Kuna mtu hivi tunavyoongea kalala na mkewe mzungu wa nne

wewe hatuelewani kbsa wanawake wasasa hawa wa kupaka kucha rangi
 
Asikwambie mtu...Ndoa tamu..!

Mnabanduana Kihalali..halafu mkimaliza hamjihisi kuwa Mna hatia ..yaani hamjisikii kuwa Mmezini.. !

Na kinachokuja mbele yenu kama ni Mimba mnapongezwa na inaitwa ni Baraka...dah Raha Sana...!
sawa kaka injoy ikikomaa iyo ndoa utaona chungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…