Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye ukoo wenu hajawahi kufa mtu? Mama yako, Dada kaka zako na Bibi na babu yako wote wapo hai? Au mliowatoa kafara Hadi leo wamefika wangapi? Kwenye ukoo wenu mnatoa watu kafara tuu hawafi kwa wakati wao.Pamoja na kumtoa dada kafara, maji yanazidi unga. Sijui nani atatolewa kafara kwenye ukoo kuikosoa hili jahazi.
Yaani ukiingia jf burudani sana. Tofauti na uhalisia. Kuna nchi nyingine humu ya tz mambo ni magumu kwa jpm na mteremko kwa lissu. A fantansy country of jf...Wasalam,
Pamoja na mazuri yote aliyofanya Mh magufuli bado wingu jeusi limetanda ndani ya ccm kutokana na uasi wa baadhi ya wanaccm.
Kuna kila dalili kwamba ccm inaenda kushindwa kwa fedhea ktk uchaguzi wa Oct 28.
Dalili moja mbaya ni kwamba wananchi ambao ni wapiga kura wamekata tamaa kutokana na ugumu wa Maisha na wengi wameapa kuikataa ccm Oct 28, huenda Tanzania ikaandika historian kwa Rais kuongoza kipindi kimoja cha miaka5.
Dalili zinaonesha Watanzania hawana imani na CCM pamoja na rais magufuli.
Maendeleo yana vyama.
Kweli Hawa jamaa wapinzani hawana hata mshipa wa aibu. Kila anayesimama jukwaani anadai atakuwa rais!
wafuasi wangu wote leo hii ni CCM damu damu! Sikuchukua likizo tena kwa sababu matoleo yalikuwa wazi tuNna uhakika wale wote uliowahamasisha 2010 uko nao ulipo na wana vikatio vilivyohakikiwa😃😃✔✔✔👍
Maana kuna ndugu zetu baada ya kupoteza 2010 walisema hawatapiga kura tena, hata vikatio hawana ila kwenye mikutano hawakosi😂😂😂
Hapana mi nilienda kumuona lissu kwa maana ya kumjulia hali mgonjwa ambae anasubiri kipigo tar 28 oktoba asubuhi sana.Yaani hii njaa na dhiki ya hela ndiyo wapiga kampeni wakubwa wa Lisu. Lisu anashangiliwa na kupokelewa kwa nguvu zote kwasabb watu wako hoi kiuchumi.
Wanamuona Lisu kama mkombozi wao. Lisu atashinda kwa kimbunga, lkn watu wake hawamuambii ukweli.
Chamecha Swai.Ukitaka mazuri lazima kujifunga mkanda, Ukitaka wepesi usijifunge mkanda tu. Changes kubwa hasa kwenye transport and communication tulizozishuhudia kwenye awamu ya tano ni matokeo ya kubana mkanda. Kitu ambacho wengi hatutaki kukubali ukitaka vizuri kubali kuhumia tu....
Ninaongea kila wiki na ndugu zangu huko kijijini; hakuna wanaojua chama cha upinzani, wanasema tangu mwaka 2010 wakati CHADEMA ilikuwa imeanza kujikita hapo kijijini, leo hii hakuna chama zaidi ya CCM. Wanashindwa kutofautisha kati ya serikali na CCM; kwao huwezi kuwaambia jambo dhidi ya CCM, ndiyo maana nina uhakika kuwa CHADEMA kinacheza kujifurahisha tu, ila siyo kutafuta ushindi. Ushindi hauji kwa mtindo huu wa CHADEMA.
Kwani Nani kasukumwa kugombea? Kwa hiyo kila anayegombea kwa utashi wake lazima awe rais? Wagombea wapo wengi zaidi ya 15 na wote wamegombea kwa utashi wao Sasa tz itakuwa na Marais wangapi?Mku kumbuka Lisu hakusukumwa kugombea ila ni kwa utashishi wake na na Chama cake na kwa historia yake pia imbeba sana
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Mungu ni wwa woteDreamers!
Kujichocha nayo!!
One in a million. Negligible.Hapana mi nilienda kumuona lissu kwa maana ya kumjulia hali mgonjwa ambae anasubiri kipigo tar 28 oktoba asubuhi sana.
Ndoto huna zen year bila kupangiliwa na kumbuka Kuna aliyesema ndoto aliyoota na akaadhibiwa kwa sababu hiyo.Endeleani kuota
InawezekanaJambo ninalolifahamu mimi ni kuwa kwa yeyote aliyedhamiriwa kuuawa kwa risasi nyingi namna ile, akapona, Basi ni wazi kuwa kuna mpango wa Mungu mkubwa sana!!!!! time will tell.
MUNGU ni mwema sana.
IUchumi wa kati..
Mwaka huu Mzimu wa Lissu hautawaacha salama.
Jisemee weweWasalam,
Pamoja na mazuri yote aliyofanya Mh magufuli bado wingu jeusi limetanda ndani ya ccm kutokana na uasi wa baadhi ya wanaccm.
Kuna kila dalili kwamba ccm inaenda kushindwa kwa fedhea ktk uchaguzi wa Oct 28.
Dalili moja mbaya ni kwamba wananchi ambao ni wapiga kura wamekata tamaa kutokana na ugumu wa Maisha na wengi wameapa kuikataa ccm Oct 28, huenda Tanzania ikaandika historian kwa Rais kuongoza kipindi kimoja cha miaka5.
Dalili zinaonesha Watanzania hawana imani na CCM pamoja na rais magufuli.
Maendeleo yana vyama.