Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
neno huru kwako lina maan a tofauti na maana halisi ya watu kuwa huru. Kwetu tuna umeme tangu mwaka juzi, lakini wewe unaongea umeme wa leo. Mpaka sasa hivi kuna vijana wana ajira za "fundi umeme" ambao wanatandika waya za umeme kwenye nyumba kwa malipo laki moja na nusu hadi laki mbili pamoja na gharama za vifaa. Wewe endelea kulala na kuota tu, wengine wameshaamka wako kazini sasa.
"Punguza sauti kidogo"Ni Mhutu
Mimi mwaka 2010 niliitangaza sana CHADEMA kijijini kwangu kwani nilichukua likizo kwenda kuhamasisha uchaguzi na kweli wananchi walikuwa na mwamko sana wakati huo. Wakati ule tulitoka kama 45% CHADEMA Vs 55% CCM. Lakini leo hii ni 100% CCM tu. Na sababu zake ni wazi kabisa.Kijiji gani mkuu??acha kujifariji.huu ndo upinzani Original.ccm oyee
Kwetu ni pazuri sana huenda kuliko kwenu; wako vizuri sana kibiashara, hawategemei pesa za mkato mkato ambazo ndizo zinazoliliwa na watu wengi hapa. Umewahi kuona watu wanaofanya biashara za kihalali wakililamika? Hii ya kupungua hela kwenye mzunguko ni jambo la muhimu sana kuimarisha uchumi. Mkapa aliimarisha sana mzunguko wakati wake lakini yaliyofuata ndiyo tunayokumbuka leo; kuna wakati inflation ilikuwa inapanda. Sasa hivi inflation imekuwa controlled tena kama alivyoacha Mkapa.
Sijui kama unajua kusoma graph!
View attachment 1574815
Sijui kama bado unaikumbuka picha hii pamoja na vikatuni vilivyofuatia
View attachment 1574817
Kuna wakati ndoto hutoa maana halisiEndeleani kuota
Mimi mwaka 2010 niliitangaza sana CHADEMA kijijini kwangu kwani nilichukua likizo kwenda kuhamasisha uchaguzi na kweli wananchi walikuwa na mwamko sana wakati huo. Wakati ule tulitoka kama 45% CHADEMA Vs 55% CCM. Lakini leo hii ni 100% CCM tu. Na sababu zake ni wazi kabisa.
Unaelewa maana ya maajabu?Kwa uelewa huu Tanzania tuna safari ndefu sana kuufuta ujinga. Hata mfano wa Maalim Seif umeusahau...tangu 2015 hadi leo hakuwahi kuwa raisi.
Pamoja na kumtoa dada kafara, maji yanazidi unga. Sijui nani atatolewa kafara kwenye ukoo kuikosoa hili jahazi.Mbowe kaona Lissu anachangamsha genge tuu hawezi kushinda urais kaamua kuachana nae. Huyo atakuwa rais wa miga.
Lissu is my president
Si kweli. Leta ushahidiWasalam,
Pamoja na mazuri yote aliyofanya Mh magufuli bado wingu jeusi limetanda ndani ya ccm kutokana na uasi wa baadhi ya wanaccm.
Kuna kila dalili kwamba ccm inaenda kushindwa kwa fedhea ktk uchaguzi wa Oct 28.
Dalili moja mbaya ni kwamba wananchi ambao ni wapiga kura wamekata tamaa kutokana na ugumu wa Maisha na wengi wameapa kuikataa ccm Oct 28, huenda Tanzania ikaandika historian kwa Rais kuongoza kipindi kimoja cha miaka5.
Dalili zinaonesha Watanzania hawana imani na CCM pamoja na rais magufuli.
Maendeleo yana vyama.
Lissu anatimiza wajibu wake kama RAIA mwema wa Tanzania, anakemea maovu na kutetea Uhuru wetu,Haki zetu ili tupate Maendeleo endelevu badala ya hata ya maboksi tunayoletewa na watesi wetu tupende tusipende.CCM Mpya ni shiiida!Tukiwaambia hatutaki ndege kwa sasa ndiyo wanaagiza zingine hadi tukome.Mwaka huu Mzimu wa Lissu hautawaacha salama.
Ndge john karudi tena.nilijua anafanya masihara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani wewe kila nikiona comments zako nacheka sana
Historia uvunjwa na historia mkuu.Kwa uelewa huu Tanzania tuna safari ndefu sana kuufuta ujinga. Hata mfano wa Maalim Seif umeusahau...tangu 2015 hadi leo hakuwahi kuwa raisi.
Mku hata Ethiopia hayo yote yapo lakini Waithiopia wanaikimbia Nchi yao kila siku.Ccm tulikosea sana kuwekeza kwenye vitu badala kuwapa Raia kile kinachohitajika kwa wakati na mahali husika pia makundi kwenye chama ni mengi hasa wale waliodharauliwa na viongozi huku nao wakiwa ni viongozi pia kwenye mashina na kata na wilaya haya yote ni shida kwa chamaWatakataje tamaa wakati kuna madege, mameli, mabwawa, mabarabara, madaraja, mareli na makodi mengi mengi...??
Hao wananchi hawaoni nchi ipo uchumi wa kati?
Mku kumbuka Lisu hakusukumwa kugombea ila ni kwa utashishi wake na na Chama cake na kwa historia yake pia imbeba sanaJiandae kisaikolojia, Magufuli atashinda kwa kishindo kikuu hiyo Oct 28.Lissu hawezi kuwa Rais wa tanzania, ukawa walichemsha 2015, ndio basi tena.
Maumeme,mimaji ! 😛Watakataje tamaa wakati kuna madege, mameli, mabwawa, mabarabara, madaraja, mareli na makodi mengi mengi...??
Hao wananchi hawaoni nchi ipo uchumi wa kati?
Mawazoo yako ndiyo mgando zaidi; nitayafafanua baada ya October 28Watu wenye mawazo mgando Kama huyu ni hatari kwa ustawi wa nchi
Yaani mavitu mengi mengi sana...Maumeme,mimaji ! 😛
Baada ya kukaa Sana bila ajira na huku Nina vyeti mkuuHivi mkuu ndege JOHN uliongoka lini?