ili waendelee na biashara zao
Kuna Genge linamtisha mama kuwa akiongea na wapinzani amekwisha😅😅😅Nimemsikiliza Lissu kwenye mahojiano akasema ikulu inamwambia watampigia simu halafu ikifika wakati kuna njama zinafanyika kuhakikisha Mama anashidwa kuongea naye.
Tujue kuwa kuna wafaudika wakubwa hata ndani ya usalama mfano mitambo ya kudukuwa simu nani katoa budget! Watekaji nani anawalipa, pesa za kununua wapinzani nani anatoa haya ni mabilioni ambayo wanaohopa kuyakosa.
Rais Samia asikokuwa makini hawa jamaa watahakikisha kuna fujo ili waendelee na biashara zao
Mama ameshakuwa blackmailed. Ni ngumu kujinasua. Hana pakushikaNi kweli!!mama anaendeshwa na TISS kwa maslahi ya wachache!!!
Hapana tunakuamini weweUnamuamini huyo Lissu?
Alikaa na nani?Miezi Kama miwili iliyopita alikaa nao face to face walimpa makavu live Kama wanaongea na mdogo wao kumbe hawamuogopi wale jamaaa noma sana
Mkuu nani huyo?Miezi Kama miwili iliyopita alikaa nao face to face walimpa makavu live Kama wanaongea na mdogo wao kumbe hawamuogopi wale jamaaa noma sana
Huyo humwamini ila wabambikaji unawaamini.Unamuamini huyo Lissu?
Kwa hiyo Samia anaendeshwa tu kama gari bovu?