Hahaaaaaa !Wakuu, kuna mtu yeye huwa anakuja kujisaidia pembeni ya Nyumba yangu.
Najua huyu anafanya ushirikina Ila nimwambie tu ntampoteza vibaya Sana.
Wewe ni bwege tu mambo ya mtaani unatuletea humu?kumbe unamjua kamueleze mwenyewe acha ushamba?Wakuu, kuna mtu yeye huwa anakuja kujisaidia pembeni ya Nyumba yangu.
Najua huyu anafanya ushirikina Ila nimwambie tu ntampoteza vibaya Sana.
Huyo mtu ni member wa jf?🤣🤣🤣Nimetoa tahadhari kwa watu wanaofanya hivi kutokana na masharti ya waganga.
Anayeloga hasemi. Mkwara kwa mtu ambaye hajui namkoromea maana yake unaogopa. Utasikia, nitakupigia, nitakupigia, wewe ulipiga chafya tu huyo, anakimbia na kupiga kelele, jamani ananiuaWakuu, kuna mtu yeye huwa anakuja kujisaidia pembeni ya Nyumba yangu.
Najua huyu anafanya ushirikina Ila nimwambie tu ntampoteza vibaya Sana.
Ulipiga x ukipiga✓Anayeloga hasemi. Mkwara kwa mtu ambaye hajui namkoromea maana yake unaogopa. Utasikia, nitakupigia, nitakupigia, wewe ulipiga chafya tu huyo, anakimbia na kupiga kelele, jamani ananiua
,🤣😂😂,dunia nzuri sana hiiWakuu, kuna mtu yeye huwa anakuja kujisaidia pembeni ya Nyumba yangu.
Najua huyu anafanya ushirikina Ila nimwambie tu ntampoteza vibaya Sana.
Weka basi picha kidogo tuone Mavi,tunaamini vipi? Ila sitakunya tena kwako mkuu.Sijamuona LIVE Ila naenda kutoa taarifa kupitia Majirani wote.
Hatua inayofuata akirudia namvimbisha makalio
Mimi ndo sangatiti
Je una uhakika usiotia shaka kwamba ni yeye?Wakuu, kuna mtu yeye huwa anakuja kujisaidia pembeni ya Nyumba yangu.
Najua huyu anafanya ushirikina Ila nimwambie tu ntampoteza vibaya Sana.
Mimi mwenyewe jirani yangu simwelewi kabisa,tumepakana na ukuta.Uchirikina mbaya sana huo utaikimbia nyumba bila kutaka kwa kuuza au kwa kutokomea kusiko julikana
Nmekuelewa vyema kabisa mkuuKuachama, au kujipanua ovyo au kuacha space katikati ya mstari.
Hujafafanua vizuri Yaani anajisaidia haja ipi kubwa au ndogo? Yaani namaanisha anakunya kabisa au anakojoa tu?Wakuu, kuna mtu yeye huwa anakuja kujisaidia pembeni ya Nyumba yangu.
Najua huyu anafanya ushirikina Ila nimwambie tu ntampoteza vibaya Sana.
Muache aendelee kujisaidia jifanye kama humjui. Siku asipokunya unamfata kwake unamuuliza mbona leo hujaja kunya unaumwa!!?? Nimekuja kukuona. Utakuwa umempa shule nzito sanaWakuu, kuna mtu yeye huwa anakuja kujisaidia pembeni ya Nyumba yangu.
Najua huyu anafanya ushirikina Ila nimwambie tu ntampoteza vibaya Sana.