Uwezo wako wa kufikiri upo chini sana.Hii sentence ina kulenga wewe, je umewahi fika China au Vietnam ?
Daaah! Ha ha ha ha
Unato. MB. Wa. Na Mbwa .Hatari sana CCM mmepewa points 3 za bure na hawa viongozi malimbukeni wa Chadema wasio na ufahamu na dunia kwa upana.
Ni rahisi sana kuandika kuliko kufikiri.Uwezo wako wa kufikiri upo chini sana.
Wewe Kato m bww eee. huko.Ni rahisi sana kuandika kuliko kufikiri.
Dunia nzima kuna classes, kama hilo hulitambui utakuwa binadamu wa hovyo kabisa.
Unadhani kuna mzazi anatamani mtoto wake awe "matching guy" au machinga? Unadhani kuna mzazi anatamani awe anatandaza nguo/nyanya na karoti barabarani?
Kinachotutofautisha ni class, mtoto wa raisi hawezi kuwa machinga au bodaboda, that's what it is.
Ni kwa mara ya kwanza Tanzania, kiongozi wa upinzani kuwatukana kundi muhimu sana kwenye uchaguzi.Hatari sana CCM mmepewa points 3 za bure na hawa viongozi malimbukeni wa Chadema wasio na ufahamu na dunia kwa upana.
Ulitaka wafanye kazi gani ?
Wewe ni mjinga kabisa kabisa kabisa. Idiot first class!! Hivi unajua tatizo la bodaboda lilivyo kubwa Tanzania? Kwanza hii nayo ni nchi maskini kama yetu! Au ni huo weupe wa rangi unakuzuzua?Hawa ni bodaboda katika nchi iliyoendelea (first class country). Ulimbukeni ni janga kubwa sana!
SISI BODA BODA TUNAKUAMBIA LEMA TUOMBE RADHI, TUTAICHUKIA CHADEMA MAZIMA USIPOTUOMBA RADHI.
Wewe bwege wenzako wanaangalia tatizo la bodaboda kwa mapana na marefu na siyo unadhani wewe! Mbona kuna sehemu zina mpaka baiskeli za kukodi? Wenye akili wanaangalia ukubwa wa tatizo.
Kama bodaboda kazi kwanini zinakamatwa mjini,kwanini haziruhusiwi kuingia mjini,kijana boda siyo kazi ndo maana lawama zote road wanabebeshwa bodaKila mtu angetamani kijana wake awe doctor and the same likes, lakini ni wachache wenye uwezo tu wa kumfikisha mtoto hapo!, so ulitaka hawa wengine wafanye nini? hasa mijini? (heri waendelee kujipatia riziki huku serekali ikiangalia namna nyingine bora zaidi ya kuwawezesha)
Zinazofanywa au zinazofanana na zile zinazofanywa na watoto wa viongoziUlitaka wafanye kazi gani ?
Sahihi kabisaAcheni kupotosha watu bodaboda sio Kazi,hao hata miaka 15 awafiki wote washakufa kwa ajali au vifua ikiwemo tb hao ni mtaji wa ccm.
Kwani wewe unaipenda kazi hiyo? Unajivunia kuwa boda?Ulitaka wafanye kazi gani ?
We sema ulipoyatoa haya maneno.Acha utaahira bodaboda sio kazi. Hizo pikipiki zinatengenezwa China, Vietnam lakini ilishawahi kuona huko kuna bodaboda?
Bodaboda sio kazi.
Ww usidhihaki wenzioUwezo wako wa kufikiri upo chini sana.