Kuna kikundi kinapinga Rais Samia kuongea na upinzani

Kuna kikundi kinapinga Rais Samia kuongea na upinzani

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Nimemsikiliza Lissu kwenye mahojiano akasema ikulu inamwambia watampigia simu halafu ikifika wakati kuna njama zinafanyika kuhakikisha Mama anashidwa kuongea naye.

Tujue kuwa kuna wafaidika wakubwa hata ndani ya usalama mfano mitambo ya kudukuwa simu nani katoa budget! Watekaji nani anawalipa, pesa za kununua wapinzani nani anatoa haya ni mabilioni ambayo wanaogopa kuyakosa.

Rais Samia asipokuwa makini hawa jamaa watahakikisha kuna fujo ili waendelee na biashara zao
 
Nimemsikiliza Lissu kwenye mahojiano akasema ikulu inamwambia watampigia simu halafu ikifika wakati kuna njama zinafanyika kuhakikisha Mama anashidwa kuongea naye.

Tujue kuwa kuna wafaudika wakubwa hata ndani ya usalama mfano mitambo ya kudukuwa simu nani katoa budget! Watekaji nani anawalipa, pesa za kununua wapinzani nani anatoa haya ni mabilioni ambayo wanaohopa kuyakosa.

Rais Samia asikokuwa makini hawa jamaa watahakikisha kuna fujo ili waendelee na biashara zao
Unamuamini huyo Lissu?
 
Nimemsikiliza Lissu kwenye mahojiano akasema ikulu inamwambia watampigia simu halafu ikifika wakati kuna njama zinafanyika kuhakikisha Mama anashidwa kuongea naye.

Tujue kuwa kuna wafaudika wakubwa hata ndani ya usalama mfano mitambo ya kudukuwa simu nani katoa budget! Watekaji nani anawalipa, pesa za kununua wapinzani nani anatoa haya ni mabilioni ambayo wanaohopa kuyakosa.

Rais Samia asikokuwa makini hawa jamaa watahakikisha kuna fujo ili waendelee na biashara zao
Tundu Lissu akae ubeleji atulie huko pa sivyo aje aanze Luoga virungu. Anachusha
 
Nimemsikiliza Lissu kwenye mahojiano akasema ikulu inamwambia watampigia simu halafu ikifika wakati kuna njama zinafanyika kuhakikisha Mama anashidwa kuongea naye.

Tujue kuwa kuna wafaudika wakubwa hata ndani ya usalama mfano mitambo ya kudukuwa simu nani katoa budget! Watekaji nani anawalipa, pesa za kununua wapinzani nani anatoa haya ni mabilioni ambayo wanaohopa kuyakosa.

Rais Samia asikokuwa makini hawa jamaa watahakikisha kuna fujo ili waendelee na biashara zao
Kuna Genge linamtisha mama kuwa akiongea na wapinzani amekwisha😅😅😅
 
Kama hicho kikundi kweli kipo basi kinathibitisha udhaifu wa Samia, kwanini kwa mamlaka aliyonayo anashindwa kikushughulikia?
 
Ni kweli kabisa, wapo wahafidhina ndani ya chama tawala ambao wana sauti kubwa ndani ya chama, serikali na vyombo vya ulinzi na usalama hapa nchini. Wanatambua fika CCM ilipoteza mvuto na ushawishi wake kwa umma toka mwaka 2010.

Kwa hiyo wanatambua fika ya kwamba ili kuweza kupambana na upinzani, njia pekee iliyobakia kwao ni kwa kupitia tafu wabayoipata katika vyombo vya dola. CCM iliyokuwa na hoja za kiushindani dhidi ya upinzani ilikuwa mwisho wake ni katika nyakati za utawala wa hayati wa hayati Mkapa.
 
Miezi Kama miwili iliyopita alikaa nao face to face walimpa makavu live Kama wanaongea na mdogo wao kumbe hawamuogopi wale jamaaa noma sana
 
Alaaaa kumbe kila analolisema ,kulitamka na kulinena komredi TL ni la kweli eee ?!!!😲😲🤣

#NchiKwanza
#KaziIendelee
 
20210806_211419.jpg
 
Back
Top Bottom