"Mkataba wa ndoa" huwa unaweka vipengele gani ambavyo vitapelekea huo mkataba kuvunjwa, kuvunjika au kuwa "null and void"?Azingatie na kuheshimu mkataba hicho ndicho ninachokizungumzia.
Matakwa Yake kuliwa au kutokuliwa NI akiwa nje ya mkataba.
Hakuna anayezuia Mtu Kula au kuliwa. Inachosemwa hapa NI Watu waliopo kwèñye mikataba ya mahusiano kuheshimu Mkataba Yao. Na wale ambao hawapo kwèñye mahusiano ya Ndoa kuheshimu mikataba ya Watu. Full stop
Wanaokaidi Kwa utashi waô wasilalamike wakikutana na adhabu zinazotolewa Kwa utashi wa waliowaibia wake au waume
Nyie wajima muendelee na ujima wenu. By the way, unaweza hata wewe kubakwa na wahuni tu mtaani bila hata kutembea na mume au mke wa mtu. Kila kukicha watoto na wanawake wanabakwa na ni asilimia ndogo sana inahusisha kutembea na mke au mume wa mtu.Huwezi Vunja Mkataba ukaachwa hivhivi labda Kwa nyie Civilized.
Jibu rahisi kwa muono wangu,Nipe Majibu.
Evelyn Salt ati unajua uhûsiano uliopoa Baina ya LGBTQ na Kingereza? Maana unakuta kajitu shule hakajaenda au kalikuwa kanazungusha Somo la kingereza lakini Siku hizi kanatema Kimombo
Nyie wajima muendelee na ujima wenu. By the way, unaweza hata wewe kubakwa na wahuni tu mtaani bila hata kutembea na mume au mke wa mtu. Kila kukicha watoto na wanawake wanabakwa na ni asilimia ndogo sana inahusisha kutembea na mke au mume wa mtu.
Ndoa ni makubaliano ya watu wa 2. Ukiona unashindwa kuishi na mwenzako ruksa kujiondoa ."Mkataba wa ndoa" huwa unaweka vipengele gani ambavyo vitapelekea huo mkataba kuvunjwa, kuvunjika au kuwa "null and void"?
Ukisoma vizuri utaelewa nini haswa ndio point ili kusiwepo na matatizo ya namna hiiWanawake wangekuwa dhaifu sana mngekuwa mnahonga michepuko hadi kusahau wake wa ndoa na familia?
Jibu rahisi kwa muono wangu,
Wanatumia kingereza km ulinzi wa kutodharauliwa, na kuonekana wako smart n brain.
Sina hakika, ila naona iko ktk minajiri hiyoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe hadi sasa umebakwa mara ngapi ?Nyie wajima muendelee na ujima wenu. By the way, unaweza hata wewe kubakwa na wahuni tu mtaani bila hata kutembea na mume au mke wa mtu. Kila kukicha watoto na wanawake wanabakwa na ni asilimia ndogo sana inahusisha kutembea na mke au mume wa mtu.
Kuchepuka ndio dalali zenyewe sasa za kuonyesha unashindwa kuishi na mwenzako na hapo ndipo mnapaswa kujadiliana jinsi ya kuachana.Ndoa ni makubaliano ya watu wa 2. Ukiona unashindwa kuishi na mwenzako ruksa kujiondoa .
AstaqfllahWewe hadi sasa umebakwa mara ngapi ?
Mimi niko kwenye sekta hiyo ya kufadhili ukatili wa kijinsia. Mauaji kwa ujumla yako juu. Kwa mfano mwaka 2023 mauaji yalikuwa 2033, ya wenza yalikuwa 50.Husikilizi redio au Vyombo vya habari. Haiwezi kupita Siku tatu Bila tukio la ukatili unaotokana na mambo ya Mapenzi.
Ninyi Civilised tunajua mmekimbilia Wapi ndîo maana hamuwezi elewa haya mambo
Na mimi nakuambia kama na wewe una tabia za kulawiti au kutuma watu walawiti watu wanaotembea na mke au mume wako ipo siku utajikuta nyuma ya nondo unatumikia 30 au maisha huku mke au mume wako umemuacha uraiani wanaendelea kumfaidi wengine tu.Ukisoma vizuri utaelewa nini haswa ndio point ili kusiwepo na matatizo ya namna hii
Si support matukio ya namna hii ila nakuambia kama wewe utaamua kukaza kichwa uendelee na Wake za watu, Ipo siku na wewe itakua ni mmojawapo ambaye wananchi pamoja na mashirika ya haki za binadamu watakua wakikupambania haki yako ipatikane mahakamani huku video zako zikionwa karibu na kila raia Tanzania.
Kazi kweli. Watu kibao wanaachana kufuata sheria au bila kudhuriana na maisha yanaendelea. Kwani kabla ya kuwa naye hu kuwa unaishi.Siwaiti makatali, nawaita wajinga, wapumbavu, wajima na "uncivilized"
Sijabakwa lakini unaweza hata kubakwa na vibaka. Mtu yeyote anaweza kubakwa regardless ana makosa au la.Wewe hadi sasa umebakwa mara ngapi ?
Acheni ujinga kushadadia ukatili kwa watu. Ni udhaifu mkubwa kukodi watu wakamlawiti mtu kisa mapenzi.
Kumbe unaweza bishana na watu ambao hazimo humu ndani. Mtu kama huyu loh.Astaqfllah
Siwaiti makatili, nawaita wajinga, wapumbavu, wajima na "uncivilized". Ukatili ni sehemu tu katika hizi sifa.
Haknaga sheria za hivyo hata siku moja. Ndoa ina sheria yake. Mimi mbona wa kwangu tuliachana na kila mtu ana maisha yake. Utahangaika na wa ngapi kama mumeo au mkeo ni mchepukaji?Ukatili ni kufanya ubaya Kwa Mtu àmbaye hajakukosea.
Chukua Mke WA Mtu uone kama hawatakulawiti na wéwe.
Hayo màtukio Yapo mengi mitaani na yataendelea kuwepo mpaka Sheria za HAKI zitakapotungwa na serikali.