Hahaaaaaa !Wakuu, kuna mtu yeye huwa anakuja kujisaidia pembeni ya Nyumba yangu.
Najua huyu anafanya ushirikina Ila nimwambie tu ntampoteza vibaya Sana.
Utapoteza kama wasiojulikana au sio Braza ?
Acha mikwara blaZa
Na jioni nakuja kunya tena ,mpaka usemeee