Uchaguzi 2020 Kuna kila dalili huenda mwiko unaenda kuvunjika


Mwaka jana kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ndugu zako walichagua viongozi au walilazimishiwa viongozi na CCM kama vijiji vingine vyote nchini vilivyofanyiwa?
Bila dhulma, uonevu na kupora chaguzi CCM ishakataliwa nchini
 
nyie kaeni mnatiana ujinga,baada ya matokeo jiandaeni kuingia barabarani,nahisi hilo ndio la msingi kwenu kama mgombea wenu anavyowaasa.
 
Kijiji gani mkuu??acha kujifariji.huu ndo upinzani Original.ccm oyee
Mimi mwaka 2010 niliitangaza sana CHADEMA kijijini kwangu kwani nilichukua likizo kwenda kuhamasisha uchaguzi na kweli wananchi walikuwa na mwamko sana wakati huo. Wakati ule tulitoka kama 45% CHADEMA Vs 55% CCM. Lakini leo hii ni 100% CCM tu. Na sababu zake ni wazi kabisa.
 

Asante sana Kichuguu ukweli siku zote unathibitika! Asomae bila hila ataelewa tuu
 

Nna uhakika wale wote uliowahamasisha 2010 uko nao ulipo na wana vikatio vilivyohakikiwa😃😃✔✔✔👍

Maana kuna ndugu zetu baada ya kupoteza 2010 walisema hawatapiga kura tena, hata vikatio hawana ila kwenye mikutano hawakosi😂😂😂
 
Kwa uelewa huu Tanzania tuna safari ndefu sana kuufuta ujinga. Hata mfano wa Maalim Seif umeusahau...tangu 2015 hadi leo hakuwahi kuwa raisi.
Unaelewa maana ya maajabu?
Hayo hufanywa na Mungu
Hukusikia Zimbabwe?
Mpk leo watu hamuamini lakini imeshatokea
HAYO NDIYO MAAJABU
 
Mbowe kaona Lissu anachangamsha genge tuu hawezi kushinda urais kaamua kuachana nae. Huyo atakuwa rais wa miga.
Pamoja na kumtoa dada kafara, maji yanazidi unga. Sijui nani atatolewa kafara kwenye ukoo kuikosoa hili jahazi.
 
Si kweli. Leta ushahidi
 
Mwaka huu Mzimu wa Lissu hautawaacha salama.
Lissu anatimiza wajibu wake kama RAIA mwema wa Tanzania, anakemea maovu na kutetea Uhuru wetu,Haki zetu ili tupate Maendeleo endelevu badala ya hata ya maboksi tunayoletewa na watesi wetu tupende tusipende.CCM Mpya ni shiiida!Tukiwaambia hatutaki ndege kwa sasa ndiyo wanaagiza zingine hadi tukome.
Watanzania wenzangu,Tusikubali Kudhulumiwa Kura zetu,Tuchague Viongozi na siyo Watawala.
 
Kwa uelewa huu Tanzania tuna safari ndefu sana kuufuta ujinga. Hata mfano wa Maalim Seif umeusahau...tangu 2015 hadi leo hakuwahi kuwa raisi.
Historia uvunjwa na historia mkuu.
 
Watakataje tamaa wakati kuna madege, mameli, mabwawa, mabarabara, madaraja, mareli na makodi mengi mengi...??
Hao wananchi hawaoni nchi ipo uchumi wa kati?
Mku hata Ethiopia hayo yote yapo lakini Waithiopia wanaikimbia Nchi yao kila siku.Ccm tulikosea sana kuwekeza kwenye vitu badala kuwapa Raia kile kinachohitajika kwa wakati na mahali husika pia makundi kwenye chama ni mengi hasa wale waliodharauliwa na viongozi huku nao wakiwa ni viongozi pia kwenye mashina na kata na wilaya haya yote ni shida kwa chama

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…