igwee frm anambra
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 957
- 1,496
.....enzi za kina Tkzee, Mdu Masilela, Arthur Mafokate, Zola7..... huku unakutana na Mapanstula...yaani ni ilikuwa ni full vibe[emoji3]Huko tulipafaidi tulioendaga zamani,huko kwenye gari unamsikia chicco tu na song lake
Umballa ma g string...
Changanyikeni ilikuwa ndogo
Ova
Bila picha , sisi tusiofika SA na SK tutafahamu vipiHii nzuri
Ni hatari sana aisee
Afghanstanmwezi wa 10 last yeakr niliingia south Africa. Ila February nikarud bongo nilifanikiwa kutembelea mikoai karibu yote
South Africa kimaendeleo imezidi nchi nyingi sana za ulaya ,Asia ,na america yaani south Africa ipo mbali san kiuchumi.
Tatizo Ina raia wenye hasira sana mara nyingi ni watu wenye kinyongo na kulipa kisasi yan dakika sifuri tu unawezA kupoteza uhai
Swala la mapenzi south Africa ni next level Kuna mchezo unaitwa sleep over.
Yani unawezA kukutana bint kituo Cha tren ukaomba namba ukifika home unamuomba aje alale kwako simply anakuja kesho anaondoka then unatafuta mwingine simply tu.
Shule south Africa wanafunzi wanavaa nusu uchi kama south Korea .
Ushoga na usagaji kwao sio kitu Cha kushangaza.
Dah, Tkzee umenikumbusha mbali sana, Dlala Mapantsula, chanel O wakati huo likipigwa goma la Zola7 - Don't cry.. S.A sijawahi fika ila nitafika tu siku moja.....enzi za kina Tkzee, Mdu Masilela, Arthur Mafokate, Zola7..... huku unakutana na Mapanstula...yaani ni ilikuwa ni full vibe[emoji3]
Be imnandi le ndawo.Dah, Tkzee umenikumbusha mbali sana, Dlala Mapantsula, chanel O wakati huo likipigwa goma la Zola7 - Don't cry.. S.A sijawahi fika ila nitafika tu siku moja
Mzee, miaka iko mbio sanaBe imnandi le ndawo.
Mara now I'm not sure.
balaa lake ulilionaje mkuu ?Rio na Sao nmekaa hapo miaka 2
Ova
Sasa hujatembea sehemu zingine za dunia unataka kusema South Africa ndio sehemu hatari ya kuishi.
Kuna nchi kama Haiti, El Salvador hizi ni moto wa kuotea mbali raia karibu wote washapinda.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Uhalifu ukoje?Rio na Sao nmekaa hapo miaka 2
Ova
Kwa siku au kwa wiki au kwa mwezi au kwa MWAKA?Johannesburg watu karibia 3000 wamepigwa risasi sidhani rio au mexico city inafikia
Uchawi upo kaka WA kutosha Na chuo cha kusomea kipoNimeishi SA cape town Pretoria na Joberg kuhusu wasichana Pretoria wale Tswana girls ni habari ingine na Ile lugha Yao ndio kabisa very sex akikuangalia unaweza kuogopa kumtongoza ila hawana shida wako straight sana kwenye mapenzi mnaweza msimalize dk 3 hasa mkiwa mmefanya eye contact au MKo field Moja
Usalama SA ni almost zero Ile nchi hapana crime rate has Jose Durban Pretoria yenyewe Cape yote TU Mzungu mbaya mweusi mbaya mcolored mbaya shida tupu kufa ni kugusa
Yani asubuhi hadi jioni mmekaa kama MKo vitani ila uzuri wao uchawi hakuna kama huku kwetu
Nenda siku moja Mkuu. Actually, South Africa ipo Africa by location ile ni Ulaya. Tena ukifika Johannesburg chukua hotel kule New City halafu starehe kafanyie Old City ndio kuna bata za kufa mtu. Ila hakikisha hapo hotelini kwako wamekupa mtu wa kukusindikiza (anayejua mkono) ndio uende Old City. Hapo utafurahia bata za huko.Dah, Tkzee umenikumbusha mbali sana, Dlala Mapantsula, chanel O wakati huo likipigwa goma la Zola7 - Don't cry.. S.A sijawahi fika ila nitafika tu siku moja
Ila sio kma tzUchawi upo kaka WA kutosha Na chuo cha kusomea kipo
Watu wamevurugwa chanzo cha yote ni pesa huku bongo tulivyokuwa maboya tunauana kisa mtu kakufumania na mkeweSouth Africa ni risasi tu ikizidi sana mtu kachomwa kisu.
kule latin America ukishauliwa viungo vyako vya mwili vinatenganishwa vinakatwa kama mishkaki alafu vinasambazwa barabarani.
Kuna maeneo kama upande wa South kuko vizuri wanaishi mashuwa,ila kuna maeneo mengine yana unyama hatari sana,balaa lake ulilionaje mkuu ?