Habarini za humu wadau,mimi ni kijana naishi hapa jijini Dar, nina kazi na ninaishi katika harakati zangu za kila siku.
Sasa kuna mambo ya ujana nilikuwa nafanya sasa hivi yananifikirisha sana, ninawaza sana sina amani nakuwa mnyonge pia
Naomba nikupe ushauri Mkuu, unaweza udharau au chukulia poa ila una maana kubwa sana. Ipo hivi kwenye hii dunia ya macho kuna dunia nyingine ya kiroho.
Sasa chochote kinacho tokea kwenye dunia ya macho ya nyama basi ujue kilisha anzishwa kwenye ulimwengu au dunia ya roho, na ukumbuke kuna roho safi ma roho chafu 👻.
Ukiwa karibu na Mwenyezi Mungu basi kaa ujue roho safi zitakupambania na Mambo yako yata enda maana ume karibisha roho safi katika ulimwengu wako wa roho, na ukiwa mtu wa kufanya mambo ya hovyo yanayo mkufuru Mwenyezi Mungu basi utakaribisha roho chafu na hizi ndiyo zitakazo ku control, kazi ya roho chafu ni kuharibu na kufanya uende kinyume kabisa na mapenzi ya Mwenyezi Mungu.
Kuna tabia tuna zilea au tabia tunazo pitia katika makuzi aidha kulelewa kama ulivyo sema ume kuwa uki lelewa na wazazi wa kike sana kuliko wazazi wa kiume, sasa hizo tabia siyo japo sasa hivi tuna ona ni kawaida ila siyo tabia nzuri ndiyo maana Mwenyezi Mungu kwake familia ni Baba, Mama na Mtoto au Watoto.
Familia imara ni silaha kubwa sana kwa shetani 😈, tunaweza mshinda shetani kwa kuwa na familia iliyo imara, Kunapo tokea migogoro kwenye familia basi shetani hushika hatamu ya iyo familia na ata anza angamiza watoto pole pole tangu wakiwa wadogo, mpaka wakija kuwa wakubwa utasikia mtoto huyu anasema mimi nataka kuwa tuu single Mother nimlee mtoto wangu basi, mtoto mwingine ata anza kusema kama hivyo unavyosema wewe kwa sababu tuu umekosa malezi ya baba sasa una anza kuwa inspired na wanaume wenzako wakati wewe mwenyewe ni mwanaume , kuna vitu ulikosa ulipokuwa mdogo, watoto huwa wana nyonya tabia toka kwa wazazi wao, wa kike atanyonya tabia za mama na wa kiume toka kwa baba, sasa mtoto wa kiume muda wote ame kuwa akilelewa na wazazi wa kike tuu unahisi huyu mtoto atanyonya tabia za mwanamke au mwanaume ?! NAOMBA JIBU KA HILI SWALI WADAU.
Kwa mtazamo wangu na jinsi nilivyo ona kwenye jamii, sisi wazazi tusipende kuchukulia suala la familia kama suala jepesi na kuachana ni kitu rahisi kama kunywa maji, wana sayansi wa saikolojia wanalijua hili kuwa mtoto wa kiume akilelewa na mama pekee basi atakuwa na elements za kike ndiyo maana huko kwa wazungu suala ka talaka ni suala jepesi sana, na wana pendelea sana mwanamke kuliko mwanaume mahakamani utaisikia mtoto alelewe na Mama mpaka atakapo kuwa na miaka 18 sasa ishu kama hizi kama ufikirii mbali utafurahia sana ila ukija angalia kwa undani ushoga na usagaji ndiko unapo anzia huko, BABA ana play part kunwa sana kwenye malezi ya mtoto sana tena sana. Sasa we unasem mtoto au watoto walelewe na mama tuu mpaka miaka 18, ukija chukua mtoto hiyo miaka 18 u a kuta tayari ana elements au tabia za aina fulani fulani sababu amekosa malezi toka kwa mzazi wa jinsia fulani.
So Mkuu rudi fanya kuungama au toba mshurikishe Mwenyezi Mungu akupe mawazo tofauti na hayo uliyo nayo maana hapo 😈 amekukalia kitako3muda wote kukupa mawazo ya aina hayo uliyo nayo sasa hayo mawazo na matamanio ya muda mrefu ambayo yametokana na malezi sasa yame enda kuwa tabia mpaka una jiona una tabia.
Badilisha ulimwengu wako wa Roho mkuu, mapepo hayo yamejaa huko kwenye ulimwengu wa 👻 roho .
Muombe Mwenyezi Mungu akupe Msichana aliyeshiba kiimani uwe u a sali naye kanisani.
Huo ni mtazamo wangu kwako Mkuu.